Tanzania nchi ya umeme wa bei chee zaidi EAC

Habari mbaya sana hii kwa pingapinga FC,
 
Wanatuandaa kisaikolojia ili wapandishe,hawana lolote,,
Nadhani tumeshuhudia kelele zao kuwa Tanzania tunatumia gharama nafuu za Bundle duniani...
Saa hii wamekuja kwenye umeme,,baada ya hapo maji
Haswa hujakosea sawa tunamkubali ila hizi spinning sasa . Bundles wameshapandisha na wanaendelea na vingine huku uchumi ukiwa bado tete Kwa mtu mmoja mmoja na gap likizidi kuongezeka .
 
We mang'aa unatumika kindezi watu ttunakupuuza kinoma. Kila wakati unakuja na data za kidwanzi unaona watu humu nimaree!!
Kwanini usitafute nduguzako uwakusanye uwasimulie ujinga wako wote...watu tunataka kuona hoja zamaana humu sio kujipendekeza kwako kadogoo!! Tushawachokaga vipusi fata makombo
 
Safi Sana Rais Samia You deserve better everlasting
 
Kwanini wewe usilete hizo data wewe pingapinga ukapinga hizi data fake za huyu Crde kwa data halisi,
 
Haswa hujakosea sawa tunamkubali ila hizi spinning sasa . Bundles wameshapandisha na wanaendelea na vingine huku uchumi ukiwa bado tete Kwa mtu mmoja mmoja na gap likizidi kuongezeka .
Be proactive mjomba achana na mawazo yaliyoganda
 
Kama anayoyasema Makamba kuhusu kuboresha uchakavu wa miundombinu tukifanikiwa tutakula bata sana. Wizara sasa imekuwa more professional. Mama ameweza kulenga pazuri kwenye Nishati.
 
Kama anayoyasema Makamba kuhusu kuboresha uchakavu wa miundombinu tukifanikiwa tutakula bata sana. Wizara sasa imekuwa more professional. Mama ameweza kulenga pazuri kwenye Nishati.
Kuhusu Makamba nakubaliana na wewe 100%
 
Chato gang watakwambia umeme unakatika katika 😂😂..

Wanatapatapa Sana.
Ni kweli unakatika sana mpaka kero, lkn hilo linaweza kusimamiwakwani tuliona huko nyuma linahitaji useriousness ambao bado hauonekani,nahizi pambio ndio tunazidi Zama kabisa.
 
Ni kweli unakatika sana mpaka kero, lkn hilo linaweza kusimamiwakwani tuliona huko nyuma linahitaji useriousness ambao bado hauonekani,nahizi pambio ndio tunazidi Zama kabisa.
Tumia akili yako yote
 
Tumia akili yako yote
Mkila rushwa mnapanua midomo kusifia sisi tunapata hasara,mazao yanaoza,mitambo haifanyi kazi halafu unaniambia nitumie akili yote kivipi anyway matusi siyawezi,watu Kama wewe.
 
Haswa hujakosea sawa tunamkubali ila hizi spinning sasa . Bundles wameshapandisha na wanaendelea na vingine huku uchumi ukiwa bado tete Kwa mtu mmoja mmoja na gap likizidi kuongezeka .
Bundles tunahitaji kampeni washushe
 
Safi sana
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…