Green battle
Member
- Jun 11, 2016
- 73
- 68
Nafikiri akili yako imeshagundua ninacho maanisha na ulicho maanisha.Kwani mi nimemtaja nani na wewe una mjua nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri akili yako imeshagundua ninacho maanisha na ulicho maanisha.Kwani mi nimemtaja nani na wewe una mjua nani?
Na ya bibi ako?iQ yako ndogo mama
😂😂😂😂Na ya bibi ako?
Sawa Bashite😂😂😂😂
Basi ndugu haina haja kutupiana maneno ambayo Hayana msingi wakati pesa zinaliwana watu wengine, jitahid kulipa kodi ili kuleta maendeleo ya nchi, na unapo-ongeza salio kwenye lain yako ya cm usisahau kuweka na shiling 200 kwaajili ya makato kwa maendeleo yetu #Ndugu babati
Ungeuonaje?Tutaacha lini kuiga mambo?
Tukubali tukatae, korona si kwa ajili yetu Watanzania. Mbona tunatumia nguvu nyingi kulazimisha tuamini uwepo wa korona ambayo kiuhalisia haipo!
Ugonjwa haufichiki, ingekuwepo tungeiona tu…. tuache kuchuma majanga.
Hapa ndipo nachokaga kabisa!Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.
Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Mpaka imtikise Ndugu Yai na wafuasi wake ndipo tuikie matamkoTunahitaji miongozo mapema na kwa wingi, msione aibu wale wafuata upepo wa awamu ya tano, kubalini tu na hali halisi ili isije ikapukutisha viongozi wakubwa.
Watanzania wamezoea kupata maelezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa. Awamu ya is a mlipuko wa covid-19 awamu ya Tatu baada ya kutikisa India, Sasa inatikisa vilivyo nchi jirani.Imelipotiwa Uganda, Kenya, DRC, Rwanda Sasa ipo Zambia.
Tunahitaji miongozo mapema na kwa wingi, msione aibu wale wafuata upepo wa awamu ya tano, kubalini tu na hali halisi ili isije ikapukutisha viongozi wakubwa.
Watanzania wengi wanapenda matamko , sio mbaya kutoa matamko huku wakitolea mfano nchi jirani walivyokwenye mtikiso wa covid-19.
Kinga ni bora kuliko tiba.