... hivi ukivaa barakoa kumkinga jirani yako mwenye kinga ya mashaka kama unavyodai itakupunguzia nini? S hata maandiko yanasema mpende jirani yako? Kwa kuwa kinga yako ni imara hata humjali aliye dhaifu? Kwamba bora afe tu yanihusu nini? Hebu fikiria mara mbili rafiki; kila mwanadamu anahitaji kuishi!Mimi binafsi, hata kabla Magufuli hajazi-dongo-a barakoa, nilishaweka msimamo wa kutovaa. Wavae wanaoona kinga zao za mwili ni za mashaka.
Serikali ya Tanzania imeagiza wananchi kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa corona kwa kuvaa barakoa sehemu zenye mikusanyiko, ili kujikinga na wimbi la tatu lililoibuka katika mataifa mbalimbali.
Wakuu wa mikoa na wilaya wameagizwa kuhakikisha wanatimiza agizo hilo kwa kuzishirikisha kamati za afya ya msingi na kwamba watapimwa kulingana na utendaji wao.
Pamoja na hatua mbalimbali ambazo Tanzania imeanza kuchukua, Shirika la Fedha Duniani (IMF) limethibitisha kwamba litaipatia Tanzania mkopo wa dharura wa takribani dola milioni 574, itakapokamilisha mambo muhimu, ikiwemo utoaji wa takwimu kuhusu maambukizi ya virusi vya corona.
Akizungumza Jumamosi Juni 12 , Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamiii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima aliagiza pia wananchi kuchukua tahadhari kwa kurejesha utaratibu wa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka na matumizi ya vitakasa mikono ‘sanitizer’.
Alisema Tanzania inazungukwa na nchi nyingi Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla na kwamba inapokea wageni wengi kutoka nchi mbalimbali.
“Kamati iliyoundwa na Rais ilisema tupo salama, ila Mei 17 mwaka huu Brazil, India na nchi nyingine zilikuwa zinapigwa na wimbi la tatu la ugonjwa huu. Kwa hiyo wakasema hata sisi lazima tujitahadharishe na tujizatiti ili kuhakikisha wimbi hili haliingii kwetu, hivyo tusiliruhusu,” alisema Dk Gwajima.
Dk Gwajima alisema utaratibu wa kuvaa barakoa unapuuzwa, hali ambayo ni hatari, kwani Tanzania imezungukwa na nchi ambazo tayari zinapigwa na wimbo la tatu, ikiwemo Uganda na Congo.
Alisema Wizara pamoja na wataalamu katika viwanja vya ndege, mipakani pamoja na wananchi wanaotoka na kuingia wanaendelea kuchukua tahadhari.
“Tunashuhudia watu wamesongamana na hawavai barakoa, sasa wanatupatia kazi sisi mawaziri wa afya, viongozi wa Serikali kupambana na hali hii, sijasema ukienda shambani kulima uvae barakoa kwa kuwa huwezi kuvaa saa 24, lakini kuna mazingira ukishafika unaona kabisa hapa pana msongamano hewa haizunguki vizuri vaa,” alisema.
Alisema Serikali imeshatoa miongozo, kilichobaki ni utekelezaji, wananchi wachukue tahadhari.
Dk Gwajima alisema kazi ya kuelimisha wananchi inatakiwa ifanyike kuanzia ngazi za chini za wakuu wa wilaya kwa wakuu wa mikoa si kazi ya waziri peke yake au katibu mkuu.
Alisema kuna ulegevu katika kutoa elimu kwa wananchi, huku akisema mapema wiki hii Wizara imepanga kuitisha kikao pamoja na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
“Kule waliko wana kamati zao zinazoitwa kamati za afya ya msingi, ambazo mwenyekiti wake ni mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya, wao wanatakiwa waite sekta zote zilizopo pale iwe ni elimu, kilimo, maji wajadili na kupeana kazi juu ya miongozo ambayo Wizara tumekuwa tukiitoa ili kufikisha elimu kwa wananchi,” alisema Dk Gwajima.
Alisema tatizo kubwa ni baadhi ya wananchi kutofikishiwa taarifa kuhusu kuchukua tahadhari.
“Hatuwezi kuwafikia wote, lazima tuwatumie viongozi hawa na kadri tunavyoenda tutasainishana nao mikataba ili kuwapima kulingana na haya, mkoa gani unafanya vizuri, tunaita ‘score card’ ambaye hajafanya vizuri tunadili na mamlaka yake ya kuwajibika,” alisema.
Chanzo: Mwananchi
Hoa wasiojielewa ndio wanaosambaza vijidudu vya korona kwa kupuuza kwao na kuwambukiza watu innocent ....Utakuta jitu linapiga chafya hadharani bila hata kujifunika na kitambaa hadi unajiuliza huyu mtu ana brain kweli?Kwani lazima? Kila mtu asimamie anachokiamini,wewe na uelewa wako simamia msimamo wako,wasiojielewa waache na wao wasimamie misimamo yao.
