Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibalu gani maalumu Tena au mrungula!Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekumbusha kuwa hairuhusiwi huduma ya bweni kutolewa kwa wanafunzi wa elimu ya awali na darasa la kwanza hadi la nne, isipokuwa kwa kibali maalum kitakachotolewa na Kamishna wa Elimu baada ya kupokea maombi rasmi kutoka kwa mdau husika...
Futa kabisa haya masuala ya bweni kwani hayana tija yeyote zaidi ya usumbufu kwa mzazi. Muhimu walimu waajiriwe wa kutosha kufundisha watoto/wanafunzi.Safi sana. Mtoto analelewa katika ngazi ya familia na siyo boarding school
Mzazi hawezi kuona athari zake kwa sasa hadi hapo baadaye.
Zipo fact zinazomsukuma mzazi kumpeleka mtoto bweni,Futa kabisa haya masuala ya bweni kwani hayana tija yeyote zaidi ya usumbufu kwa mzazi. Muhimu walimu waajiriwe wa kutosha kufundisha watoto/wanafunzi.
Mimi nina uhitaji wa kupeleka mtoto wangu St.Francis, Cannosa, Maria Golet kidato cha kwanza,kwa hiyo unataka mtoto wangu akose hiyo nafasi sababu unataka Sekondari O-level pia ziwe day scholars?kama ni kweli, WAKO SAHIHI, na ikiwezekana iwe marufuku shule bweni shule ya msingi mpaka sekondari.. bweni ianzie form six na hivi vyuo vya kati.. Vyuo vyote ambavyo wanasoma vijana baada tu ya kumaliza shule ya msingi navyo bweni iwe marufuku.
Kwa Primary mpaka grade 4 walau inaeleweka,lakini baada ya hapo,kila mzazi achague njia anayoona ni sahihi kwake,ndiyo maana Serikali imeweka zuio mpaka grade 4 peke yake.Futa kabisa haya masuala ya bweni kwani hayana tija yeyote zaidi ya usumbufu kwa mzazi. Muhimu walimu waajiriwe wa kutosha kufundisha watoto/wanafunzi.
Wanadhani kila mtu anapeleka mtoto boarding kwa kupenda,hawawezi kukuelewa point yako.Zipo fact zinazomsukuma mzazi kumpeleka mtoto bweni,
Wengine sababu ya majukumu ya kikazi au biashara ulazimika kutokukaa na watoto nyumbani.
Wengine ni single parents.
Hicho kibali maalumu ndio Loophole yenyewe.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekumbusha kuwa hairuhusiwi huduma ya bweni kutolewa kwa wanafunzi wa elimu ya awali na darasa la kwanza hadi la nne...
Hapo ndio huwa wanaharibuWaondoe hicho kibali maalum.
Kama hawajaondoa ni sawa na kazi bure tu.
Wanafeli sana.Hapo ndio huwa wanaharibu
Amri inatoka na vipengele kibao
Immunity ama
Hao watoto wanaosoma sekondari nao wanakuwa wadogo sana kiasi chakuwa rahisi kuharibiwa...Mimi nina uhitaji wa kupeleka mtoto wangu St.Francis,Cannosa,Maria Golet kidato cha kwanza,kwa hiyo unataka mtoto wangu akose hiyo nafasi sababu unataka Sekondari O-level pia ziwe day scholars?
At least kwa Primary inaeleweka lakini siyo Sekondari.Tutapeleka tu watoto wetu Boarding kidato cha kwanza,hakuna namna.