Tanzania: Serikali yapiga marufuku watoto kukaa bweni (boarding) kuanzia darasa la nne kushuka chini

Me pia lilinikumba hilo wazazi wenzangu kwenye kikao wakawa wananisengenya chinichini nadekeza mtoto duh nilipata wakati mgumu sana nilisimamia msimamo hakai boarding nkawa napeleka 12asubuh,na mtoto akafaulu vizur sana zaid ya walio bweni wakawa wananipongeza kinafisi huku roho zinawauma.
 
Boarding haifai kabisa kwa watoto shule zimejaa maeneo mengi. Mzazi mpeleke mtoto shule ya karibu kwako, hii itamsaidia mtoto kutosumbuka
 
mshatengeneza vichoko kibaaaaao ndio mwashtukia eeh, haya pumbaf zenu wakati wanaanzisha hizo boarding za vitoto mlikuwa wapi? maana wengine hawana hata chembe ya sababu za kupeleka watoto huko ni uvivu tu uliopitiliza na kujitia uzungu.
Bora wameshtuka wewe ulitaka wasishtuke
 
Hapo Ndiyo Utakumbuka Chorus Ya Wagosi Wa Kaya
Kucheka Mtacheka Lakini Mkoa Unadoda



Biashara Za Shule Zinadoda, Na Kuzorota Kabisa
 
Yote haya tumesababisha wazazi vitoto vidogo tumedhani simu nikibembelezeo Cha mtoto ,daddy ,mamu ,omba tuni (katuni) ,mtoto kajua mapaka password .KAZI tunayo
 
Mashoga wote wanatokea huko bording hata hicho kibali maalumu kifutiliwe mbali

Kuna ndugu yangu mmoja ana wake wawili basi ana wazalisha chap chap wake zake sasa ana watoto wengi kama wadogo wadogo alafu wote wanapelekwa bord!!

Yaan katoto kakifikisha miaka miwili tu kanapelekwa bord chalinze huko alafu wao wanaishi mkoa mwingine!! Cha wake zake ni mama wa nyumbani tu !!

Huyu mzee anaandaa mashoga wa mbeleni huko shauri yake.
 
Childcare ni changamoto Dunia nzima. Kuna mtu mwingine analeta boarding kwa sababu mazingira aliyopo hakuna shule. Wengine ni wafanyakazi was TANAPa au mashirika mengine ambayo vituo vyao by kazi ni porini n hakuna huduma ya shule. Pia wapo ambayo wanawaachia mahouse girl wakija jioni watoto wameigwa ,hawajalishwa n ni wachafu. Sera inabidi inanglie hayo yote. Wengi tunapigs makelele ila hata hao watoto walimu was shule wanawajua kuliko mzazi maana muda mwingi hatupo. Hata jumamosi na jumapilli pia hatupo. Wanaosaini hayo makratasi wengi watoto wao wao Feza au international school. Tukae tuangalie suala la malezi vizuri. Suala sio boarding ni malezi. Pia serikali Ina shule za boarding wilaya nzima ya Monduli. Je itazifunga? Arusha school itafungwa? Tusishabikie tu bila kutafakari.
 
Ashukuriwe Mwenyezi Mungu...mwakani kuna mwanangu wa darasa ilimpasa nae akae boarding! Halafu ni lazima...lilikuwa linanifikirisha sana.
Ombea lifanyiwe kazi mkuu..

Nchi hii matamko hutoka tu bure.. utekelezaji sifurii..
 
Shida iko pale pale, dada wakazi hachelewi kumrambisha mtoto cunt🙆‍♀️,ukiwa job
Huko boarding wanalishwa kabisa hizo takataka.

Naipongeza sana Serikali kwa maamuzi haya.
 
Ni jambo la msingi sana, hii itasaidia wazazi kuwajibika katika malezi na makuzi ya watoto, nadhani serikali ingeenda mbali zaidi kupiga marufuku ya boarding kwa shule za msingi yaani kuanzia awali mpaka darasa la saba
 
Hivi hawa panya road ambao wengine wameishia tu darasa la pili ni Boarding Schools ndiyo zimewaharibu?
Naona mmiliki wa shule unanyang'anywa tonge mdomoni sio..!!?

Acheni janjajanja nyinyi.
 
