Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
 
Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

 
Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
 
Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
Wewe umejuaje hizo data if Gava wameficha
 
Kama hazijafichwa weka hapa.
Ata zikiwepo they are for internal use..not for public consumptions...kwani hizo data mnazopewa nyie kila siku saa tisa zinawasaidia nn..mbona Wengi wenu mnataka muache hizo briefings kila siku coz haziwasaidii wananchi zaidi ya beanyenye wanaoziandaa hizo data kila kukicha.
 
Linganisha hizo Nchi na Tanzania in terms of population, wealth and landmass utagundua Tz wanachezea watu akili.
Eritrea na Namibia sio visiwa na population iko chini mno na sio masikini wa kutupwa.
Corona iko Tz Tena kwa wingi Ila Serikali ya 7% growth inaficha kwa minajili ya uchaguzi Mkuu.
Hao wanaokufa kwa wingi mbona hawaonekani? Tuliona Brazil makaburi yalivyokuwa yanaota kama uyoga. Tukaambiwa Tanzania wanazika usiku ili wasionekane, lakini makaburi mapya hayaonekani ki-vile. Inakuwaje ambao hawaiamini Serikali wanashindwa kutuonyesha makaburi mapya kila uchwao?
 
Ata zikiwepo they are for internal use..not for public consumptions...kwani hizo data mnazopewa nyie kila siku saa tisa zinawasaidia nn..mbona Wengi wenu mnataka muache hizo briefings kila siku coz haziwasaidii wananchi zaidi ya beanyenye wanaoziandaa hizo data kila kukicha.
😂😂😂 Internal data unaijuaje wewe Kama sio ya public consumption?
 
Kenya Leo imegonga ngapi?, wakenya wanadondoka barabarani huko Uganda, umesikia?
Vile waliongezeka na kufika 480 ulihepa JF, miraculously you appeared immediately your government stoped reporting the cases. Unajua wanaficha ukweli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom