BLACK MOVEMENT JF-Expert Member Joined Mar 11, 2020 Posts 4,548 Reaction score 11,901 Dec 10, 2024 #21 Allen Kilewella said: Mwendesha mashtaka wa Tanzania anaruhusiwa kushtikaviongozi gani wa Tanzania mahakamani? Tumeona huko Israel Waziri Mkuu wake Benjamini Netanyauh akishitakiwa mahakamani Kwa ufisadi. Hapa kwetu nani anaweza kushtakiwa kama hivyo? Click to expand... Tusingekuwa ma Keybord woriour labda tungekuwa na katiba mpya na tungewashitaki
Allen Kilewella said: Mwendesha mashtaka wa Tanzania anaruhusiwa kushtikaviongozi gani wa Tanzania mahakamani? Tumeona huko Israel Waziri Mkuu wake Benjamini Netanyauh akishitakiwa mahakamani Kwa ufisadi. Hapa kwetu nani anaweza kushtakiwa kama hivyo? Click to expand... Tusingekuwa ma Keybord woriour labda tungekuwa na katiba mpya na tungewashitaki
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 21,470 Reaction score 40,593 Dec 10, 2024 Thread starter #22 Sexless said: Utamaduni wetu ni kuheshimu hata upumbavu wa mtu mkubwa (kiongozi). Click to expand... Kwa ivo ukishakuwa mkubwa ndiyo upo juu ya Sheria. Basi si ajabu ndiyo maana wanalogana😄😀😀
Sexless said: Utamaduni wetu ni kuheshimu hata upumbavu wa mtu mkubwa (kiongozi). Click to expand... Kwa ivo ukishakuwa mkubwa ndiyo upo juu ya Sheria. Basi si ajabu ndiyo maana wanalogana😄😀😀