Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
NdioJe ni kweli kua shule hizi huchangia mmomonyoko wa maadili kwa kias kikubwa sana kwa watoto wetu..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioJe ni kweli kua shule hizi huchangia mmomonyoko wa maadili kwa kias kikubwa sana kwa watoto wetu..?
Naunga mkono kwa hiliSerikali ya ccm imeamua kufanyia tangazo la jiran zetu wakenya kupiga marufuku watoto kuishi shuleni kuanzia darasa la nne. Sababu kuu wanayodai ni mmomonyoko wa maadili shule za bweni kua ni mkubwa mno...
Hata hizo za karibu shule zinalazimisha mtoto akiwa std 4 na 7 akae kwa ulazima boarding. Mimi niliwagomea wakanambia uwe una uwezo wa kumpeleka mtoto saa 12 asubuhi au nimuhamishe nikawaambia fresh tu kwakuwa siko mbali na shule akawa anawahi. Wanafosi kutaka ada za boarding kiulazima.Wazazi wanatakiwa wapeleke wanafunzi shule za karibu na nyumbani.
Swala hapa sio shule za boarding ndizo zinazopelekea mmomonyoko wa maadili. Hili swala ni Pana sana... Swala la maadili ni Pana sana.% kubwa ya mashoga na wasagaji wamejifunza boarding school.
Nyumbani wazazi wanakuwa makini sana kuwaangalia mienendo ya wanawe.
Ushoga/Usagaji ndiyo janga kuu ,hayo mengine siyo issue sana! Ukweli ulio wazi hao mashoga/wasagaji % kubwa wamejifunzia boarding.Swala hapa sio shule za boarding ndizo zinazopelekea mmomonyoko wa maadili. Hili swala ni Pana sana... Swala la maadili ni Pana sana...
Bording ndio kitovu cha kufilana. Hayo mengine tuyaache yapo toka zamani.Swala hapa sio shule za boarding ndizo zinazopelekea mmomonyoko wa maadili. Hili swala ni Pana sana... Swala la maadili ni Pana sana...
Si kila kitu cha kupinga, unapelekaje mtoto Wa darasa la kwanza boarding?Serikali ya ccm imeamua kufanyia tangazo la jiran zetu wakenya kupiga marufuku watoto kuishi shuleni kuanzia darasa la nne. Sababu kuu wanayodai ni mmomonyoko wa maadili shule za bweni kua ni mkubwa mno...
Ni kweliJe ni kweli kua shule hizi huchangia mmomonyoko wa maadili kwa kias kikubwa sana kwa watoto wetu..?
Hiyo lazima ya shule sio lazima kama mzazi ukiwa na msimamo kuhusu kutokutaka mwanao asikae boarding.Ashukuriwe Mwenyezi Mungu...mwakani Kuna mwanangu wa darasa ilimpasa nae akae boarding! Alafu ni lazima...lilikuwa linanifikirisha sana.
Na wanavyong'ang'ania mtoto akae boarding hamna hata la maana zaidi yakuwa-exhaust watoto masaa na masaa bila kuwapa muda wa kupumua.Hata hizo za karibu shule zinalazimisha mtoto akiwa std 4 na 7 akae kwa ulazima boarding. Mimi niliwagomea wakanambia uwe una uwezo wa kumpeleka mtoto saa 12 asubuhi au nimuhamishe nikawaambia fresh tu kwakuwa siko mbali na shule akawa anawahi. Wanafosi kutaka ada za boarding kiulazima.
Kukaa bwenini kunamnyima mtoto mdogo haki zake za msingi.Serikali ya ccm imeamua kufanyia tangazo la jiran zetu wakenya kupiga marufuku watoto kuishi shuleni kuanzia darasa la nne. Sababu kuu wanayodai ni mmomonyoko wa maadili shule za bweni kua ni mkubwa mno.
Mimi ni mdau wa elimu hii sababu sio kweli hata siku moja.. SEMA kwa sababu serikali yetu haifanyi tafiti za kujua tatizo wao huja maamuzi yao bila kufanya utafiti wa kina.
KweliJe ni kweli kuwa shule hizi huchangia mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa sana kwa watoto wetu..?