Tanzania Premier League: Kuna ulazima wa klabu moja wapo (Simba au Yanga) iondoke Dar na kuhamia Arusha au Mwanza ili kuongeza ladha ya mchezo wa soka

Tanzania Premier League: Kuna ulazima wa klabu moja wapo (Simba au Yanga) iondoke Dar na kuhamia Arusha au Mwanza ili kuongeza ladha ya mchezo wa soka

Mchanga wake mlain huna shida ya kuvaa raba Kama coco.
Kigambon naona sakafu yake ya bahari iko poa ukilinganisha na coco bitch!
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Laini saaaaana
 
Yanga nyumbani ni darr,hiyo mikoa ambayo haina timu ipambane na hali yake
Yanga na Simba zina mashabiki Tanzania nzima. Kila mkoa ni nyumbani kwa timu hizi mbili na zinapokelewa kwa shangwe kubwa...
 
Yanga na Simba zina mashabiki Tanzania nzima. Kila mkoa ni nyumbani kwa timu hizi mbili na zinapokelewa kwa shangwe kubwa...
Ndo maana kabla ya ligi kuanza timu zinasema viwanja vyao vya nyumbani ni vipi na ni utaratibu uliopo kwenye kanuni. Hayo yako ni maoni tu na kelele za mitandaoni.
 
Hili la timu kuhama sina comment lakini mechi ya simba na yanga kuchezwa mikoa tofauti na dar es salaam naafiki. Watakua wamewatendea haki washabiki wao wa mikoani ambao hawawezi kusafiri mpaka dar kuangalia mechi.
 
Hili la timu kuhama sina comment lakini mechi ya simba na yanga kuchezwa mikoa tofauti na dar es salaam naafiki. Watakua wamewatendea haki washabiki wao wa mikoani ambao hawawezi kusafiri mpaka dar kuangalia mechi.
Ndio hivyo mkuu. Simba na Yanga zina wapenzi nchi nzima na sio Dar pekee. Siku moja wapeleke derby yao hukoooo Mwanza waone namna watakavyopokelewa kwa shangwe na vifijo
 
Uwanja gani wenye uwezo wa kuhimili mechi ya simba na yanga nje ya Dar ipelekwe huko?
Klabu za simba na yanga zimeshavuka level ya kutegemea kipato cha mechi moja. Tofauti ya kipato mechi ikichezwa nje ya dar ni kubwa lakini sio kwa timu hizi.
 
Back
Top Bottom