Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.


EVBYw2xXYAAGhkj



#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy
 
Mm hawa watu siwaamini sn huwa wana ajenda zao za siri
Ukiumwa na kulala nyumbani kabla ya kufa na ukiwa na afya na kuzalisha na kuwa na hela kununua bidhaa zake, wapi Mchina anafaidika? Upotoshaji wa namna hii achia Gwajima na wafuasi wake mbumbumbu!
 
Ukiumwa na kulala nyumbani kabla ya kufa na ukiwa na afya na kuzalisha na kuwa na hela kununua bidhaa zake, wapi Mchina anafaidika? Upotoshaji wa namna hii achia Gwajima na wafuasi wake mbumbumbu!
Tunatofautiana katika kuamini mkuu, hii ni kutokana na historia ya ugonjwa lkn pia mm ni mfuasi wa conspiracy theories so I know what I have said and I believe in it, no one can change my mind kwa namna yoyote ile
 
Ukiumwa na kulala nyumbani kabla ya kufa na ukiwa na afya na kuzalisha na kuwa na hela kununua bidhaa zake, wapi Mchina anafaidika? Upotoshaji wa namna hii achia Gwajima na wafuasi wake mbumbumbu!
Kuna baadhi ya vitu hakuna haja ya msaada km tunaamini tunaweza kwnn tusitumie viwanda vyetu ktk kudhalisha vitu vdg km hv? Kiwanda hicho apo kinazalisha mask ya nn kutumia mask kutoka china
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom