Mama ana mapenzi na waarabu. Lakini inaweza kuwa ni tatizo la uislamu. Awapeleke pemba ambako asilimia 99 ni waislamuKama mnawapenda waarabu waiteni waje wawatawale tena
Loliondo itarudi kwa watanganyika na ngororongoro itarudi kwa watanganyika
Sauti ya utaifa inainuka kwa kasi
Ukweli mchungu huu...Cry my country!Dawa ni katiba mpya ambayo wananchi watakuwa na maamuzi ya juu nchi yao.Katiba ya sasa Rais ni kila kitu akiamua Wamaasai watatoka tu hakuna namna wakileta ukaidi Mama Yoyo watatandikwa na vikosi vyetu vya ulinzi na Usalama ambavyo vinapokea amri kutoka kwa Amiri Jeshi Mkuu.
Ukikimbilia Mahakamani unakutana na Majaji wa michongo na hukumu za michongo.
Suala la katika mpya ni suala la waTanzania wote ambao akili zao zipo vizuri.
Katiba mpya ni muhimu kwa usalama wetu na vizazi vyetu vijavyo.Wengi wetu hapa ndipo tunatambua nchi inapaswa kujengwa katika misingi imara iliyowekwa kikatiba, katiba ambayo itawafanya viongozi wawajibike endapo itakapo thibitika kuwa walifanya madudu kwa ajili ya maslahi yao binafsi na hatimaye kuliingizia taifa letu hasara kubwa.
Ile ccm unayoitetea kwa kiwango cha kutoa povu ndio inayofanya huu unyamaHiyo habari niliiona mkuu nikataka kuleta bandiko kuiomba serikali iclarify hizi rumours.
Wakati wa Mwinyi tulishuhudia OBC wakipewa loliondo.
Sasa hili tena nalo linaumiza zaidi.
we acha tu ndugu yangu!!!Imebidi nicheke mpaka nikapaliwa...Ndugu umewaza nini?🤣🤣🤣
Walitoka wote Serengeti Wakaja ngorongoro kwa makubaliano ya kupisha wanyama !serikali inahitaji kutumia hata pesa nyingi tu kukomboa hawa watu kifikra na kielimu, wapo nyuma sana. na hiyo sio ancestral home yao, walitoka serengeti hawa, hapo sio kwao. pia, yaani rundo la wanadamu hao kweli waishi na wanyama? kweli? halafu wakilisha mimea yote kiaisha hapo ngorongoro si watahama kwenda kutafuta malisho sehemu nyingine? wakati huo wanama pori nao watakuwa hawana majani, watakufa kama mangómbe yao yanavyokufa sasaivi maeneo yasiyo na malisho. huu ni ujinga ambao serikali haitakiwi kuuvumilia ili kulinda mbuga.
Kwani hao wamasai wanahamishiwa congo?At fisrt nilikua namheshimu sana PM Majaliwa ila namna anavyo handle hii ishu nimepoteza imani nae kabisa.
Serikali inapaswa iwalinde wananchi wake na sio kuchukua nafasi ya mabeberu.
Dada katiba ni makaratasi tu,Hapa ndiyo umuhimu wa katiba mpya unaonekana wazi. Katiba tuliyo nayo imekabidhi ardhi ya nchi nzima kwa mtu mmoja (rais). Akiamua kuuza mkoa wa Mwanza anaweza kufanya hivyo bila kuhojiwa Wala kushitakiwa.
Tuamke watanzania, katiba mpya ni muhimu sana
Kuna siku alikuwa anazindua kiwanda fulani mkoni Pwani, ile siku ndiyo nilipoona upande mwingine wa ubinadamu wa huyu Mama.Mama ana mapenzi na waarabu. Lakini inaweza kuwa ni tatizo la uislamu. Awapeleke pemba ambako asilimia 99 ni waislamu
Tupe na sisi tumjueKuna siku alikuwa anazindua kiwanda fulani mkoni Pwani, ile siku ndiyo nilipoona upande mwingine wa ubinadamu wa huyu Mama.
Tunawahamishia mwanza, town, nao watedt radha tofauti[emoji23]Wamasai kama walivyo binadamu wengine ni wanyama pia.
Wameishi na jamii nyingine za wanyama kwa maelfu ya miaka.
Tuwaache waishi Ngorongoro na wanyama wengine ili kuipamba ekolojia.
Dah! wakati mwingine inakulazimu kumkumbuka yule Mwamba.Hv JPM hawezi kufufuka!!?
manake nilisikia wahuni walitaka kununua shule ya umma ?!?
halafu mnayemtetea ni adui namba moja ya Mzungu. Yetu machoSerikali imetegwa.
Wakiwaondoa kwa nguvu tu.
Maadui zetu watachafua image ya nchi na tutawapoteza watalii.
Watalii wako sensitive sana na mambo kama hayo ya haki za binadamu na mengineyo kama hayo.
NDIYO ujue mzee baba alikuwa na maadui ndani nje
Najua mtanikumbuka kwa mema,Haya yote yamesababishwa na Magufuli.kwa nini alikubari kufa?