#COVID19 Tanzania: Serikali yaagiza uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko

Hata ukinuna mwendakuzimu kafaaaaaa
 
Ukishakuwa na corona tu basi hapo ukifa kifo chako kinahesabika ni cha corona tu hivyo ndio ndivyo inavyofanyika, kama unakumbuka kipindi Ummy mwalimu alikuwa alikuwa anatangaza kwamba Marehemu alikuwa na maradhi mengine pia ila hayatajwi hayo maradhi mengine we unaambiwa tu mgonjwa wa corona kafa.
 
Hivi kwanini hamumtaji hata kwa bahati mbaya Maalim seif mnapokuwa mnataja waliyokufa na corona? ndio tuseme mmemsahau kiasi hicho au mmesahau kwamba nae kafa na corona?
Maalim kwani alikuwa anakana uwepo wa corona? Tunamsema Magu kwa sababu ni mfano wa mtu aliyekufa kwa sababu ya ubishi.
 
Sura iliyotushawishi tuache kutumia barakoa, haiwezi kuwa sura ya kuturudisha huko. Wawe serious hawa, huyu waziri inabidi aondoke kwanza.
Huyo wa kumuondoa huyo waziri nae atakuwa mnafki pia.
 
Dar kunajoto la kudondoka mtu... Tunakula vyakula vya asili.. chungwa la Mia unapta..

Sasa mkuu hayo mambo yamekuwepo.. yaan harusi cjui mikutano na Wala hakujakuwepo na athari yoyote
 
inawezekana pia hizo akili zilikua sawa, ila sasa ndo zinatibuliwa. kwani hujaona masharti ya mkopo wa IMF mkuu. Hebu fikiria kidogo au nawwe unahitaji akili zako ziwe restored.
Mbona mara ya kwanza walikuwa hawavai hizo barakoa. Au umuhimu wa barakoa umeonekana kipindi hiki watu wanaishi na ugonjwa kama wanavyoishi na mafua.


Na huyo waziri alikuwa kiongozi wa kushadadia mizizi.
 
Na yule Mungu wa wasukuma akaipuuzia korona, ikamtendea miujiza... tukamuimbia niagieni niagieni...

Sijui nani mjanja zaidi hapo...
 
Mungu lazima awashughulikie viongozi wanaoangalia pesa kuliko uhai wa watu wao.Umeeleza vema sana.

Hivyi wanavyopambana kuitaka corona kuwafurahisha wazungu ikifikia lockdown kwa masharti ya wazungu na vifo kuongezeka.
Hakika damu za watu zitawafuata mpaka makaburini, wanasahau kuwa vyeo hivyo walipewa na Mungu,wanajitukuza kwa mbinu zao,kana kwamba ipo nchi iliyopona corona sababu ya ujuzi wowote.
Endeleeni tu kuifanyia nchi yetu maigizo ila jueni Mungu anawasubiri na ujira mkononi.

fedha kidogo tu haziwezi hata kuhudumia Watanzania wote hata mwaka mmoja,inatuingiza kwenye utumwa wa miaka isiyojulikana,maana haijulikani wenye hela zao watasema tutaacha kutangaza visa na kuvaa barakoa baada ya miaka mingapi.
pamoja na kuwa kwao ilipo corona wameshaanza kuacha kuvaa barakoa na wanajaa viwanjani kwa uhuru.
sisi ndo tunarudia matapishi ya wazungu kisa umaskini wa fikra wa viongozi,la inauma sana.
sijui watoto wadogo wakifungua shule watavaa barakoa au shule zitafungwa!.
maana vipimo feki vitaonyesha visa vingi hata kama hakuna,halafu wimbi la 3 litasingiziwa limefika Tanzania.
 
Umasikini na uendekezaji wa misaada unaweza kumpelekea mtu kulamba hata miguu ya mwenda peku ili upewe unachotaka. Nakukumbika uliye tangulia maana ulijuwa kuwanyoosha hao wahuni wenye condition za kijinga.
Dah....Safi Sana....tunakopeshwa dola 500m...75% zinaliwa na wajanja ....deni tunaachiwa "wanyonge".....tunawekewa masharti magumu yanaharibu uchumi wetu....tunazidi kuwa masikini....wanakuja kutuuzia chanjo...kwa wastani wa dola 70 ...tukinunua chanjo milioni 30...tunalipa dola 2.1 bilioni..hivi Wana akili hawa?..dah kmmk...dah [emoji2960]
 
Na yule Mungu wa wasukuma akaipuuzia korona, ikamtendea miujiza... tukamuimbia niagieni niagieni...

Sijui nani mjanja zaidi hapo...
mjanja ni wewe unayejua kuna corona halafu hata kupeleka tako lako likatiwe chanjo unaona uvivu.

unafiki ndio unafanya mpaka akili zinawapooza.
 
Kwa hili namkumbuka Magu...!!!
Magu kwenye c19 alikuwa shujaa... Hakuwa tayari kuwAuZa raia kwa vipande vya fedha... Alikuwa tayar kusemwa vibaya lkn wananchi wake tufanye kazi.. tujenge nchi... Leo hii mtu yule yule aliesema njia za awali zilikuwa sahihi... Leo atuambia makorokocho... Na ni Dr Kabisa kitaaluma... Unaniuliza x2 hv pesa ni Haram au madaraka ndo yanawabadli akili watu??

Wanataka kulazimisha kuwepo kwa Corona... Wanaham nayo nazani...
 
Jiandae kwa lokudawuni wewe mzee wa korona. Hapo akaunti yako naimani inasoma figa za kutosha.

Account yangu haina kitu lakini maisha kwanza.

Hatuwezi sote kuukumbatia ujinga. Kwani shule tulikwenda kutembea?

Habari hii imfikie pia yule bwana msukuma na genge la kwao.
 
Sawa kabisa.. ..masherehe ya harusi pia yapigwe marufuku


πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…