Tanzania sio tu masikini wa kutupwa EAC na SADC, wamechemsha pia kijeshi

Tanzania sio tu masikini wa kutupwa EAC na SADC, wamechemsha pia kijeshi

Nyie mlishajichokea kwenye kila kitu, uchumi, kielimu, kiafya, kijeshi, kidemkrasia, hata diplomasia yaani kila kitu.....hili la juzi la corona ndio limewaumbua kabisa, mpaka mumekua kitovu cha maambukizi ukanda wote huu mlikua mnalialia madereva wenu waingie kwa lazima kwenye nchi za watu bila kupimwa, hamna cha hivyo, tunawapima na akikutwa na corona anageuzwa papo hapo, sema tumekubali hatutawaumbua kwa kutaja idadi ya madereva wenu ambao tumewagundua na kirusi, tunawapimia kwenu hapo mpakani na kuwapokeza kimya kimya.
Unabwabwaja maneno ya kwenye khanga tu mbona hujibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna siku sijaonekana JF, mbona ninapost kila siku humu, halafu comment yangu kwenye huu uzi hadi raha mumeniquote nyote...huwa napata raha pale ninawagusa penyewe mnaniquote kila mtu kwa povu zake.
Halafu sijakuelewa hapo unasema nimekwepa uzi.
Tutajie mission gani tumeshindwa.
Tutajie vita gani tumeshindwa
Tutajie nchi gani inatusumbua
Tutajie nchi gani inaiba rasilimali zetu
Tutajie matusi gani tumetukanwa na makundi ya kihuni kama alshabab.

Yaani si kufuatana na Mozambique ambayo mwezi uliopita majambazi yalifunga miji mitatu, wakapora magari ya kijeshi na kutokomea misituni?

Never on earth.
Screenshot_20200526-161848.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu na hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

Cku hz tushajua tuwafanye nini mkileta shobo tunawabandua tu makalio yenu

Sasa hapo nijibu nini labda, maana mwanaume ukishajishusha na kuwa na mipasho kama ya wanawake wakati wanasukana nywele, inabidi upuuzwe, angalia sana jinsi huwa najibu hoja humu, huwa simjibu kila kajamba anayeniquote, nikiona umeniquote halafu nisome neno moja la kwanza nakua tayari nimetathmini uwezo wako wa kujadili hoja, napuuza vyote vingine ulivyoviandika ni kupita, ninaweza kukuta nimekua quoted na watu kumi humo najibu wawili tu.

Kunao hata huwa sihangaiki kusoma chochote wameandika wakati wameniquote, maana unakuta ni ushuzi mtupu usiofikirisha au kuchochea uwezo wangu wa kutumia ubongo, nilishawapuuza kitambo hadi labda wajiboreshe uwezo wa kutumia ubongo.
Ukiona namjibu mtu ujue kiaina nimemsoma ana uwezo wa kujadili hoja, hizi sio zama zile nilikua napelekeshana na kila kajamba anayetafuta kiki kwa kujibishana na mimi.
 
Tutajie mission gani tumeshindwa.
Tutajie vita gani tumeshindwa
Tutajie nchi gani inatusumbua
Tutajie nchi gani inaiba rasilimali zetu
Tutajie matusi gani tumetukanwa na makundi ya kihuni kama alshabab.

Yaani si kufuatana na Mozambique ambayo mwezi uliopita majambazi yalifunga miji mitatu, wakapora magari ya kijeshi na kutokomea misituni?

Never on earth.View attachment 1460125

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna mission gani mumefanya? Maana huwa mnatembelea mgongo wa kupigana na wale watoto wezi wa M23, lile kundi lilikua linahusisha watoto kwenye vita na kuiba madini, walikua watu wa kuogopa vifo, na ndio maana ilikua rahisi kuwasambaratisha.

Vita vya leo vya udume ni dhidi ya magaidi wanaojitoa mhanga, ambao hawaogopi vifo na hawana haja ya madini wala nini, wanashambulia wakiwa kundi la wapiganaji kama 1,000 na wote wamekuja kufa, wanajilipua lipua mabomu, siku mkipambana pambano kama hilo ndio mjisifie, ila kwa sasa nyie ukanda wote huu ndio mliingiza mikia miguuni na kuogopa kwenda kusaidia Somalia, mataifa yote hadi Rwanda yametia guu pale. Mumekua aibu ya Afrika, ndio maana hata kwa rankings kama hizi mnashushwa kwenye mkia.

Huwa mnaimba imba vita vya Idd Amin, mnasahau yule alikua amaechukiwa na Waganda wote, hivyo wote akina Museveni na maelfu ya Waganda walihusika pakubwa kupigana dhidi yake kwenye hivyo vita, siku zote dikteta anapopigwa, raia huwa wanasaidia kwenye kumpiga, ila leo mjaribu kuivamia nchi ambayo raia wake wana uzalendo na hawajakichoka chama tawala, ndio muone inavyokua.
 
