Tanzania Police Force: Muwe na subira upelelezi unaendelea. Msipost mambo kwa mhemuko

Tanzania Police Force: Muwe na subira upelelezi unaendelea. Msipost mambo kwa mhemuko

Naipenda serikali lakini kwenye hili hapana hizi njia za kurefusha mambo kwa kutegemea mambo yatapoa halafu wayamalize maana ndio njia wanazotumia. Ukisikia tu tuko kwenye upelelezi basi inamaanisha but time tu. Upelelezi mavi wakati watu wanajulikana.
Mambo ya ajabu sana...
Mbona huu mfumo unapenda kutetea ujinga uchafu au mfumo
Unapenda hali hii

Ova
 
Hili jambo ni la hovyo sana na linaharibu taswira ya nchi, ikichukuliwa duniani kote wanawake na watoto wanapewa kipaumbele katika kulindwa dhidi ya vitendo vya kikatili kama alichofanyiwa huyo binti.
 
I second you
Kuna Mmoja alimaliza UDSM pale nakumbuka mwenye Mali alimuuliza tena Kiustaarabu tu Mwanangu kwanini Unaniibia Mali yangu na cha Kusikitisha Mwizi badala ya Kwanza kumheshimu mwenye Mali akaanza Kumtukana na Kumdhalilisha wenye Mali hadi mwenye Mali akaondoka. Acheni tu Wakomeshwe Mimi niko 50 / 50 katika lililtokea kama kuna atakayeninua au kunioa wa Ajabu poa tu.
 
Kuna Mmoja alimaliza UDSM pale nakumbuka mwenye Mali alimuuliza tena Kiustaarabu tu Mwanangu kwanini Unaniibia Mali yangu na cha Kusikitisha Mwizi badala ya Kwanza kumheshimu mwenye Mali akaanza Kumtukana na Kumdhalilisha wenye Mali hadi mwenye Mali akaondoka. Acheni tu Wakomeshwe Mimi niko 50 / 50 katika lililtokea kama kuna atakayeninua au kunioa wa Ajabu poa tu.
Wewe siku zote ni waajabu na matusi yako na lugha chafu,na kiburi na majigambo

Natarajia mitusi toka kwako

Karibu chief
 
Back
Top Bottom