Tanzania nchi ya umeme wa bei chee zaidi EAC

Kila zama na watu wake...JPM zama zake walikwepo akina Msemajiukweli. Zama za Samia ameibuka mwingine.
Zama za JK alikwepo akina Zomba....hivi kuna ka malipo hua wanapata?

Ukiona hivyo watu wanaipenda nchi yao....!!!
 
Mleta mada nakuapia uwezo wako wa kuchambua na kuchakata data ni mdogo sana au kufikiri!
Data zako haziko sawa ni copy &paste, omba msaada jamani usiwe kama DODOKI
 
Mleta mada nakuapia uwezo wako wa kuchambua na kuchakata data ni mdogo sana au kufikiri!
Data zako haziko sawa ni copy &paste, omba msaada jamani usiwe kama DODOKI
Andika nawewe mada yako, yaani bei ya bidhaa unataka asicopy figure ili aandae yake ?
kweli Tanzania inawatu,
 
😍😍
 
Ila usambazaji umeme ni tatizo sana
 
Fact
 
Good
 
Asante sana Mhe Samia
 
Ukiona hivyo ujue wanataka kutupandishia bei ya umeme
 
Ukiona hivyo ujue wanataka kutupandishia bei ya umeme
Ukiona hivi watashusha zaidi bei ya Umeme sababu bei ya Nishati ya mafuta nayo ipo mbioni kushuka. Mradi wa LNG upo njiani, Bwawa la Nyerere soon litaanza kazi. Kivipi Umeme upande bei.
 
Unatufariji mkuu,,, Chambua na mafuta tuone tuko namba ngapi
 
Kwanin Burundi huwa inarukwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…