Ku droo na Vyura Roho iliniuma sanaAcha kuwaombea wenzako mabaya basi jaribu kua na huruma
5 bila
HahahaHizi timu nyingine kuzipambanisha na Simba SC ni kuishusha hadhi Simba SC. Nashauri TFF iangalie upya hili suala!
Hunizidi mimi mkuuKu droo na Vyura Roho iliniuma sana
Ulikua timamu na makini sana ndani ya Dk. zote 90.. Ubarikiwe sana Mkuu.90+3'
Wakati wowote mpira unamalizika uwanja wa Taifa
Naaaaam mpira umekwisha ambapo Simba imeibuka na ushindi mnono wa mabao matano bila majibu dhidi ya Ruvu Shooting
Mabao ya Okwi 3, Meddie Kagere 1, Adam Salamba 1
Ni timu mzima ya JF tumekuletea mtanange
Asanteni sana...
Ghazwat
Simba ihamishiwe La LigaHizi timu nyingine kuzipambanisha na Simba SC ni kuishusha hadhi Simba SC. Nashauri TFF iangalie upya hili suala!
Heshima kwako mkuu90+3'
Wakati wowote mpira unamalizika uwanja wa Taifa
Naaaaam mpira umekwisha ambapo Simba imeibuka na ushindi mnono wa mabao matano bila majibu dhidi ya Ruvu Shooting
Mabao ya Okwi 3, Meddie Kagere 1, Adam Salamba 1
Ni timu mzima ya JF tumekuletea mtanange
Asanteni sana...
Ghazwat
Mkuu, katika siku nilizopata huzuni dunian ni kufiwa na baba yangu na kutoa suluhu na vyura. Kwasasa gari limewaka tayari kila atakaye kuja mbele yetu ajiandae kisaikolojia.Ku droo na Vyura Roho iliniuma sana
Mkuu ukinitajia majina ya dawa za kienyeji siwezi kukuelewa kumbuka tunazungumzia habari za mpira sio waganga na dawa zao
Hahahaha watapata tabu sana MNYAMA ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Pale vyura hawaamini walivonusurika kwa hiki kinachowakuta wenzaoView attachment 914310
Pale vyura hawaamini walivonusurika kwa hiki kinachowakuta wenzaoView attachment 914310
nyie simba leo lazima mshikwe mkia wenu, bungusiro fc
yaani leo mtabaki mnashangaa kama hivi
tupo pamoja ruvu shooting nitakuja baadae kuwashangilia.
Mkuu, Umemsikia Masau Bwire. Msubiri kupapaswa square.
TPL zimebaki timu mbili ambazo hazipoteza mchezo wowote. Timu nyingine zote ndogo ndogo mnapishana idadi ya mechi za kufungwa.
Kila la kheri Ruvu Shooting, msitishwe na majina wala uzee wao! Fanyeni kama mbao vile
Hahaaaa. Langu jicho Mtani.
Japo nakaona kadalili ka nyie kishinda. Ila yote kwa yote kila la kheri RUVU SHOOTING
Hongereni kwa kupunguza idadi ya magoli.. Leo mlikua mle 10. Msalimieni msemaji wenu wa timu Bwire, na akikisheni anafika kwake salama, mana hali niliyomuacha nayo dk 10 zilizopita, si nzuri.Leo El Clasico....tutaangalia kipndi cha pili
Hisa ni bidhaa kwenye kampuni. Usishangae mwana Yanga kununua hisa za Simba.Acha zako eti muinunue simba wakati nauli yakwenda mikoani hamna mmeomba tff wawape mechi za nyumbani mjikusanyie angalau nauli kidogo