Kama mtu anakamatwa kwa kuicheka picha ya Rais, sioni Nani atadhubutu kupost anything kwa social media... Serikali yenu imewaweka makwapani, mpo mpo tu Kama robots Yani mnakuwa programed vitu vya kufanya, kusema...Kama si misifa unawekwa ndani...praise Team vile tulikuwa miaka ya 80s.Hao wanaokufa kwa wingi mbona hawaonekani? Tuliona Brazil makaburi yalivyokuwa yanaota kama uyoga. Tukaambiwa Tanzania wanazika usiku ili wasionekane, lakini makaburi mapya hayaonekani ki-vile. Inakuwaje ambao hawaiamini Serikali wanashindwa kutuonyesha makaburi mapya kila uchwao?
That's why hatutangazi Kama matangazo ya minada mmπππ Internal data unaijuaje wewe Kama sio ya public consumption?
Tufiche ukweli gani!!!ukweli wa watu kufa??ili iwe nini hasa??mfao mbaya kwasababu mmeamua kuficha ukweli,
Si utuambie basiTufiche ukweli gani!!!ukweli wa watu kufa??ili iwe nini hasa??
Ingekuwa ni swala la kukamata watu hovyo tungeshika hata wewe kuitumia hiyo picha hapo dp,lakini nini hasa lengo la kuitazama picha ya mkuu wa nchi kisha ukacheka!!!!alienda kupimwa akili labda aliisha anza kuwehuka.kakutwa yuko sawa ndio maana akaachiwa.Kama mtu anakamatwa kwa kuicheka picha ya Rais, sioni Nani atadhubutu kupost anything kwa social media... Serikali yenu imewaweka makwapani, mpo mpo tu Kama robots Yani mnakuwa programed vitu vya kufanya, kusema...Kama si misifa unawekwa ndani...praise Team vile tulikuwa miaka ya 80s.
Utatangaza kitu hauna kweli?That's why hatutangazi Kama matangazo ya minada mm
Mngenishika Kama Maxence Mello?ππ Nchi ya kibepari.Ingekuwa ni swala la kukamata watu hovyo tungeshika hata wewe kuitumia hiyo picha hapo dp,lakini nini hasa lengo la kuitazama picha ya mkuu wa nchi kisha ukacheka!!!!alienda kupimwa akili labda aliisha anza kuwehuka.kakutwa yuko sawa ndio maana akaachiwa.
Wewe elewa hivyo,usiulize sana.So in Tz mtu anayeshukiwa kuwa ni wazimu hivi hutiwa mbaroni, kutupwa korokoroni, kufunguliwa mashtaka Kisha anapimwa Kama Yuko sawa? [emoji16]
Only in Tz [emoji23][emoji23]
Ya kwenu ni ipi? πWewe elewa hivyo,usiulize sana.
Kuna namna nyingi ya kupima akili za mtu,anazo ameachiwa.
Wewe unayesema umefichwa,unao ukweli unaoujua unaupata source yako binafsi,ndio utwambie.Si utuambie basi
Hospital,polisi,mahakamani na hata shule pia.Ya kwenu ni ipi? [emoji16]
πππππππππππππ
Hospitality hapana, shule buku Saba hapana labda polisi na mahakamani Kama haupo praise team.Hospital,polisi,mahakamani na hata shule pia.
Hatulazimiki na hatuoni umuhimu wakeSi utuambie basi
hata sijui unabishana nini hapa na ni wazi tu serekali yenu imewatia gizani...Wewe unayesema umefichwa,unao ukweli unaoujua unaupata source yako binafsi,ndio utwambie.
Sisi tumeripoti wagonjwa 502 kwa mara mwisho namba kubwa,na wagonjwa 4 namba ndogo kabisa.
Kama kuna sehemu kuna wagonjwa 2300 inabidi wewe sasa ndio uitangazie dunia,na jamii yote ya watz popote ulimwenguni.
Dawa la Deni ni kulipa, Nani atawakopesha Kama kulipa no matanga? Ona precision Air ndio inawachukua wasafiri from Tuliwakomboa (South Africa) eti juu mnadaiwa na mtu binafsi(Mkulima) πSio lazima na hakuna mtu anawalazimisha kutangaza idadi, mnafanya hivyo kwa faida yenu ili kuwaridhisha mabwana zenu ili mupewe mikopo, hatuhitaji mikopo kwahiyo hatulazimiki kutangaza tumeamua kutotangaza.