Tanzania Police Force: Muwe na subira upelelezi unaendelea. Msipost mambo kwa mhemuko

Tanzania Police Force: Muwe na subira upelelezi unaendelea. Msipost mambo kwa mhemuko

Attachments

  • Screenshot_20240806_225023_Drive-860x1142.jpg
    Screenshot_20240806_225023_Drive-860x1142.jpg
    141.9 KB · Views: 4
Mjitathimini nyie,upelelezi gani mnafanya pusi nyie.
Ndo mjue kwamba hamjui na mnakula Kodi zetu bule.
Ovyo kabisa.
Mnavowadaka wengine,wanasota rupango.
Kesi zinapigwa tarehe huku mkisema upelelezi haujakamirika na mtuhumiea akiendelea kusota.

Pumbafu sana.
Kiufupi hamko poa inatakiwa kuwepo na chombo huru Cha kuwakagua nyie maana mnaboa sana.
 
Wapuuzi hao wanajua kuiongezea CCM kura kwenye masanduku tu ili isishindwe.

Ila uzuri najua kwanini hawaumii maana rais mzanzibar na waziri wa mambo ya ndani ni mzanzibar.

Zanzibar hatusikii mtu katekwa wala kabakwa ndio maana wao roho kwatu.
 
Back
Top Bottom