Of course, kuna watu wanaodhani mambo mabaya yakitokea kwa wenzao they deserve them. Lakini Mungu si Athmani, hata hao wanaodhani hivyo mikasa huwakumba kwa namna mbalimbali, just kuonyesha kwamba jambo baya kutokea kwako siyo lazima uwe umejitakia mwenyewe. Kuna watu wenye roho mbaya ajabu!Well said
Kama umekaa maeneo ya uswahilini unaweza kuwa shahidi wa hili
Watoto wanarubuniwa na kwakuwa wapo financially broke wanakubali kutembea na hao manipulators
So being logically is all we need to deal with these kids
Sifikirii hata 20 yrs Kama kazidi