Tanzania nchi yenye kila aina ya raslimali nchi yenye nguvu kazi ya kutosha watu mil.60
Nchi yenye ardhi nzuri kwa kilimo na makazi lakini wananchi wake ni masikini wa kutupwa wamerundikiwa furushi la tozo kila mwananchi kalibeba furushi
Ili tuyaepuke hayo maisha ni muhimu katiba mpya ikapatikana ili tuwe na siasa safi na viongozi watakao wajibishwa na wananchi sio wananchi wawajibishwe na viongozi kama sasa Serikali ni ya wananchi sio ya viongozi
Sent from my sm-j600f using
jamiiforums mobile app