balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hiyo ni wakati ule hata Tz Hanga,Sadala,Abdala majura,Nk waliuawa.Kenya ya leo demokrasia imetamalaki,vinginevyo jaluo asingekuwepo.HuyubMsando ni issue binafsi zaidi.Tom Mboya, Pio Gama Pinto, Aoko, JUMA and Msando, just to mention few, lakusikitisha hakuna mtu hata mmoja aliyekamatwa katika mauaji yote haya tena ya watu wakubwa sana serikalini
Sent using Jamii Forums mobile app
PAKA baada ya kumaliza ya mchungaji sasa kaikamata nchi ,tuko safarini tunaenda Rwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app