Pole sana kwa povu.

Hutujaogopa kwenda Somalia, tuna sababu zetu za msingi. Kama mnataka tuwasaidie, andikeni barua tutakuja. Tumeenda Sudan sembuse Somalia?

Nyie mpambane na hali zenu huko. Na ukumbuke, mmeamua kwenda Somalia baada ya alshababu kuwaadhiri na kdf kupora bidhaa super market. Ndipo mkaenda kwa hasira. Jiulize, kwa nini Alshabab hawajaweza kushambulia Tanzania ukiachilia mbali 1998 incidence? Hawajaweza kwa sababu, tuna jeshi imara.

Tanzania ukizungumza jeshi tuna maanisha jwtz, polisi, tiss, jkt, hadi prison huko. Tuko well organized, ndio maana hao alshabab walianza fyofyoko mkoa wa pwani, hadi sasa hawapo tena.

Tanzania inakukamata wakati na baada ya planning phase, ndío maana husikii ujinga kama wa huko kwenu
Kuna mission gani mumefanya? Maana huwa mnatembelea mgongo wa kupigana na wale watoto wezi wa M23, lile kundi lilikua linahusisha watoto kwenye vita na kuiba madini, walikua watu wa kuogopa vifo, na ndio maana ilikua rahisi kuwasambaratisha.
Vita vya leo vya udume ni dhidi ya magaidi wanaojitoa mhanga, ambao hawaogopi vifo na hawana haja ya madini wala nini, wanashambulia wakiwa kundi la wapiganaji kama 1,000 na wote wamekuja kufa, wanajilipua lipua mabomu, siku mkipambana pambano kama hilo ndio mjisifie, ila kwa sasa nyie ukanda wote huu ndio mliingiza mikia miguuni na kuogopa kwenda kusaidia Somalia, mataifa yote hadi Rwanda yametia guu pale. Mumekua aibu ya Afrika, ndio maana hata kwa rankings kama hizi mnashushwa kwenye mkia.

Huwa mnaimba imba vita vya Idd Amin, mnasahau yule alikua amaechukiwa na Waganda wote, hivyo wote akina Museveni na maelfu ya Waganda walihusika pakubwa kupigana dhidi yake kwenye hivyo vita, siku zote dikteta anapopigwa, raia huwa wanasaidia kwenye kumpiga, ila leo mjaribu kuivamia nchi ambayo raia wake wana uzalendo na hawajakichoka chama tawala, ndio muone inavyokua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iddi Amin alikuja kama amechokaa sana, mulimvamia na majeshi zaidi ya elfu saba ama ilikua kumi na, yeye alikua na kama elfu mbili hivi, na wengi walikua wamemchoka, kazi ilikua kupora na kutoweka, muli combine na rebels kutoka Uganda na mukakusanya pia majeshi kutoka Zanzibaa la zivyo angewafurusha nchi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hakika na umri wako lakini ni wazi kuwa comment hii inawezekana uko chini ya miaka 20...Halafu ni wazi huijui Tanzania na hata nchi yako huenda huifahamu.

Unataja Zanzibar as if ni nje ya Tanzania...Zanzibar ni part and parcel ya Tanzania...Halafu Kama hujui Uganda wakati wa Iddi Amin was very powerful militarilly...He had almost 50 thousands soldiers many tanks, APCs , Migs...Halafu Amin hakuwa peke yake...Ghadafi alileta Askari vifaru na ndege kumsaidia.

Kile amacho hakujua ni kuwa almost every Tanzanian Alikuwa amepitia mafunzo ya kijeshi iwe ni JKT au mgambo vijijini, makazini na mitaani...When Tanzanians were mobilized for war Amin hakuamini..alipigwa right, left centre up and down...Binafsi niliwaona Askari wale wa Libys waliotekwa namna walivyosikitisha..thousands of Libya wakarudishwa kwao na Nyerere ...Uganda ikawa chini ya Tanzania na maraus wao wote wakawa wanaripoti kwa Nyerere..akina Paul Muwanga, Binaisa, Lule na Okello na hata Obote after his second coming.

Kwa hiyo wewe dogo usicheze na Tanzania...katika ukanda huu hakuna anayeweza na Tanzania...nyie nunueni tu vifaru, ndege na kadhalika.

Lakini Vita ni military tactics, patriotism, courage, will to fight, unity na able leadership...
 
Ukitaka kuujua ubabe wa Tz, Jiulize Kwa Nini Magenge Ya Wahalifu Hayatii Maguu Tz Kama Yanavowafuck Kenya Na Nchi Zingne East Africa?
 
Pole sana kwa povu.

