Tanzania safari Chaneli boresheni habari zenu; Mnaonesha utumbo mwingi sana kuliko ubunifu

Tanzania safari Chaneli boresheni habari zenu; Mnaonesha utumbo mwingi sana kuliko ubunifu

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Ukizungumzia umhimu wa Documentary chaneli katika utalii Tanzania! Huwezi Kuacha kuizungumzia TANZANIA SAFARI CHANELI

Chaneli hii imekuja kuonesha mageuzi makubwa sana katika sekta ya utalii Tanzania!
Lakini pamoja na mazuri ya chaneli hii IPO shida kubwa sana katika namna wanavyowasilisha matangazo yake!

Safari chaneli imekuwa channel bubu katika matangazo yake zaidi ya 90%

Ukitizama Tanzania safari chaneli Kuanzia Asubuhi hadi jioni tarajia kusikia simulizi butu au video bubu isiyokuwa na maelezo kama vile alama za barabarani!

Mwanzo mwisho ni maneno machache tu yanasikika mfano ( Hiki ni kisiwa cha BONGOYO halafu kimyaaaaaah) au utasikia hiki ni kisiwa cha MBUDYA then nothing over baada ya hapo!

Utaoneshwa wadudu pasipo maelezo, utaoneshwa mawe majabari pasipo maelezo , utaoneshwa mbuga za wanyama Tanzania pasipo maelezo!

Yaani kiufupi no Investigation story katika habari hii ya Tanzania safari chaneli!

Mazungumzo ni hadi pale ikitokea wameingia vijiji vya wamasai ndipo utasikia wanaongea Huyu MOLANI WA KIMASAI over! Au hadi pale wanapokutana na Bongo zozo mbugani

Naomba hii chaneli iajiri watu wenye uelewa/competent ili itangaze vitu vya kueleweka!
Mambo ya kutaja majina ya kisiwa na kunyamaza hayataisaidia inchi!

Ijifunze kuchambua mambo ili wananchi waelewe kuliko hivi sasa mda wote wanataja majina na kunyamaza!

Leo hii ni rahisi sana kumuelewa Simba kutoka Chaneli za ulaya zinazokuja kurekodi Tanzania! Kuliko kuangalia TZ safari chaneli!
 
Wajifunze kwa channel kama netwild...mana bado wapo nyuma sana..kamera sinatoa picha nyeusi..kama ni maporomoko ya maji wanaweza onesha jinsi maji yanavyomwagika kipindi kizima..

Bado kuna mengi ya kurekebisha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wajifunze kwa channel kama netwild...mana bado wapo nyuma sana..kamera sinatoa picha nyeusi..kama ni maporomoko ya maji wanaweza onesha jinsi maji yanavyomwagika kipindi kizima..

Bado kuna mengi ya kurekebisha.

#MaendeleoHayanaChama
Yaani jamaa wanashindwa hata kudadavua vitu vikaeleweka
 
Ukizungumzia umhimu wa Documentary chaneli katika utalii Tanzania! Huwezi Kuacha kuizungumzia TANZANIA SAFARI CHANELI

Chaneli hii imekuja kuonesha mageuzi makubwa sana katika sekta ya utalii Tanzania!
Lakini pamoja na mazuri ya chaneli hii IPO shida kubwa sana katika namna wanavyowasilisha matangazo yake!

Safari chaneli imekuwa channel bubu katika matangazo yake zaidi ya 90%

Ukitizama Tanzania safari chaneli Kuanzia Asubuhi hadi jioni tarajia kusikia simulizi butu au video bubu isiyokuwa na maelezo kama vile alama za barabarani!

Mwanzo mwisho ni maneno machache tu yanasikika mfano ( Hiki ni kisiwa cha BONGOYO hakafu kimyaaaaaah) au utasikia hiki ni kisiwa cha MBUDYA then nothing over baada ya hapo!

Utaoneshwa wadudu pasipo maelezo, utaoneshwa mawe majabari pasipo maelezo , utaoneshwa mbuga za wanyama Tanzania pasipo maelezo!

Yaani kiufupi no Investigation story katika habari hii ya Tanzania safari chaneli!

