Kuna mkwanja wa dola za marekani milioni 574 tunauvutia kasi!!
Ili kuzipata lazima tukiri uwepo wa corona!! (ambayo haipo hata ukiitafuta kwa tochi). Lazima kutoa data/takwimu za maambukizi (ambayo hayapo!). Lazima kupima, pima, pima (hata bila indication maana corona haipo!!). Ukipima tu, corona itaonekana kwa sababu tatu: 1. Ni kukataa makusudi kinga na uponyajj aliotupatia Mungu baada ya kuwa tumemtanguliza Mungu katika vita hii na kumwomba. Alivyotuponya tukampa utukufu kwa kuitangazia dunia kuwa Mungu ametuponya na tukamshukuru! Kwa hiyo kutangaza rasmi uwepo wa corona ambayo haipo ni kumpokonya utukufu anaostahili na kumkabidhi utukufu huo mwanadamu aliyetuahidi kitu kidogo (halafu siyo bure ni mkopo), ni kufuata wanadamu na kumpa Mungu kisogo atupaye uhai na pumzi kila siku!! Kwa hiyo Mungu anaweza kuondoa ulinzi wake na hizo dola hazitatuokoa. Wenyewe walionazo hazikuwaokoa, zitatuokoaje sisi? 2. Corona Rapid Test kits zimetengenezwa kwa mtindo wa kutoa false positive (positive bandia) kila baada ya sampuli kadhaa!! Hilo halina ubishi na limelalamikiwa sana!! Tujiandae kisaikologia kwa yatakayotokea!! Ila kuna watu watakaodaiwa damu ya watanzania katika hili! 3. Kuna hatari ya kupandikiziwa corona kupitia barakoa na chanjo! Kuna mataifa yaliyoona wivu na hasira sana kwa nini dunia nzima imeteseka na inaendelea kuteseka mpaka leo wakati Tanzania tumebaki salama bila lockdown, bila chanjo, na kwa sasa bila barakoa!! Usifikiri tunapendwa sana!!