Hutujaogopa kwenda Somalia, tuna sababu zetu za msingi. Kama mnataka tuwasaidie, andikeni barua tutakuja. Tumeenda Sudan sembuse Somalia?

Nyie mpambane na hali zenu huko. Na ukumbuke, mmeamua kwenda Somalia baada ya alshababu kuwaadhiri na kdf kupora bidhaa super market. Ndipo mkaenda kwa hasira. Jiulize, kwa nini Alshabab hawajaweza kushambulia Tanzania ukiachilia mbali 1998 incidence? Hawajaweza kwa sababu, tuna jeshi imara.

Tanzania ukizungumza jeshi tuna maanisha jwtz, polisi, tiss, jkt, hadi prison huko. Tuko well organized, ndio maana hao alshabab walianza fyofyoko mkoa wa pwani, hadi sasa hawapo tena.

Tanzania inakukamata wakati na baada ya planning phase, ndío maana husikii ujinga kama wa huko kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app

Wazalendo na mataifa vongozi wa Afrika wametoka mbali Nigeria, Ghana, Afrika Kusini naa hata Kenya n.k. wote wametia guu Somalia kuwasaidia, nyie kwa uwoga wenu jirani wa Somalia mumetia mkia katikati ya miguu, mlishajichokea na kuwa aibu ya Afrika. Hata maskini mwenzenu Burundi alijitutumua kwenda kuwasaida wale kwa namna ya uwezo wake.

Mlishasahaulika kabisa nyie watu, makelele tu, hamtajwi kwa lolote la maana, sio michezo, elimu, kijeshi wala nini, mpo mpo tu, hili la corona ndio mkaangukia pua kabisa eti mnapima machungwa na maembe ili kutafuta pa kutokea muache kupima binadamu na kuwaacha wajifie.....hehehe
 
Wazalendo na mataifa vongozi wa Afrika wametoka mbali Nigeria, Ghana, Afrika Kusini naa hata Kenya n.k. wote wametia guu Somalia kuwasaidia, nyie kwa uwoga wenu jirani wa Somalia mumetia mkia katikati ya miguu, mlishajichokea na kuwa aibu ya Afrika. Hata maskini mwenzenu Burundi alijitutumua kwenda kuwasaida wale kwa namna ya uwezo wake.
Mlishasahaulika kabisa nyie watu, makelele tu, hamtajwi kwa lolote la maana, sio michezo, elimu, kijeshi wala nini, mpo mpo tu, hili la corona ndio mkaangukia pua kabisa eti mnapima machungwa na maembe ili kutafuta pa kutokea muache kupima binadamu na kuwaacha wajifie.....hehehe
Kutajwa tajwa kwa njaa, cholera, ukabila, pests invasion, ushoga uliokithiri, ufisadi uliopindukia, kwenu mnaona sifa au co.
 
Uko out of topic kaka baba bluu.,
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
.,
Siyo OP KAKA ONESHA UZALENDO PENDA VYA KIAFRIKA KUHUSU JESHI HAYO NI MASWALA MENGINE (TOP SECRET) HAYAJADILIWI MTANDAONI .CHA MSINGI KUMBUKA KENYA NI NDUGU ZETU KWA SABABU KUNA MAASAI KENYA,WAKURYA,WAJALUO NA HAO WOTE NA TANZANIA WAPO.SIONI HAJA YA KUONESHA DOUBLE STANDARD KWA KUWA HIZI ZOTE EAC
 
Kweli we ni mpumbavu hivi nje ya kenya nani utamwambia ubora wa kijeshi Kenya ya 12 na TZ 24 akakuelewa
Pitia Taarifa ya 2020 Global Military Ranking in Africa, wako below top 20, kazi ni kupiga kifua yenye hawana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

=======
African Military Strength (2020)

African countries ranked by potential military strength.

The GFP list makes use of over 50 factors in our in-house formula to determine a given nation's Power Index ('PwrIndx') score. This provides the final ranking while also allowing smaller, more technologically-advanced, nations to compete with larger, lesser-developed ones. Some bonuses and penalties are added for refinement that, in the end, we hope presents an unbiased look into the potential conventional military strength of a world power. Color arrows indicate year-over-year trend comparison (Rise, Neutral, Fall).

There are a total of 35 countries included in the African Military Strength (2020) listing.



Source: https://www.globalfirepower.com/countries-listing-africa.asp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakupeni sifa ili mzidi kununua mavyuma yao ,walichoangalia pesa zilizotumika kununua silaha katika kila Nchi Sasa cc tununue sulaha nyingi ya nini wakati amani imetawala walevi wote wanatuogopa hamna anaetuchokoza
12, Uganda 13, nyie 24.., jitetee kwa mengine., Ethiopia are good in top 10., among the best in Africa, hakuna ubishi., nyie wakujisifu mlio pigwa mapanga kule Congo ndio nawamulika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom