Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
😅 😂Hivi Kabudi yupo kweli? Simsikii siku hizi, nikikumbuka yale maigizo yake ya madagascar huwa nacheka sana
Prof. aliyechambia taaluma yake, nasikia hata jimboni amewaambia yeye aliteuliwa na Mwendazake wapigakura wasimbughudhi