Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,522
- 643
Haina chochoteKwanin Burundi huwa inarukwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina chochoteKwanin Burundi huwa inarukwa
Haina chochoteKwanin Burundi huwa inarukwa
Habari mbaya sana hii kwa pingapinga FC,Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,
" Hakuna kama Samaia "
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )
Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,
Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-
1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6
2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4
3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2
4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8
Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,
Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,
NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,
" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "
View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
NdioAsante sana Mhe Samia
Haswa hujakosea sawa tunamkubali ila hizi spinning sasa . Bundles wameshapandisha na wanaendelea na vingine huku uchumi ukiwa bado tete Kwa mtu mmoja mmoja na gap likizidi kuongezeka .Wanatuandaa kisaikolojia ili wapandishe,hawana lolote,,
Nadhani tumeshuhudia kelele zao kuwa Tanzania tunatumia gharama nafuu za Bundle duniani...
Saa hii wamekuja kwenye umeme,,baada ya hapo maji
We mang'aa unatumika kindezi watu ttunakupuuza kinoma. Kila wakati unakuja na data za kidwanzi unaona watu humu nimaree!!Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,
" Hakuna kama Samaia "
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )
Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,
Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-
1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6
2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4
3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2
4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8
Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,
Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,
NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,
" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "
View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Safi Sana Rais Samia You deserve better everlastingTanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,
" Hakuna kama Samaia "
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )
Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,
Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-
1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6
2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4
3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2
4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8
Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,
Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,
NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,
" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "
View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Kwanini wewe usilete hizo data wewe pingapinga ukapinga hizi data fake za huyu Crde kwa data halisi,We mang'aa unatumika kindezi watu ttunakupuuza kinoma. Kila wakati unakuja na data za kidwanzi unaona watu humu nimaree!!
Kwanini usitafute nduguzako uwakusanye uwasimulie ujinga wako wote...watu tunataka kuona hoja zamaana humu sio kujipendekeza kwako kadogoo!! Tushawachokaga vipusi fata makombo
Be proactive mjomba achana na mawazo yaliyogandaHaswa hujakosea sawa tunamkubali ila hizi spinning sasa . Bundles wameshapandisha na wanaendelea na vingine huku uchumi ukiwa bado tete Kwa mtu mmoja mmoja na gap likizidi kuongezeka .
hahaha kama wanalipwa watachokaje pesa?Sawa sawa,mafanikio mema kwenye project yenu,lakini mtaimaliza mmechoka sana
Tumia akili (kamaunazo)Kwanini wewe usilete hizo data wewe pingapinga ukapinga hizi data fake za huyu Crde kwa data halisi,
Kama anayoyasema Makamba kuhusu kuboresha uchakavu wa miundombinu tukifanikiwa tutakula bata sana. Wizara sasa imekuwa more professional. Mama ameweza kulenga pazuri kwenye Nishati.Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,
" Hakuna kama Samaia "
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )
Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,
Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-
1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6
2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4
3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2
4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8
Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,
Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,
NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,
" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "
View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Kuhusu Makamba nakubaliana na wewe 100%Kama anayoyasema Makamba kuhusu kuboresha uchakavu wa miundombinu tukifanikiwa tutakula bata sana. Wizara sasa imekuwa more professional. Mama ameweza kulenga pazuri kwenye Nishati.
Ni kweli unakatika sana mpaka kero, lkn hilo linaweza kusimamiwakwani tuliona huko nyuma linahitaji useriousness ambao bado hauonekani,nahizi pambio ndio tunazidi Zama kabisa.Chato gang watakwambia umeme unakatika katika 😂😂..
Wanatapatapa Sana.
Tumia akili yako yoteNi kweli unakatika sana mpaka kero, lkn hilo linaweza kusimamiwakwani tuliona huko nyuma linahitaji useriousness ambao bado hauonekani,nahizi pambio ndio tunazidi Zama kabisa.
Mkila rushwa mnapanua midomo kusifia sisi tunapata hasara,mazao yanaoza,mitambo haifanyi kazi halafu unaniambia nitumie akili yote kivipi anyway matusi siyawezi,watu Kama wewe.Tumia akili yako yote
Bundles tunahitaji kampeni washusheHaswa hujakosea sawa tunamkubali ila hizi spinning sasa . Bundles wameshapandisha na wanaendelea na vingine huku uchumi ukiwa bado tete Kwa mtu mmoja mmoja na gap likizidi kuongezeka .
Safi sanaTanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,
" Hakuna kama Samaia "
Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )
Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,
Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-
1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6
2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4
3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2
4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8
Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,
Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,
NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,
" Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "
View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
HapanaMapambio yameanza ili mtupige sio