Hapo mwisho umenena vyema mkuu. Aliwashika akili mawaziri wote.Kupata revelations mpya at a time ni kosa?
Usisahau pia mwenye lake jambo sasa hayupo. Alikuwa anatuelekeza kubaya - siyo siri.
Mkuu tuelewana kutokuelewana ila Jambo mhim ni hili hatuna vivid yakujustify kwa Nini tuwe hzo application wanazo ziimpich nw..
Ukipata vivid mahusus nishirikishe...
😂😂😂😂😂🤔 Si ni huyu huyu alikuwa anasema tunywe Mizizi.
Umemnukuu vibaya Mkuu!!🤔 Si ni huyu huyu alikuwa anasema tunywe Mizizi.
Muulize mama yako alikubalije kuwa demu wanguwalio mbele wana akili za kimatako kama wewe unadhani!!!
labda kama umeenda kukaa kwa dada yako aliyepata buzi.
Tena zinashonwa kiuchumiiii zinabana pua huwezi hata kupumuaBarakoa tena
Mtakuja kutuuuwa.,
Chips yai anakula nani? maana hicho ni chakula chenye kuliwa sana tu na ndio maana biashara ya chips ipo vizuri kila mtaa kuna banda la chips.Nope... Kwa vyakula vya asili...mkuu tunavyo vya kutosha.. na tayari tunavila hata nyungu ni chakula
Vipi hajazungumzia nyungu?Kwani korona ipo nchini?
Umevuta bhangi wewe? Unaacha kuwasema wanafiki waliohimiza nyunguLisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.
Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Hivi Lissu na Mbowe ndiyo wanaiongoza Tz?Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.
Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Mwache akapige hela bhanaNitafanya kila lililo juu ya uweza wangu mwanangu asiwe mwanasisa.
Kabisa yaani yule aliwapotosha
Uanasiasa wa bongo unatia huruma!! Mtu anakubali kuwa mnafiki kinyume na dhamiri yake!Nitafanya kila lililo juu ya uweza wangu mwanangu asiwe mwanasisa.
Lakini hizk barakoa hazizuii corona! Zingekuwa zinazuia kusingekuwa na maambukizi mapya nchi ambazo ni lazima kuvaa barakoa!!No problem...leo asubuhi nilikuwa naliangalia box langu la barakoa nililolinunua 20000/ na sanitizer ya 5000 miezi 4 iliyopita nikajua nimeshapata hasara ya
Maswala ya serikali na mikopo ya IMF wala siyaingilii,nchi yangu kushindana na wazungu BADO SANA watoe tu takwimu mambo yaende[emoji40]
Nitavaa barakoa kwa sababu niliwahi shuhudia vifo vilivyotokana na ugonjwa huo ndo maana nilinunua barakoa na sanitizer kwa tahadhari ama dharura kama hizi
Bila shaka wewe utaishi milele!!Ajiulize yule mungumtu wao kilimsomba nini.....
Bi
Bila shaka wewe utaishi milele!!
Sawa nyinyi mnaojielewa vaeni tu. Sisi hatuna mpango huo!Watanzania wengi wanadharau uvaaji wa barakoa ,mwendazake alibrainwash watu sana ,wanaovaa barakoa kwasasa ni watu ambao wanaojielewa lakini hawa wavuja jasho hawezi kukuelewa kuvaa barakoa.
Mimi kwa kweli siwezi kuvaa chupi mdomoni kabisa.Mimi binafsi, hata kabla Magufuli hajazi-dongo-a barakoa, nilishaweka msimamo wa kutovaa. Wavae wanaoona kinga zao za mwili ni za mashaka.
Ya nini kulazimishana mibarakoa ili mpewe mkopo nafuu? Hafu unakuta wakishapewa pesa wanaigawana wakubwa walio madarakani na wale waliokwisha staafu ila bado wanapenda kuongoza.
Mkopo kwa ajili ya kupima covid 19 ambayo haipo! Mkopo kwa ajili ya chanjo ya corona hewa!! Halafu tunadanganywa eti ni mkopo wa masharti nafuu (na hayo masharti nafuu hayatajwi). Halafu mtu na akili zake anakubali!! Mabeberu yakibeza utu wetu inabidi tuyaelewe!!!Acha ujeuri wewe, vaa barakoa tupate mkopo.[emoji276]