Tanzania, siding with UAE firm, plans to evict Maasai from ancestral lands

Km mnawapenda waarabu wapeni zanzibar wawatawale hao ni ndugu zenu
Hao wamasai sio wabantu,lazima uelewe,pia wametokea pembe ya Afrika,kama waarabu.Angaliya wanavyofanana tabia zao,hawataki kulima,ni kufuga tu.Wote wanavyaa mashuka,wote wanatembea na sime,fimbo,marungu.Lugha zao pia ziko sawa,lugha ya kimasai sio kibantu.
 
Hiyo haiondoi haki yao ya kuishi eneo hilo.

Ukitaka kutrace origin ya kila kabila hapa nchini mbona watabakia wagogo tu??

Rais wa kwanza wa Zanzibar inasemekana Mmalawi yule.

Hehe kaa utulie mkuu.
 
Ni kweli watanzania hawana mtetezi nchi yao inapigwa mnada kwa waarabu sijui nani atatukomboa
Ngorongoro siyo nchi; ni kitongoji. Acheni kupotosha umma. Mbona foreign firms zimewekeza katika ukanda wa dhahabu kutoka buyanhulu hadi Geita na wasukuma hawalalamiki? Mamasai yana speciality gani?! Tena ng'ombe bora ingekuwa hata madini ya moran/kokoto. Watu dhahabu hawalalamiki? Msitufokee nyuma ya keyboard, jitokezeni tuwaone na nguo zenu za kijani. Stroke
 
Hiyo haiondoi haki yao ya kuishi eneo hilo.

Ukitaka kutrace origin ya kila kabila hapa nchini mbona watabakia wagogo tu??

Rais wa kwanza wa Zanzibar inasemekana Mmalawi yule.

Hehe kaa utulie mkuu.
Wamasai asili yao ni wamisiri,hao pia ni waarabu,sio wabantu,tizama mavazi,lugha,ufugaji nk.Uvaaji wao wa mashuka,bakora,sime,nk.
Tena wamasai,ndio waarabu wa asili,,hao weupe ni machotara wa kiarabu na mabibi wa kizungu,wa enzi za watumwa wa ulaya ya mashariki,walioana na waarabu wa asili(weusi).
 
Acheni propaganda za kijinga..tumeishafanya kazi Loliondo na Ngorongoro, tunajua uharibifu unaosababishwa na Masai...hebu niambie watu 120,000 wanatoa wapi kuni zao za kupikia kila siku? Miaka na miaka?
 
Serikali haiko serious kabisa.. yani kuondoa hao watu ni mada ya kila siku!??
 
Your browser is not able to display this video.
 
Hiyo habari niliiona mkuu nikataka kuleta bandiko kuiomba serikali iclarify hizi rumours.

Wakati wa Mwinyi tulishuhudia OBC wakipewa loliondo.

Sasa hili tena nalo linaumiza zaidi.

Mama anaupiga mwingi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watu wengi wanashindwa kuelewa kuwa mwarabu,ni mtu mweusi,hao weupe unaowaona ni mchanganyiko wa mabibi wa kizungu,wa ulaya ya mashariki,na waarabu wa asili(weusi),ndio wakapatikana hao weupe.Mzungu hamuiti muarabu ni white,anamuita black,hata awe vipi.
 
Thanks for sharing this if at all there is truth in it.

Let there be no more complaints as usual. Otherwise it will be like a wind blowing and business as usual.
 
Bila katiba tutachezewa sana. Mpaka huyu bibi mpemba atauza nchi atakavyo. Kuja kuikomboa upya kwa mwarabu tutauliwa kama kule Sudan na Chad.

Waarabu wamebeba laana na umwagaji damu. Tafadhali sana serikali, tutakuja kuitana magaidi huko mbele ya safari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…