#COVID19 Tanzania: Serikali yaagiza uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko

#COVID19 Tanzania: Serikali yaagiza uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko

Hahahahah hahahaha hahahah
Mwanangu pangu pakavu
Ng'ombe wa masikini hazai
Hata akizaa, mtoto atakufa
Atumainiye cha ndugu ye hufa masikini
Siku zote daima, mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji

Hehehehehehe ni utani tu huui jamani hapa tanzania tuna makabila 120
 
Umasikini na uendekezaji wa misaada unaweza kumpelekea mtu kulamba hata miguu ya mwenda peku ili upewe unachotaka. Nakukumbika uliye tangulia maana ulijuwa kuwanyoosha hao wahuni wenye condition za kijinga.
 
Kuna mkwanja wa dola za marekani milioni 574 tunauvutia kasi!!
Ili kuzipata lazima tukiri uwepo wa corona!! (ambayo haipo hata ukiitafuta kwa tochi). Lazima kutoa data/takwimu za maambukizi (ambayo hayapo!). Lazima kupima, pima, pima (hata bila indication maana corona haipo!!). Ukipima tu, corona itaonekana kwa sababu tatu: 1. Ni kukataa makusudi kinga na uponyajj aliotupatia Mungu baada ya kuwa tumemtanguliza Mungu katika vita hii na kumwomba. Alivyotuponya tukampa utukufu kwa kuitangazia dunia kuwa Mungu ametuponya na tukamshukuru! Kwa hiyo kutangaza rasmi uwepo wa corona ambayo haipo ni kumpokonya utukufu anaostahili na kumkabidhi utukufu huo mwanadamu aliyetuahidi kitu kidogo (halafu siyo bure ni mkopo), ni kufuata wanadamu na kumpa Mungu kisogo atupaye uhai na pumzi kila siku!! Kwa hiyo Mungu anaweza kuondoa ulinzi wake na hizo dola hazitatuokoa. Wenyewe walionazo hazikuwaokoa, zitatuokoaje sisi? 2. Corona Rapid Test kits zimetengenezwa kwa mtindo wa kutoa false positive (positive bandia) kila baada ya sampuli kadhaa!! Hilo halina ubishi na limelalamikiwa sana!! Tujiandae kisaikologia kwa yatakayotokea!! Ila kuna watu watakaodaiwa damu ya watanzania katika hili! 3. Kuna hatari ya kupandikiziwa corona kupitia barakoa na chanjo! Kuna mataifa yaliyoona wivu na hasira sana kwa nini dunia nzima imeteseka na inaendelea kuteseka mpaka leo wakati Tanzania tumebaki salama bila lockdown, bila chanjo, na kwa sasa bila barakoa!! Usifikiri tunapendwa sana!!
Ukiwatazama usoni v*ongoz* wetu wanaonesha aibu na kukosa ujasiri wanapokuwa wanaongea mambo haya! Niseme tu kuwa Mungu anawaona! Na sisi tunaendelea kuiombea nchi yetu na kuwaombea viongozi wetu!
 
Kuna mkwanja wa dola za marekani milioni 574 tunauvutia kasi!!
Ili kuzipata lazima tukiri uwepo wa corona!! (ambayo haipo hata ukiitafuta kwa tochi). Lazima kutoa data/takwimu za maambukizi (ambayo hayapo!). Lazima kupima, pima, pima (hata bila indication maana corona haipo!!). Ukipima tu, corona itaonekana kwa sababu tatu: 1. Ni kukataa makusudi kinga na uponyajj aliotupatia Mungu baada ya kuwa tumemtanguliza Mungu katika vita hii na kumwomba. Alivyotuponya tukampa utukufu kwa kuitangazia dunia kuwa Mungu ametuponya na tukamshukuru! Kwa hiyo kutangaza rasmi uwepo wa corona ambayo haipo ni kumpokonya utukufu anaostahili na kumkabidhi utukufu huo mwanadamu aliyetuahidi kitu kidogo (halafu siyo bure ni mkopo), ni kufuata wanadamu na kumpa Mungu kisogo atupaye uhai na pumzi kila siku!! Kwa hiyo Mungu anaweza kuondoa ulinzi wake na hizo dola hazitatuokoa. Wenyewe walionazo hazikuwaokoa, zitatuokoaje sisi? 2. Corona Rapid Test kits zimetengenezwa kwa mtindo wa kutoa false positive (positive bandia) kila baada ya sampuli kadhaa!! Hilo halina ubishi na limelalamikiwa sana!! Tujiandae kisaikologia kwa yatakayotokea!! Ila kuna watu watakaodaiwa damu ya watanzania katika hili! 3. Kuna hatari ya kupandikiziwa corona kupitia barakoa na chanjo! Kuna mataifa yaliyoona wivu na hasira sana kwa nini dunia nzima imeteseka na inaendelea kuteseka mpaka leo wakati Tanzania tumebaki salama bila lockdown, bila chanjo, na kwa sasa bila barakoa!! Usifikiri tunapendwa sana!!
Bloomberg,
Politics
Tanzania Publishing Covid-19 Data Could Unlock IMF Support
 
Mimi binafsi, hata kabla Magufuli hajazi-dongo-a barakoa, nilishaweka msimamo wa kutovaa. Wavae wanaoona kinga zao za mwili ni za mashaka.


Ya nini kulazimishana mibarakoa ili mpewe mkopo nafuu? Hafu unakuta wakishapewa pesa wanaigawana wakubwa walio madarakani na wale waliokwisha staafu ila bado wanapenda kuongoza.
 
Mikono tunanawa, barakoa za kujitengenezea tunavaa, lakini chanjo hapana!!!
 
Wengi wansokataa hata bima hawana wangejua cost zake ukiumwa acha tuuu
 
Watanzania wengi wanadharau uvaaji wa barakoa ,mwendazake alibrainwash watu sana ,wanaovaa barakoa kwasasa ni watu ambao wanaojielewa lakini hawa wavuja jasho hawezi kukuelewa kuvaa barakoa.
Kwani lazima? Kila mtu asimamie anachokiamini,wewe na uelewa wako simamia msimamo wako,wasiojielewa waache na wao wasimamie misimamo yao.
 
Back
Top Bottom