Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Mbarawa na Samia wameingia kwenye historia kama Chifu Mangungo na mkalimani wake Ramazan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMbarawa na Samia wameingia kwenye historia kama Chifu Mangungo na mkalimani wake Ramazan.
Hakika.Alimuita mpunbavu hdharani
Nimekuchoma, polee!.Magufuli ndio nani, Mungu wako? Sisi siyo wafu km vipi mfuate. Magufuli mwenyewe alikuwa failure
Miaka miwili ya waziri prof Mbarawa inatia shaka na kusikitisha sana, hakuna flyover hata Moja iliyokamilika, hakuna barabara mpya hata Moja iliyokamilika,treni ya SGR haijaanza kufanya kazi! Kwa kweli ni masikitiko makubwa Kwa waziri huyu wa ujenzi.
Kwenye ilani ya ccm 2020 - 2025 Kuna ma flyover kibao yameahidiwa kujengwa ,je tutafanikiwa Kwa mwendo wa konokono huu wa waziri prof Mbarawa?
Hawa wana roho ya hapa siyo kwetu, tuwauzeMiaka miwili ya waziri prof Mbarawa inatia shaka na kusikitisha sana, hakuna flyover hata Moja iliyokamilika, hakuna barabara mpya hata Moja iliyokamilika,treni ya SGR haijaanza kufanya kazi! Kwa kweli ni masikitiko makubwa Kwa waziri huyu wa ujenzi.
Kwenye ilani ya ccm 2020 - 2025 Kuna ma flyover kibao yameahidiwa kujengwa ,je tutafanikiwa Kwa mwendo wa konokono huu wa waziri prof Mbarawa?
Inasikitisha sanaWazanzibari ni wezi duniani hakuna mfano. Mnakumbuka Fimbo ya Polisi Africa nzima ya dhahabu ilifanya Tour Zanzibar, ikawa mwisho wake.
Hiyo Tanganyika sii haipoKwa nini aingie mkataba unaoihusu Tanganyika wakati yeye ni mzanzibari? tuanzie hapo kwanza.
Mnakuja na uzi mnaojua utasababisha Mbarawa atukanwe na baadhi ya watu humu ndani. Haswa wale bendera hufuata upepo.Katika mkutano wake hivi karibuni na viongozi wa bandari, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, alitoa taarifa kwamba Zanzibar haikuwemo katika mkataba uliosainiwa kati ya serikali ya Tanzania na Dubai kuhusu uwekezaji katika bandari. Sababu ya kutolewa taarifa hii ni kwamba sheria inayounda Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inatoa jukumu la kusimamia na kuendesha bandari za Tanzania Bara pekee.
Ni kweli kwamba mkataba huu umesababisha maswali mengi kutoka kwa wananchi, wakihoji kwa nini Zanzibar haikuhusishwa katika mkataba huo. Waziri Mbarawa amefafanua kuwa Sheria Na. 17 ya mwaka 2004, inayounda TPA, inalenga kusimamia na kuendesha bandari za Tanzania Bara tu, na sio Zanzibar.
Hata hivyo, tunapozingatia sheria na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tunaweza kuona umuhimu wa kuzingatia Zanzibar katika mchakato huu. Sheria Na. 15 ya mwaka 1984 inathibitisha kuwa Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano. Sheria Na. 4 ya mwaka 1992 inaendelea kueleza kuwa eneo la Jamhuri ya Muungano linajumuisha Tanzania Bara na Zanzibar, pamoja na sehemu yake ya bahari.
View attachment 2659610
Ni muhimu kukumbuka kwamba Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa, na inafuata mfumo wa vyama vingi vya siasa, kama inavyotajwa katika Sheria Na. 4 ya mwaka 1992. Hii inamaanisha kuwa masuala ya kitaifa yanapaswa kushughulikiwa kwa kuzingatia usawa na ushirikiano kati ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Hivyo basi, tunapendekeza kuwa serikali ichukue hatua za ziada kuhakikisha kuwa Zanzibar inahusishwa kikamilifu katika mchakato wa uwekezaji wa bandari. Hii inaweza kufanyika kwa kushirikisha viongozi wa Zanzibar na kuweka mazingira mazuri ya kisheria yanayowezesha ushiriki wao. Aidha, mashauriano kati ya Rais wa Jamhuri ya Muungano na Rais wa Zanzibar yanapaswa kufanyika kabla ya kufanya maamuzi muhimu yanayohusu Zanzibar.
Tunasisitiza umuhimu wa kuendeleza umoja, usawa, na ushirikiano katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni kupitia ushirikiano huu tunaweza kufanikisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa pande zote za muungano. Tunatarajia kuona hatua zinazochukuliwa ili kuhakikisha kuwa maslahi ya Zanzibar yanazingatiwa na kuwa pande zote zinafaidika na uwekezaji huu katika sekta muhimu ya bandari.
Tunakaribisha serikali kutenda kwa uwazi na kushirikiana na wadau wote ili kuhakikisha kuwa maamuzi ya kitaifa yanafanywa kwa njia ya haki na kuzingatia maslahi ya pande zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hatua hii itasaidia kuimarisha umoja wetu na kuleta maendeleo thabiti na endelevu kwa nchi yetu.
View attachment 2659611
Halafu ni professor eti .na mimi nasema ni mpumbavu kipeuo cha piliAlimuita mpunbavu hdharani