Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Umesema kweli. Corona hakuna. Hata watu waliofariki na wanaofariki wanakufa kwa hofu tu. Hata Magufuli alikufa kwa hofu tu kama alivyokuwa anasema mwenyewe, corona hakuna ila ni hofu tu.Kuna mkwanja wa dola za marekani milioni 574 tunauvutia kasi!!
Ili kuzipata lazima tukiri uwepo wa corona!! (ambayo haipo hata ukiitafuta kwa tochi). Lazima kutoa data/takwimu za maambukizi (ambayo hayapo!). Lazima kupima, pima, pima (hata bila indication maana corona haipo!!). Ukipima tu, corona itaonekana kwa sababu tatu: 1. Ni kukataa makusudi kinga na uponyajj aliotupatia Mungu baada ya kuwa tumemtanguliza Mungu katika vita hii na kumwomba. Alivyotuponya tukampa utukufu kwa kuitangazia dunia kuwa Mungu ametuponya na tukamshukuru! Kwa hiyo kutangaza rasmi uwepo wa corona ambayo haipo ni kumpokonya utukufu anaostahili na kumkabidhi utukufu huo mwanadamu aliyetuahidi kitu kidogo (halafu siyo bure ni mkopo), ni kufuata wanadamu na kumpa Mungu kisogo atupaye uhai na pumzi kila siku!! Kwa hiyo Mungu anaweza kuondoa ulinzi wake na hizo dola hazitatuokoa. Wenyewe walionazo hazikuwaokoa, zitatuokoaje sisi? 2. Corona Rapid Test kits zimetengenezwa kwa mtindo wa kutoa false positive (positive bandia) kila baada ya sampuli kadhaa!! Hilo halina ubishi na limelalamikiwa sana!! Tujiandae kisaikologia kwa yatakayotokea!! Ila kuna watu watakaodaiwa damu ya watanzania katika hili! 3. Kuna hatari ya kupandikiziwa corona kupitia barakoa na chanjo! Kuna mataifa yaliyoona wivu na hasira sana kwa nini dunia nzima imeteseka na inaendelea kuteseka mpaka leo wakati Tanzania tumebaki salama bila lockdown, bila chanjo, na kwa sasa bila barakoa!! Usifikiri tunapendwa sana!!
Ukiwatazama usoni v*ongoz* wetu wanaonesha aibu na kukosa ujasiri wanapokuwa wanaongea mambo haya! Niseme tu kuwa Mungu anawaona! Na sisi tunaendelea kuiombea nchi yetu na kuwaombea viongozi wetu!
Upeo wako wa kuelewa mambo haya uko chini. Hili unalohoji maelezo yameshatolewa mara nyingi tu.Hao wanaopiga kelele wimbi ka tatu hizo nchi si zimeishachanja? Kwa nini mtu ahangaike na wasiochanja wakati yeye yuko salama tayari?
Kama mtu amevaa barakoa tayari kwa nini ana wasiwasi wa kuambukizwa na asiyevaa?
Tusilazimishane kila mtu achague mwenyewe kuvaa au kutokuvaa.
Ajiulize yule mungumtu wao kilimsomba nini.....Jinga
Hawa wasiojua matumizi sahihi ya kutumia barakoa ndio unasema wanajielewa? watu hawajui ni kipi unatakiwa kufanya kabla ya hujavaa barakoa na vp unavua barakoa na kipi unatakiwa kufanya baada ya kuvua barakoa.Watanzania wengi wanadharau uvaaji wa barakoa ,mwendazake alibrainwash watu sana ,wanaovaa barakoa kwasasa ni watu ambao wanaojielewa lakini hawa wavuja jasho hawezi kukuelewa kuvaa barakoa.
Haya umeshakula chakula cha mchana??Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.
Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Siyo kila mtu ana uwezo wa kuelezea mambo ya COVID19 kama wewe Mtu Asiyejulikana.Napita huku na kule mitaani.... Sioni Corona kwa kweli. Sioni kabisa. Nmezunguka sana sioni Corona popote pale. Na hata zile Taarifa za kutishana hazipo.
Mimi nmehudhuria Makusanyiko mengi sana Tanzania. Mengi sana. Bila Barakoa. Katika hili Magufuli was Right. Tuweke Unafiki pembeni na chuki. Rais alikataa Kuwepo Corona na aliongoza kwa vitendo. Hili apongezwe.
Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!Watanzania wengi wanadharau uvaaji wa barakoa ,mwendazake alibrainwash watu sana ,wanaovaa barakoa kwasasa ni watu ambao wanaojielewa lakini hawa wavuja jasho hawezi kukuelewa kuvaa barakoa.