#COVID19 Tanzania: Serikali yaagiza uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko

#COVID19 Tanzania: Serikali yaagiza uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko

Kupata revelations mpya at a time ni kosa?

Usisahau pia mwenye lake jambo sasa hayupo. Alikuwa anatuelekeza kubaya - siyo siri.
Hapo mwisho umenena vyema mkuu. Aliwashika akili mawaziri wote.

Watu waliishi kwa kumfurahisha mwendazake.

Ila kwa sasa cha muhimu kujilinda. Na kuwalinda wengine
 
Mkuu tuelewana kutokuelewana ila Jambo mhim ni hili hatuna vivid yakujustify kwa Nini tuwe hzo application wanazo ziimpich nw..

Ukipata vivid mahusus nishirikishe...

Mkuu nasikiliza wataalamu wa afya. Kama wewe ni mmoja wao, taarifa tu, tafadhali. Vinginevyo yote unayosema ni kelele kama za vyura tu.
 
walio mbele wana akili za kimatako kama wewe unadhani!!!
labda kama umeenda kukaa kwa dada yako aliyepata buzi.
Muulize mama yako alikubalije kuwa demu wangu

BTW umeacha ushoga?
 
Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.

Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Umevuta bhangi wewe? Unaacha kuwasema wanafiki waliohimiza nyungu
 
Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.

Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Hivi Lissu na Mbowe ndiyo wanaiongoza Tz?
Sisi ni nchi huru atuwezi kuwafuata IMF
 
No problem...leo asubuhi nilikuwa naliangalia box langu la barakoa nililolinunua 20000/ na sanitizer ya 5000 miezi 4 iliyopita nikajua nimeshapata hasara ya

Maswala ya serikali na mikopo ya IMF wala siyaingilii,nchi yangu kushindana na wazungu BADO SANA watoe tu takwimu mambo yaende[emoji40]

Nitavaa barakoa kwa sababu niliwahi shuhudia vifo vilivyotokana na ugonjwa huo ndo maana nilinunua barakoa na sanitizer kwa tahadhari ama dharura kama hizi
Lakini hizk barakoa hazizuii corona! Zingekuwa zinazuia kusingekuwa na maambukizi mapya nchi ambazo ni lazima kuvaa barakoa!!
 
Bi

Bila shaka wewe utaishi milele!!

Haya ya vifo mbona nayo yameelezwa sana? Nani asiyejua, kwamba pana vifo vya aina 4:

1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa)
2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa kwenye viroba wako hapa)
3. Mapenzi ya Mungu (vya kina Nyerere viko hapa).
4. Vya kijinga (kudharau corona vipo hapa).


Concern yetu ni categories #2 na #4 tu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Watanzania wengi wanadharau uvaaji wa barakoa ,mwendazake alibrainwash watu sana ,wanaovaa barakoa kwasasa ni watu ambao wanaojielewa lakini hawa wavuja jasho hawezi kukuelewa kuvaa barakoa.
Sawa nyinyi mnaojielewa vaeni tu. Sisi hatuna mpango huo!
 
Mimi binafsi, hata kabla Magufuli hajazi-dongo-a barakoa, nilishaweka msimamo wa kutovaa. Wavae wanaoona kinga zao za mwili ni za mashaka.


Ya nini kulazimishana mibarakoa ili mpewe mkopo nafuu? Hafu unakuta wakishapewa pesa wanaigawana wakubwa walio madarakani na wale waliokwisha staafu ila bado wanapenda kuongoza.
Mimi kwa kweli siwezi kuvaa chupi mdomoni kabisa.
 
Acha ujeuri wewe, vaa barakoa tupate mkopo.[emoji276]
Mkopo kwa ajili ya kupima covid 19 ambayo haipo! Mkopo kwa ajili ya chanjo ya corona hewa!! Halafu tunadanganywa eti ni mkopo wa masharti nafuu (na hayo masharti nafuu hayatajwi). Halafu mtu na akili zake anakubali!! Mabeberu yakibeza utu wetu inabidi tuyaelewe!!!
 
Back
Top Bottom