Inasikitisha sana, Jana kulikuwa na Mkesha wa Sensa....... Yaani watu wanaandaa Bajeti kwaajili ya kusoma matokeo ya Sensa
Viongozi wamekusanyika Dodoma na kulipana Posho kwaajili ya kupokea Report ya Sensa..... Lengo ni kuzitumbua tu tozo
Nyie mmewekwa kwenye kundi la waliohamia BurundiMi sikuhesabiwa! Kwenye hiyo idadi niongezeni
Kwamba huoni tatizo lolote kutumia mamilioni kupeperusha idadi ya watu tanzania?Watanzania kila kitu ni siasa, sioni sababu ya kuponda helkopta, ila kwa sababu kila wakati tunatafuta kitu cha kuponda basi tiendelee.
Uliiona wapi weweNimeandika nimefuta mara tatu.
Magufuli pamoja na kumsema alikuwa mbaya alijitahidi kubana matumizi Ili Hela ionekane. .
Helkopta ikionesha idadi ya Watanzania kutoka matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022.
Tuko 61,741,120. - Gerson Msigwa
================
Mheshimiwa hizi helkopita zingeenda kusaidia kuzima moto mt. Kilimanjaro huoni mngetumia busara
Sensa ya watu na makazi hizi takwimu zitakuwa zinahitajika mahali, Ee Mungu tutie nguvu.Helkopta ikionesha idadi ya Watanzania kutoka matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022.
Tuko 61,741,120. - Gerson Msigwa
================
Mheshimiwa hizi helkopita zingeenda kusaidia kuzima moto mt. Kilimanjaro huoni mngetumia busara.
View attachment 2403515
Mi sikuhesabiwa! Kwenye hiyo idadi niongezeni
Aliposema tutamkumbuka ndiyo kama ulivyofanya wewe sasa!Magufuli pamoja na kumsema alikuwa mbaya alijitahidi kubana matumizi Ili Hela ionekane. .
Watu wa pwani ni wapenda shuhuli yaan wao hawana shuhuli ndogo na haya ndio madhara yakeWametia shs ngapi? Si afadhali hiyo hela ya sherehe za kutangaza sensa na hata za mchakato mzima wangewekeza kwenye dawasa? Maji hamna...
Unafahamu alijilimbikizia kiasi gani?Nimeandika nimefuta mara tatu.
Magufuli pamoja na kumsema alikuwa mbaya alijitahidi kubana matumizi Ili Hela ionekane. .
Kodi zinakusanywa kila sikuSi tuliambiwa Magu alimaliza pesa zote hizi zinazochezewa zimetoka wapi jamani
Na mimi pia sikuhesabiwa pamoja na wife + junior.Mi sikuhesabiwa! Kwenye hiyo idadi niongezeni
Magufuli was the worst president ever!!!Mkome!
Wakija viongozi serious kama Magufuli mnawaita madikteta.
Bakini na hizo takataka zenu sasa!
Mimi siyo mtaalam sana kwenye hilo eneo lakini sms kama hizo huwa hazitoki kwenye simu personal ya mtu husika hata kama imeandikwa jina lake. Hivyo hata majibu huwa hayafiki. Wenye utaalam zaidi wataongea.Tunashule za sekondari elfu tano nchi nzima badala tujitafakari, umeme/maji/chakula shida badala tutafakari tunaalikwa tukashangilie helkopta.
Mimi nilimjibu niletee maji nioge ndio nije maana hamna maji huku kwetu! sijui aliisoma?
Shukuru Mungu mlipora ofisi, viwanja, shule zilizojengwa kwa nguvu za serikali na wananchi wote enzi ya chama kimojaUzi umejaa vijana kutoka ufipa. Vipi ofisi mnajenga lini?
Kwa wajinga, mazwazwa, wapumbavu na matakataka aina yako tu!Magufuli was the worst president ever!!!
Bora zilikuwa zinamlinda akienda kukagua miradi ya maendeleo kuliko hizi takatakaYeye kila safari zake helkopta ilikuwa angani inamlinda, sasa sijui ni matumizi gani alibana. Yeye alifanikiwa kubana wanaohoji lakini sio kubana matumizi.
Walitaka walifanye ni tukio moja kubwa sana ili watusahaulishe ishu za mma na umemeShida ya kuongozwa na Waswahili. Kila kitu shughuli. Kila mtu analaumu,jiulize waliopanga hii kitu wanafikiria nini. Wana akili kama hizi zetu au?
Magufuli ndiye muasisi wa sherehe zisizo na kichwa.
Kila tukio alilitimia kisiasa kujijenga
Mzee alikuwa na vitukoNi kweli amewahi nunua jogoo la elfu 20,KWa laki moja