Ngoja awasikie Magufuli awashukie kama mwewe
Serikali ya Tanzania imeagiza wananchi kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa corona kwa kuvaa barakoa sehemu zenye mikusanyiko, ili kujikinga na wimbi la tatu lililoibuka katika mataifa mbalimbali.
Wakuu wa mikoa na wilaya wameagizwa kuhakikisha wanatimiza agizo hilo kwa kuzishirikisha kamati za afya ya msingi na kwamba watapimwa kulingana na utendaji wao.
Pamoja na hatua mbalimbali ambazo Tanzania imeanza kuchukua, Shirika la Fedha Duniani (IMF) limethibitisha kwamba litaipatia Tanzania mkopo wa dharura wa takribani dola milioni 574, itakapokamilisha mambo muhimu, ikiwemo utoaji wa takwimu kuhusu maambukizi ya virusi vya corona.
Akizungumza Jumamosi Juni 12 , Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamiii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima aliagiza pia wananchi kuchukua tahadhari kwa kurejesha utaratibu wa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka na matumizi ya vitakasa mikono ‘sanitizer’.
Alisema Tanzania inazungukwa na nchi nyingi Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla na kwamba inapokea wageni wengi kutoka nchi mbalimbali.
“Kamati iliyoundwa na Rais ilisema tupo salama, ila Mei 17 mwaka huu Brazil, India na nchi nyingine zilikuwa zinapigwa na wimbi la tatu la ugonjwa huu. Kwa hiyo wakasema hata sisi lazima tujitahadharishe na tujizatiti ili kuhakikisha wimbi hili haliingii kwetu, hivyo tusiliruhusu,” alisema Dk Gwajima.
Dk Gwajima alisema utaratibu wa kuvaa barakoa unapuuzwa, hali ambayo ni hatari, kwani Tanzania imezungukwa na nchi ambazo tayari zinapigwa na wimbo la tatu, ikiwemo Uganda na Congo.
Alisema Wizara pamoja na wataalamu katika viwanja vya ndege, mipakani pamoja na wananchi wanaotoka na kuingia wanaendelea kuchukua tahadhari.
“Tunashuhudia watu wamesongamana na hawavai barakoa, sasa wanatupatia kazi sisi mawaziri wa afya, viongozi wa Serikali kupambana na hali hii, sijasema ukienda shambani kulima uvae barakoa kwa kuwa huwezi kuvaa saa 24, lakini kuna mazingira ukishafika unaona kabisa hapa pana msongamano hewa haizunguki vizuri vaa,” alisema.
Alisema Serikali imeshatoa miongozo, kilichobaki ni utekelezaji, wananchi wachukue tahadhari.
Dk Gwajima alisema kazi ya kuelimisha wananchi inatakiwa ifanyike kuanzia ngazi za chini za wakuu wa wilaya kwa wakuu wa mikoa si kazi ya waziri peke yake au katibu mkuu.
Alisema kuna ulegevu katika kutoa elimu kwa wananchi, huku akisema mapema wiki hii Wizara imepanga kuitisha kikao pamoja na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
“Kule waliko wana kamati zao zinazoitwa kamati za afya ya msingi, ambazo mwenyekiti wake ni mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya, wao wanatakiwa waite sekta zote zilizopo pale iwe ni elimu, kilimo, maji wajadili na kupeana kazi juu ya miongozo ambayo Wizara tumekuwa tukiitoa ili kufikisha elimu kwa wananchi,” alisema Dk Gwajima.
Alisema tatizo kubwa ni baadhi ya wananchi kutofikishiwa taarifa kuhusu kuchukua tahadhari.
“Hatuwezi kuwafikia wote, lazima tuwatumie viongozi hawa na kadri tunavyoenda tutasainishana nao mikataba ili kuwapima kulingana na haya, mkoa gani unafanya vizuri, tunaita ‘score card’ ambaye hajafanya vizuri tunadili na mamlaka yake ya kuwajibika,” alisema.
Chanzo: Mwananchi
😂😂😂Excellent. A rapid turnabout.
Unaambukizwa vipi wakati umevaa barakoa?Hoa wasiojielewa ndio wanaosambaza vijidudu vya korona kwa kupuuza kwao na kuwambukiza watu innocent ....Utakuta jitu linapiga chafya hadharani bila hata kujifunika na kitambaa hadi unajiuliza huyu mtu ana brain kweli?
