Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Tehteh..usimpe mkenya uwanja wa kujitetea.

Umeeleweka mkuu...nimeona kwenye takwimu za Dunia nyie idadi ya walipimwa ipo ila kwa Tanzania sijaona.
 
Tehteh..usimpe mkenya uwanja wa kujitetea.

Umeeleweka mkuu. Nimeona kwenye takwimu za Dunia nyie idadi ya walipimwa ipo ila kwa Tanzania sijaona.

Wala sijajitetea, naiweka kama ilivyo, kwamba hii issue ni hatari watu waache kubweteka na kujisifu kisa kwao namba ni chache ilhali uwezo wa kupima bado mdogo. Hata sisi hao 300 kwa siku bado wachache sana, UK anapima 100,000 kwa siku na bado anapokea mapigo ya kufa mtu, sasa Tanzania unapima 300 kwa wiki mbili halafu unajisifia.

Hiki kitu ni ile tu Afrika kwa miujiza fulani basi kimetukosa kosa lakini hakuna yeyote kwetu anafanya lolote kubwa la kuzuia. Kwa umaskini wetu huu, kikitua kwa mtu mmoja hapo Tandale itakua kiama maana hata uwezo wa kuwalisha watu kwenye lockdown haipo, leo bado kuna watu hawana hata access ya maji na huduma za msingi kama vile afya, uwapige Licorona utakua unawafuta duniani.

Kwetu hapa tunajua uwezo wa kama Ulaya hatuna, lakini hatukai hovyoo, tunajichimbia, tayari shule za bweni 900 zimeanza kuandaliwa kama vituo vya karantini, huku tukiongeza maabara za kupima, na kujiwekea curfew maana usiku ndio watu wanafanya vya hovyoo, hawachukui tahadhari kisa hawaonekani, pia daladala hairusiwi msongamano, mtu mmoja viti viwili, na kila abiria lazima anawe mikono, ni mifano tu ya jinsi gani tunajichimbia.

Tunafahamu haitoshi kuthibiti kiama kinachokuja, ila kama wanajeshi kwenye nchi yoyoe inayovamiwa, huwa wanajichimbia na kujiandaa kupokea mashambulizi hadi afe wa mwisho. Nyie hapo mliambiwa muombe inatosha, mnasongamana kwenye vilabu vya pombe na kulewa huku mkisema mnaomba, Mungu awasklize.
 
Tehteh..usimpe mkenya uwanja wa kujitetea.

Umeeleweka mkuu...nimeona kwenye takwimu za Dunia nyie idadi ya walipimwa ipo ila kwa Tanzania sijaona.
Tatizo la wakenya hawana malengo, sina uhakika kama lengo lao ni kupunguza maambukizi, wao wanadhani wakishapima watu na kujua idadi ya wslioambukizwa, huo ni ushindi kwao. Lengo la kupima ni ili ujue kama mbinu zako za kuzuia maambukizi zinafanya Nazi au unapswa kuzibadili. Kenya ni wazi kwamba mbinu wanazotumia hazisaidii sana, jambo la kushangaza, hawazibadili wanaendelea na mbinu zilezile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema tushukuru Mungu kwasababu huku kwetu bado kirusi hakijatuvamia sana, mwishoni unadharau kwamba huku tumeambiwa tuombe Mungu hatuna tunalofanya, mwanzo unasema Mungu ndio amesaidi, mwisho unadharau wazo la kumuomba Mungu, huko ni kuchanganyikiwa.

Uzi huu unaonyesha mambo yanayofanyika Tanzania katika kukabiliana na kusambaa kwa Corona, tunaomba wakenya mtuonyeshe "activities which have direct effects in controlling the spread of the Virus". Kupima hakuna direct effects ya kupunguza kuenea kwa Virus.

Katika ukanda huu, Tanzania ni mfano bora kabisa wa kuigwa katika hii vita, pamoja na mapungufu tuliyonayo, bado ni nchi ambayo imejipanga vizuri zaidi kuliko nchi zote zinazotuzunguka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna Wanajushi wa kumwaga Tarakea na maeneo mengi mpakani Kenya
 
Ila Italy na Spain ndio kuko sawa au sio?
 
ujinga gani hii, without robust testing you can't say how many cases you have...
and the Magufuli govt is capable of shutting down anyone who announces any infection numbers against the govt sources..
Kwahiyo tuambie wewe basi Tz kuna wagonjwa wangapi?
 
Kwahiyo hao 84 kuna shida gani kuwekwa karantini sasa, wewe ulitakaje maana hao ndio wasafiri waliokuja, sasa tulazimishe wageni waje ili tuongeze idadi ya watu waliokarantini ili wafike 2000 kama nyinyi? Ulitakaje?
 
Hao 20 tumewajuaje kama hatupimi?
Hakuna waziri yeyote yule wa Afya aliyejibu hivyo, hao wameshiwa na hoja wanaanza kuokoteza maneno ya kujiliwaza, kama walivyoshindwa kuwasambaratisha Ashabaab wakaanza kutoa visingizio, ndio kinachotokea ktk Corona. Hawa hawawezi lolote zaidi ya rushwa na ukabila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli kwa mpango na mbinu hizi bado kuna mwenye kujiuliza kwanini Tanzania maambukizi ya virusi vya Corona ni machache ukilinganisha na nchi za Jirani?.
Too early to conclude, tuendelee tu kuomba Mungu huku tukifuata masharti ya kinga na tiba
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…