Mazungumzo ni hadi pale ikitokea wameingia vijiji vya wamasai ndipo utasikia wanaongea Huyu MOLANI WA KIMASAI over! Au hadi pale wanapokutana na Bongo zozo mbugani

Naomba hii chaneli iajiri watu wenye uelewa/competent ili itangaze vitu vya kueleweka!
Mambo ya kutaja majina ya kisiwa na kunyamaza hayataisaidia inchi!

Ijifunze kuchambua mambo ili wananchi waelewe kuliko hivi sasa mda wote wanataja majina na kunyamaza!

Leo hii ni rahisi sana kumuelewa Simba kutoka Chaneli za ulaya zinazokuja kurekodi Tanzania! Kuliko kuangalia TZ safari chaneli!
Vipo vipindi vya maelezo kama unavyotaka na Vipo vipindi (actually sio vipindi, ni long adverts, yani matangazo marefu) ambavyo huwa havina ulazima wa kutia maneno mengi. Kwa hiyo wapo vizuri tu.
 
Channel imejaa siasa tuu , na vipind wanavirudia hvyo hivyo miaka nenda rudi
 
Wajifunze kwa channel kama netwild...mana bado wapo nyuma sana..kamera sinatoa picha nyeusi..kama ni maporomoko ya maji wanaweza onesha jinsi maji yanavyomwagika kipindi kizima..

Bado kuna mengi ya kurekebisha.

#MaendeleoHayanaChama
Mnachanganya vipindi na long adverts, hivyo mnavyoona maporomoko halafu maneno machache hivyo sio vipindi. Vipindi proper vipo kama mnavyotamani
 
Kama wameshindwa waombe documentaries kwa NAT GEO WILD. Mbona wanakujaga sana bongo kushoot documentaries kali. Haya mambo yanahitaji commitment. Waache kuchezea kodi zetu.
 
Muda ni tatizo kwa mswahili...

Makala huwa inatakiwa kutengenezwa kwa muda mrefu sana ili unapokuja kuonyesha hewani basi content zinakuwa za kutosha..

Uvivu,,, laiti Safari Channel ingekuwa ya mtu binafsi ungeona kazi inavyopigwa,, Team ingekuwa kubwa,, watu wangegawanya kila sehemu kwenye vivutio, na wangekuwa na task ya kuleta content kila leo...

Pia hii channel kila siku mambo ni yale yale,,, na hawataki kueleza kitu kimoja deep, wanadonoa donoa tu kama Elimu ya kiTz,,
 
Muda ni tatizo kwa mswahili...

Makala huwa inatakiwa kutengenezwa kwa muda mrefu sana ili unapokuja kuonyesha hewani basi content zinakuwa za kutosha..

Uvivu,,, laiti Safari Channel ingekuwa ya mtu binafsi ungeona kazi inavyopigwa,, Team ingekuwa kubwa,, watu wangegawanya kila sehemu kwenye vivutio, na wangekuwa na task ya kuleta content kila leo...

Pia hii channel kila siku mambo ni yale yale,,, na hawataki kueleza kitu kimoja deep, wanadonoa donoa tu kama Elimu ya kiTz,,
Hiki ni kisiwa cha bongoyo!.........kimyaaaaaaaaah
 
Kama hawajui kitu wataongea nini, maana kudanganya watafungiwa...
 
Hiki ni kisiwa cha bongoyo!.........kimyaaaaaaaaah

Content creation ni tatizo,,, halafu ni kipaji.. sasa wao wanapeana Ajira za michongo wanasahau weledi..

Na Salary si uhakika,, wajibidiishe ili wagundue nini?? wakati keki ya taifa wanakula
 
Yes maboresho muhimu,, kitu kingine ambacho pia kinahitaji maboresho ni ,"background sound" Mimi nadhani background sound inapaswa iwe ya kuchangamsha na kuvutia, tutazame hata za huko nje background sound zinavyokuwa na vibe,, unajua documentary inaweza kuwa nzuri ila background sound Ikiwa Kama inahuzunisha hivi, unaweza acha kuendelea kuitazama.
 
Back
Top Bottom