Wakuu wa mikoa wakishaambiwa watapimwa kwa utendaji wao utapimwa kwa hiyo, hiyari haipo tena. Jiandae virungu vya polisi na mafaini na mambo kama hayo. Unfortunate reality!Mimi binafsi, hata kabla Magufuli hajazi-dongo-a barakoa, nilishaweka msimamo wa kutovaa. Wavae wanaoona kinga zao za mwili ni za mashaka.
cha kuazima hakistili matako!Hahahahah hahahaha hahahah
Mwanangu pangu pakavu
Ng'ombe wa masikini hazai
Hata akizaa, mtoto atakufa
Atumainiye cha ndugu ye hufa masikini
Siku zote daima, mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji
Hehehehehehe ni utani tu huui jamani hapa tanzania tuna makabila 120
Hakuna utafiti unaoonesha barakoa zinakinga chochote. Ni suala la compliance tu na sio science. That's a fact!Unaambukizwa vipi wakati umevaa barakoa?
Unaambukizwa vipi wakati umevaa barakoa?
Ndo maana nimesema kila mtu asimamie anachokiamini na si vinginevyo!Hakuna utafiti unaoonesha barakoa zinakinga chochote. Ni suala la compliance tu na sio science. That's a fact!
lakini kwenye mteremko mkali na barabara ni nyembambaExcellent. A rapid turnabout.
WEWE ACHA MAMBO YAKO. MTU ASUBUHI AMEAMKIA KUBEBA MIZIGO KUPAKIA NA KUSHUSHA PALE KARIAKOO UNA MWAMBIA VAA BARAKORAAA ataweza kufanya kazi yake kwa ufanisi kweli?? hewa safi ya oksijeni ataipata wapi na hayo madude yenyuuu, pelekeni huko kwa amsterdam mukayausudu naye. Sisi bado tuna amin mungu wa Yakobo, Isaka bado yupo katikati ya ardhi yetu. Nyie mnao usudu hiyo hela haya abuduni kama zitawaokoaWatanzania wengi wanadharau uvaaji wa barakoa ,mwendazake alibrainwash watu sana ,wanaovaa barakoa kwasasa ni watu ambao wanaojielewa lakini hawa wavuja jasho hawezi kukuelewa kuvaa barakoa.
Tatizo kwa maelezo hayo hapo, liberty of conscience haipo. Utalazimishwa kuvaa. Kumbuka hao DCs na RCs ni wenyeviti wa NSC kwenye wilaya na mikoa. Maagizo yao polisi hufuata bila swali. Unaweza kusimamia unachokiamini, but naamini gharama yake itakuwa kubwa sana.Ndo maana nimesema kila mtu asimamie anachokiamini na si vinginevyo!
Hao wanaopiga kelele wimbi ka tatu hizo nchi si zimeishachanja? Kwa nini mtu ahangaike na wasiochanja wakati yeye yuko salama tayari?Kuna mkwanja wa dola za marekani milioni 574 tunauvutia kasi!!
Ili kuzipata lazima tukiri uwepo wa corona!! (ambayo haipo hata ukiitafuta kwa tochi). Lazima kutoa data/takwimu za maambukizi (ambayo hayapo!). Lazima kupima, pima, pima (hata bila indication maana corona haipo!!). Ukipima tu, corona itaonekana kwa sababu tatu: 1. Ni kukataa makusudi kinga na uponyajj aliotupatia Mungu baada ya kuwa tumemtanguliza Mungu katika vita hii na kumwomba. Alivyotuponya tukampa utukufu kwa kuitangazia dunia kuwa Mungu ametuponya na tukamshukuru! Kwa hiyo kutangaza rasmi uwepo wa corona ambayo haipo ni kumpokonya utukufu anaostahili na kumkabidhi utukufu huo mwanadamu aliyetuahidi kitu kidogo (halafu siyo bure ni mkopo), ni kufuata wanadamu na kumpa Mungu kisogo atupaye uhai na pumzi kila siku!! Kwa hiyo Mungu anaweza kuondoa ulinzi wake na hizo dola hazitatuokoa. Wenyewe walionazo hazikuwaokoa, zitatuokoaje sisi? 2. Corona Rapid Test kits zimetengenezwa kwa mtindo wa kutoa false positive (positive bandia) kila baada ya sampuli kadhaa!! Hilo halina ubishi na limelalamikiwa sana!! Tujiandae kisaikologia kwa yatakayotokea!! Ila kuna watu watakaodaiwa damu ya watanzania katika hili! 3. Kuna hatari ya kupandikiziwa corona kupitia barakoa na chanjo! Kuna mataifa yaliyoona wivu na hasira sana kwa nini dunia nzima imeteseka na inaendelea kuteseka mpaka leo wakati Tanzania tumebaki salama bila lockdown, bila chanjo, na kwa sasa bila barakoa!! Usifikiri tunapendwa sana!!
Ukiwatazama usoni v*ongoz* wetu wanaonesha aibu na kukosa ujasiri wanapokuwa wanaongea mambo haya! Niseme tu kuwa Mungu anawaona! Na sisi tunaendelea kuiombea nchi yetu na kuwaombea viongozi wetu!