Tanzania ni nchi moja, kwanini Prof. Mbarawa aseme aliyosema kuhusu mkataba wa bandari

Magufuli ndio nani, Mungu wako? Sisi siyo wafu km vipi mfuate. Magufuli mwenyewe alikuwa failure
Nimekuchoma, polee!.

Magufuli licha ya madhaifu yake mengine lakini kamwe, kamwe asingeweza kutugeuza watanganyika watumwa ndani ya nchi yetu.

Ikikuuma tena katafute kidonge cha maumivu umeze.
 

..msimlaumu Mbarawa.

..upigaji mkubwa kiasi hiki hauwezi kufanyika bila ya ridhaa au kumhusisha kiongozi mkuu.

..na kama makosa yangekuwa ni ya Mbarawa basi angekuwa ameshatimuliwa.
 
Hawa wana roho ya hapa siyo kwetu, tuwauze
 
Wazanzibari ni wezi duniani hakuna mfano. Mnakumbuka Fimbo ya Polisi Africa nzima ya dhahabu ilifanya Tour Zanzibar, ikawa mwisho wake.
 
Mnakuja na uzi mnaojua utasababisha Mbarawa atukanwe na baadhi ya watu humu ndani. Haswa wale bendera hufuata upepo.

DPW hakuwa na sababu ya kutaka kuitumia bandari yoyote ya Zanzibar kwani huko hakuna mzigo anaoutaka.

Zanzibar hakuna madini anayoyataka hivyo hana anachokitafuta huko visiwani.

Pili kuna bandari zinazoendelezwa na serikali ya Mwinyi muda huu, kuna bandari ya mpigaduru inaendelezwa hivyo hakuna sababu hata ya kuumiza kichwa kuwazia suala hilo.

Ni majungu tu ya wale wale waliokuwa nyuma ya Mbarawa katika awamu ya RIP Magufuli leo hawampendi Samia basi na Mbarawa nae ni adui yao!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…