Nakubaliana na hoja zako zote, ni kweli lazima tuangalie kwanza maadili lakini tukumbuke kwamba nafasi ya mzazi katika maadili ya mtoto ni kubwa kuliko nafasi ya mtu mwingine yeyote

Kama huyu mtoto atakua boarding that means mzazi hatimizi wajibu wake katika makuzi na malezi ya huyo mtoto ndio maana nasema hii ni hatua moja wapo kubwa katika kuhakikisha mzazi anatimiza wajibu wa malezi kwa mtoto

Lakini hatua nyingine inabidi serikali kwa kushirikiana na jamii nzima iangalie suala zima la maadili kwenye jamii pamoja na kuweka sheria kali zinazowawajibisha wale wote wanaotekeleza ukatili dhidi ya watoto na kuwawajibisha wazazi ambao wanashindwa kutekeleza wajibu wao katika kuwalinda watoto wao dhidi ya ukatili
 
Kila kitu kina upande wa pili. Kuna wakati mama anakukimbia na kukuachia zigo la watoto. Watu wengi katika hali hii kimbilio lao lilikuwa boarding school. Ili mtu uweze kuendelea na shughuli zako na hasa zile zinazohitaji kusafiri mara kwa mara kwa single fathers au single mothers boarding school ilikuwa kimbilio lao. Ukipiga marufuku hili baba au mama wa hawa watoto atafanyaje? Aache kazi awe anawapeleka watoto shule.

Nafikiri kitu cha muhimu ni namna ya kuboresha hizo shule ili ziweze kukithi changamoto zilizopo. Huwezi kutatua tatizo kwa kukataza au kupiga marufuku. Labda serkali ije na mkakati wa kuziboresha hizi shule. Je, serkali itafuta vituo vyote vya kulelea watoto yatima? Je, serkali itavifuta vituo vyote vya kulelea watoto watukutu? Serkali, iache kumtafuta mchawi baada ya kuwa na mitala mibovu, walimu wachovu, madarasa yaliyojaa wanafunzi na wengi wanasomea chini ya miti.

Mimi nakumbuka wakati wangu darasa lilikuwa na wanafunzi 45 ( 1-8), 35 (9-12), na 25 (high school). Siku hizi kuna wanafunzi had 90 kwa darasa moja, alafu tunategemea mwalimu awe effective. Shule nyingi za msingi kinatawala kiboko kuliko kufundisha. Nidhamu mbovu iko zaidi kwenye shule za serkali kuliko binafsi. Shule binafsi wakitaka kuongeza muda wa kufundisha na kuwatayarisha watoto kimasomo wanaambiwa hairuhusiwi. Hivi kweli wasomi wa wizara wa elimu wanadiriki jkuwakataza wadau wa elimu kutoa muda wa ziada wa kujifunza, kwa sababu shule zao zinafanya vibaya na walimu wao hawawezi kujitolea kuwasaidia watoto wafanye vizuri kwenye mitihani!

Dhumuni kubwa la serkali kuweka sheria za mgandamizo kwenye elimu ni kufuatana na aibu wanayoipata kwenye matokeo ya mitihani shule za serkali. Kila kukicha serkali inamtafuta mchawi anayeroga shule za serkali. Wanadhani mchawi ni shule za binafsi, Ndiyo maana utaona wana sheria za ajabuajabu. Mimi mtoto (yatima) wa marehemu dada alinyimwa ufadhili eti kwa sababu alisoma shule ya kulipia. Ushahidi ulikuwepo kuwa ni yatima. Lakini utakuta watoto wa wakubwa na wenye pesa wanapewa mikopo kusoma nje na ndani ya nchi! Kuna maelfu ya wabarikiwa wanaosoma nje ya nchi kwa mikopo ya elimu ya juu, lakini mtoto wa maskini huo mkopo wa kusoma Chuo Kikuu cha St. Rwegalurira au St. Mwakaleli chenye gharama nafuu ananyimwa.
 
Kujishusha na kujidharau namna hiyo dhidi ya jirani ni upuuzi. Wakenya ndiyo wameiga kwetu. Sisi tulipiga marufuku mambo hayo kitambo tu.
nyiyi mlikuwa na maandishi tu wakenye wamenyayuka na vitendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…