Tanzania sio tu masikini wa kutupwa EAC na SADC, wamechemsha pia kijeshi

Tanzania sio tu masikini wa kutupwa EAC na SADC, wamechemsha pia kijeshi

Endelea kujitetea, fact remain you are the weakest in EAC, mbwa anaye bweka sana hana makali, ama haumi.
Sina hakika na umri wako lakini ni wazi kuwa comment hii inawezekana uko chini ya miaka 20...Halafu ni wazi huijui Tanzania na hata nchi yako huenda huifahamu.

Unataja Zanzibar as if ni nje ya Tanzania...Zanzibar ni part and parcel ya Tanzania...Halafu Kama hujui Uganda wakati wa Iddi Amin was very powerful militarilly...He had almost 50 thousands soldiers many tanks, APCs , Migs...Halafu Amin hakuwa peke yake...Ghadafi alileta Askari vifaru na ndege kumsaidia.

Kile amacho hakujua ni kuwa almost every Tanzanian Alikuwa amepitia mafunzo ya kijeshi iwe ni JKT au mgambo vijijini, makazini na mitaani...When Tanzanians were mobilized for war Amin hakuamini..alipigwa right, left centre up and down...Binafsi niliwaona Askari wale wa Libys waliotekwa namna walivyosikitisha..thousands of Libya wakarudishwa kwao na Nyerere ...Uganda ikawa chini ya Tanzania na maraus wao wote wakawa wanaripoti kwa Nyerere..akina Paul Muwanga, Binaisa, Lule na Okello na hata Obote after his second coming.

Kwa hiyo wewe dogo usicheze na Tanzania...katika ukanda huu hakuna anayeweza na Tanzania...nyie nunueni tu vifaru, ndege na kadhalika.

Lakini Vita ni military tactics, patriotism, courage, will to fight, unity na able leadership...
 
Wazalendo na mataifa vongozi wa Afrika wametoka mbali Nigeria, Ghana, Afrika Kusini naa hata Kenya n.k. wote wametia guu Somalia kuwasaidia, nyie kwa uwoga wenu jirani wa Somalia mumetia mkia katikati ya miguu, mlishajichokea na kuwa aibu ya Afrika. Hata maskini mwenzenu Burundi alijitutumua kwenda kuwasaida wale kwa namna ya uwezo wake.

Mlishasahaulika kabisa nyie watu, makelele tu, hamtajwi kwa lolote la maana, sio michezo, elimu, kijeshi wala nini, mpo mpo tu, hili la corona ndio mkaangukia pua kabisa eti mnapima machungwa na maembe ili kutafuta pa kutokea muache kupima binadamu na kuwaacha wajifie.....hehehe
Dah....[emoji2960]
tapatalk_1590582241259.jpg
 
Endelea kujitetea, fact remain you are the weakest in EAC, mbwa anaye bweka sana hana makali, ama haumi.
Anayebweka ni nani? Walioanzisha uzi huu ndio wanaobweka...WaTZ wanachofanya hapa ni kujibu mapigo ya wabwekaji...hawana adabu kabisa...Yaani mtu anaanzisha uzi wenye hoja za kipumbavu kabisa...eti Tanzania maskini...mara oh Sijui hata nguvu za kijeshi hawana...kwa hoja hizi ni wabwekaji wanafahamika...Yaani baadhi ya watu wa Kenya ni wa ovyo Sana..siyo wore Ila baadhi yao...if TZ is weak kijeshi anzisheni Vita muone Cha mtema kuni...Tanzania can fight in two fronts...Tunaweza kupigana na Kenya and in another front na nchi nyingine yoyote inayoleta fyokofyoko...nguvu za kijeshi siyo uwingi wa vifaa tu Bali hata watu wenyewe if they are ready to fight and have good and able leadership and also military tactics..WaTZ wanavyo vyote..kwa wanaume wanazo pia nguvu za kiume...Nyie endeleeni kupigana na Somalia..endeleeni kutamba na rankings za nguvu za kijeshi...
 
Hahaha tufanye kijeshi tupo nyuma ila jeshi letu limeshiriki opereshen nyingi za kung'oa waasi na hata viongozi shit nchi mbalimbali.

Bado tuna nafasi yetu ya kuheshimika katika swala la PK huko UN.

Miaka zaidi ya 30 nyuma tuliingia vitani na nchi jirani ikiwa inagewa msaada na Libya n tulishinda.

Fast forward today. Kenya ambayo ina jeshi imara, kali na lenye kujielewa kuliko yote duniani linasumbuliwa na kikundi kinaitwa Al Shabab.

Intelijensia mbovu. Wanachuo mamia wakafariki. Kwa kushindwa kuficha uhayawani wao leo hii kuna video ya wanajeshi wa Kenya wakiiba mikate katika hypermarket moja iliyokua imetekwa.

Jina wataitaja wenyewe. Shwain hawa.
Jeshi la Tanzania haliwezi fanya upambafu huo,nchi ya Kunya ina njaa balaa
 
Toka wakuu wenu wajibu majibu ya ndio kwenye utaratibu wa kuvuka mpaka ulioandaliwa na Tz uka logout ,ehee tupe habari nasikia vitunguu vimeshuka bei huko munafurahia neema za Tanzania sasa hivi vipi kuna dereva yeyote wa Tanzania aliepimwa na vipimo vyenu vya ujeruman kabla ya kuvuka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Walileta kidomodomo mpakani,tulipodinda wakaanza kujipendekeza eti sisi ni ndugu zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Aiseee
 
Nyie mlishajichokea kwenye kila kitu, uchumi, kielimu, kiafya, kijeshi, kidemkrasia, hata diplomasia yaani kila kitu. Hili la juzi la corona ndio limewaumbua kabisa, mpaka mumekua kitovu cha maambukizi ukanda wote huu mlikua mnalialia madereva wenu waingie kwa lazima kwenye nchi za watu bila kupimwa, hamna cha hivyo, tunawapima na akikutwa na corona anageuzwa papo hapo, sema tumekubali hatutawaumbua kwa kutaja idadi ya madereva wenu ambao tumewagundua na kirusi, tunawapimia kwenu hapo mpakani na kuwapokeza kimya kimya.
Kwanini msifunge mpaka kabisa madereva wetu wasiingie,walahi kama hamjanya povu.
 
Mijitu ya Kunya-Land hii inayougua kipindupindu na njaa kila siku watoe wapi jeshi bora?

Vitoto viwili tu vya alshabab viliwatoa kamasi pale west gate siku tatu!

Jeshi la kunya ni dhaifu mno. Intelijensia dhaifu, askari dhaifu, amiri jeshi mlevi.

Siku hizi jeshi la Kunya-land linatumika kuwatandika bakora tu watu wajinga wajinga wasiovaa barakoa kama MK254
 
12, Uganda 13, nyie 24.., jitetee kwa mengine., Ethiopia are good in top 10., among the best in Africa, hakuna ubishi., nyie wakujisifu mlio pigwa mapanga kule Congo ndio nawamulika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kunyaland wanainamishwa everytime na Ethiop na kukubali kwa kuangalia rank ya mcheza porn wao, endeleeni kupaka mafuta makalio msiumie sana,maana wanaume wenu wanekula vumbi
 
Hivi kuna siku sijaonekana JF, mbona ninapost kila siku humu, halafu comment yangu kwenye huu uzi hadi raha mumeniquote nyote. Huwa napata raha pale ninawagusa penyewe mnaniquote kila mtu kwa povu zake.
Halafu sijakuelewa hapo unasema nimekwepa uzi.
Ngoja nikupumzishe tu...nisikuongezee stress bure😄
 
Katika Nchi dhaifu ktk ukanda huu bc Kenya afadhal hata Somalia,Kenya Kama itaingia na Tz Kwenye Vita bc tutaipiga kabla Vita haijaanza Mana tutakachokifanya kufuna mipaka hamna chochote kinachoenda kwa mda wa wiki 3 ,kipindi wanalia njaa na kuangalia sehem ya ziada wanaume ndio tunaua mende kwa ubua tu wala hatutoki jasho.
Jeshi la Tanzania haliwezi fanya upambafu huo,nchi ya Kunya ina njaa balaa
 
12, Uganda 13, nyie 24.., jitetee kwa mengine., Ethiopia are good in top 10., among the best in Africa, hakuna ubishi., nyie wakujisifu mlio pigwa mapanga kule Congo ndio nawamulika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Somalia wanawatia vidole kila uchao, bado unadilika kuleta domo lako chafu huku?
 
Hawa wazungu-koko wa Kikuyu wanababaika na hizo takwimu za kupikwa na mabeberu ili nao wajione ni jamii ya wazungu.

Marekani anauza silaha pale lazima awapake mafuta ili mzidi kulimbuka na kununua zaidi na zaidi.

Linchi masikini watu wanakufa njaa na kuugua magonjwa ya tumbo, lakini kutwa kujifariji na GDP feki.

Oohh tuna uchumi mkubwa! Uchumi my ass!

Mijitu inakula mavi huko kibera mpaka inaugua Kipindupindu we unaleta takwimu za kwenye magazeti ya maandazi!
 
Anayebweka ni nani? Walioanzisha uzi huu ndio wanaobweka...WaTZ wanachofanya hapa ni kujibu mapigo ya wabwekaji...hawana adabu kabisa...Yaani mtu anaanzisha uzi wenye hoja za kipumbavu kabisa...eti Tanzania maskini...mara oh Sijui hata nguvu za kijeshi hawana...kwa hoja hizi ni wabwekaji wanafahamika...Yaani baadhi ya watu wa Kenya ni wa ovyo Sana..siyo wore Ila baadhi yao...if TZ is weak kijeshi anzisheni Vita muone Cha mtema kuni...Tanzania can fight in two fronts...Tunaweza kupigana na Kenya and in another front na nchi nyingine yoyote inayoleta fyokofyoko...nguvu za kijeshi siyo uwingi wa vifaa tu Bali hata watu wenyewe if they are ready to fight and have good and able leadership and also military tactics..WaTZ wanavyo vyote..kwa wanaume wanazo pia nguvu za kiume...Nyie endeleeni kupigana na Somalia..endeleeni kutamba na rankings za nguvu za kijeshi...
Nani wamefungua uzi mingi sana humu Kenyan news forum? Fanya hesabu kisha ufyate domo domo nyingi..., hii thread ilikua tu jibu kwao. Mumelia sana hampendi ukweli, Ccm wamewadanganya kishenzi, mko ovyo kupindukia, ukitaka lia ama go hug a pole.
 
Somalia wanawatia vidole kila uchao, bado unadilika kuleta domo lako chafu huku?
Ni Somalia ama kaka zenyu Al Shabaab?., wale magaidi wote ni waislamu lakini waislamu wote sio magaidi, hapa tusisumbuane, it is ideogical warfare sio Somalia nyambaf, go to school![emoji6][emoji23][emoji23], Nyie mko sawa kushinda marekani eti? Waulize black hawk down ni nini ilifanyika Somalia? Nyie mnapigana na rebels ambao wengi ni watoto wamelazimishwa, yaani child soldiers kisha unapiga kifua hapa[emoji23][emoji23][emoji23] waliwalisha mapanga sasa ingekua Al Shaabab wenye technology na M16s je? TPDF ni watchmen, yani askari wakulinda boma za watu na kuwatumbuiza wakati wa sherehe za kitaifa, an empty display of public relations gimmicks tu[emoji23][emoji6][emoji23][emoji23]
 
Waficha uchi nyie, hampendi ukweli, fyata mdomo, GDP fake na nyie walala hoi wengi kuliko nchi zote EAC na SADC, fanyeni kazi wacha uzembe, linchi likubwa, annual revenue kidogo, yaani vyanzo vya kutega uchumi haviwezi tosheleza national budget, sasa peleka malalamishi yako kwa serikali yako ovyo ya ccm, mumepumbazwa mukapumbazika kishenzi.
Kaka unaumwa kweli
Wacha hasira mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wazungu-koko wa Kikuyu wanababaika na hizo takwimu za kupikwa na mabeberu ili nao wajione ni jamii ya wazungu.

Marekani anauza silaha pale lazima awapake mafuta ili mzidi kulimbuka na kununua zaidi na zaidi.

Linchi masikini watu wanakufa njaa na kuugua magonjwa ya tumbo, lakini kutwa kujifariji na GDP feki.

Oohh tuna uchumi mkubwa! Uchumi my ass!

Mijitu inakula mavi huko kibera mpaka inaugua Kipindupindu we unaleta takwimu za kwenye magazeti ya maandazi!
 
Back
Top Bottom