Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Hahahaha vyura wanatamani watandaze kandanda safi kama la MNYAMA lakini uwezo wao mdogoVyura saivi wanajadili tano za barcelona ya ulaya alafu wanashangaa ni kivipi inakiwango cha kumfunga tano timu pinzani utafikili mambo hayo hayajatokea tanzania tena at the same day
Ukimskia nakukumbusha kurekodi namimi nijifunze maneno yakumfariji mtu apatapo matatizo mkuuKesho itabidi nisikilize kipindi cha Sports HQ kusikiliza huyu msemaji wa Papasa Square na Noto Style atakachoongea.
Hatutavumilia yale ya Alex Kitenge.Naomba Okwi apewe mpira wake haraka.
Ukimskia nakukumbusha kurekodi namimi nijifunze maneno yakumfariji mtu apatapo matatizo mkuu
Simba ni zaidi ya burudani mkuuSimba inanipa raha mpaka naboreka yani...
Weekend zangu zote huwa zinakwisha vizuri sana
Hata sisi hapa member kwenye huu uzi tukiungana mladi tuwe 11 basi tuvae jezi tena nyekundu alafu kikosi kizima cha yanga kicheze nakuhakikishia hatuta waachaHahahaha vyura wanatamani watandaze kandanda safi kama la MNYAMA lakini uwezo wao mdogo
Aiseee hizi ni taarifa mbaya sana kwa vyura na wengineKotei na Nyoni wanarudi mechi ijayo ingawa kutoonekana kwao hakukupunguza vipigo kwa timu pinzani ila wanavyorudi wana hasira kali
Kwa oganization hii Sasa naona 7G kwa mbaaaaaliKotei na Nyoni wanarudi mechi ijayo ingawa kutoonekana kwao hakukupunguza vipigo kwa timu pinzani ila wanavyorudi wana hasira kali
Kwa simba hii Hadi aish manula atapiga hattrikHatutavumilia yale ya Alex Kitenge.
Alafu TFF wawe wanaandaa mipira mingi maana leo ilikua zamu ya Okwi.. mechi ijayo ni ya Kagere.. Anayefuata, atakua Salamba.. Baada ya hapo ni wote watatu.. Kwa kifupi ni mihat-trick kwa kwenda mbele.
Kabisa mkuu mipira inatakiwa iwepo ya kutosha kwa ajili ya mastraika machachari wa SIMBAHatutavumilia yale ya Alex Kitenge.
Alafu TFF wawe wanaandaa mipira mingi maana leo ilikua zamu ya Okwi.. mechi ijayo ni ya Kagere.. Anayefuata, atakua Salamba.. Baada ya hapo ni wote watatu.. Kwa kifupi ni mihat-trick kwa kwenda mbele.
Hapa ni dk kadhaa kabla mpira haujaisha.Mkuu hauna picha nyingine ya masau bwire baada ya mpila kuisha?
Hahahaha aisee angalia mkuu vyura wasije wakakuteka tu [emoji23]Hata sisi hapa member kwenye huu uzi tukiungana mladi tuwe 11 basi tuvae jezi tena nyekundu alafu kikosi kizima cha yanga kicheze nakuhakikishia hatuta waacha
Haaaa kumbe kijana wawatu asipo huzunika anasura nzuri tu?Hapa ni dk kadhaa kabla mpira haujaisha.View attachment 914465
HahahahaHaaaa kumbe kijana wawatu asipo huzunika anasura nzuri tu?
Mkuu naona wamesikia ombi lako.Naomba Okwi apewe mpira wake haraka.
Hivi yale masimu atakua aliyashika ya wachezaji wake et?
Hahaha.. Hapo ilibidi afurahie tu soka tunalotandaza, mana hakua na namna.Haaaa kumbe kijana wawatu asipo huzunika anasura nzuri tu?