Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
Discussants wote wa muda mrefu na wenye ushawishi mkubwa ameshawasusa hapatani nao, eg: Mkikuyu akili-timamu, Geza Ulole, Joto la jiwe na wengine wengi tu.Hahaha kumbe umesha mgundua.
Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
Ndio maana huwa nasema mkoloni aliondoka na akili zao [emoji23][emoji23][emoji23]Discussants wote wa muda mrefu na wenye ushawishi mkubwa ameshawasusa hapatani nao, eg: Mkikuyu akili-timamu, Geza Ulole, Joto la jiwe na wengine wengi tu.
Wewe umejuaje hizo data if Gava wamefichaLinganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
Wewe ulitaka tuwe nao wangapi?Tanzania na Burundi ndo miongoni mwa mifano mibaya zaidi duniani, hata msithubutu... Kumbuka kule kwa takwimuza corona bado mnasema mko na wagonjwa 500 pekee tangu April!
Sasa sijui Tz ingaengamia wao ndio wangefurahi?ππKuna watu wakiona hii wanajisikia vibaya sana maana predictions zao ilikua TZ yote iangamie kwa Covid-19.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hazijafichwa weka hapa.Wewe umejuaje hizo data if Gava wameficha
Kenya Leo imegonga ngapi?, wakenya wanadondoka barabarani huko Uganda, umesikia?Kama hazijafichwa weka hapa.
Ata zikiwepo they are for internal use..not for public consumptions...kwani hizo data mnazopewa nyie kila siku saa tisa zinawasaidia nn..mbona Wengi wenu mnataka muache hizo briefings kila siku coz haziwasaidii wananchi zaidi ya beanyenye wanaoziandaa hizo data kila kukicha.Kama hazijafichwa weka hapa.
Hao wanaokufa kwa wingi mbona hawaonekani? Tuliona Brazil makaburi yalivyokuwa yanaota kama uyoga. Tukaambiwa Tanzania wanazika usiku ili wasionekane, lakini makaburi mapya hayaonekani ki-vile. Inakuwaje ambao hawaiamini Serikali wanashindwa kutuonyesha makaburi mapya kila uchwao?Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
Naona maombi yenu yalikubalika kabisa, god's chosen people π€£π€£π€£U shud update ur brain my friend, last time I checked there were only 4 patients
Dah...acha woga mkuu [emoji2960]Sawa ninatulia, ila kumbuka kwamba:
1) Wali wa kushiba huonekana katika sinia
2) Nyota njema huonekana asubuhi
3) Ushindi hutegemea mbinu bora.
Ila ngoja nitulie kama ulivyonishauri MKUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sijakuelewa, woga upi?Dah...acha woga mkuu [emoji2960]
Mfano mbaya kwasababu mmeamua kuficha ukweliMifano mibaya kwa vigezo gani, kwani kenya ina wagonjwa wangapi mpaka sasa!
πππ Internal data unaijuaje wewe Kama sio ya public consumption?Ata zikiwepo they are for internal use..not for public consumptions...kwani hizo data mnazopewa nyie kila siku saa tisa zinawasaidia nn..mbona Wengi wenu mnataka muache hizo briefings kila siku coz haziwasaidii wananchi zaidi ya beanyenye wanaoziandaa hizo data kila kukicha.
Vile waliongezeka na kufika 480 ulihepa JF, miraculously you appeared immediately your government stoped reporting the cases. Unajua wanaficha ukweli.Kenya Leo imegonga ngapi?, wakenya wanadondoka barabarani huko Uganda, umesikia?