12, Uganda 13, nyie 24.., jitetee kwa mengine., Ethiopia are good in top 10., among the best in Africa, hakuna ubishi, nyie wakujisifu mlio pigwa mapanga kule Congo ndio nawamulika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unabwabwaja maneno ya kwenye khanga tu mbona hujibuNyie mlishajichokea kwenye kila kitu, uchumi, kielimu, kiafya, kijeshi, kidemkrasia, hata diplomasia yaani kila kitu.....hili la juzi la corona ndio limewaumbua kabisa, mpaka mumekua kitovu cha maambukizi ukanda wote huu mlikua mnalialia madereva wenu waingie kwa lazima kwenye nchi za watu bila kupimwa, hamna cha hivyo, tunawapima na akikutwa na corona anageuzwa papo hapo, sema tumekubali hatutawaumbua kwa kutaja idadi ya madereva wenu ambao tumewagundua na kirusi, tunawapimia kwenu hapo mpakani na kuwapokeza kimya kimya.
Ranking za mtandaoni Jeshi la tz ni la siri sana.Alafu hakuna adui yoyote anayeisumbua tz na tumezungukwa na nchi korofi alafu tunanatural resources nyingi lakini hakuna adui yoyote anayetuZingua.hii inamaanisha tuna jeshi imara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutajie mission gani tumeshindwa.Hivi kuna siku sijaonekana JF, mbona ninapost kila siku humu, halafu comment yangu kwenye huu uzi hadi raha mumeniquote nyote...huwa napata raha pale ninawagusa penyewe mnaniquote kila mtu kwa povu zake.
Halafu sijakuelewa hapo unasema nimekwepa uzi.
Jibu na hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Cku hz tushajua tuwafanye nini mkileta shobo tunawabandua tu makalio yenu
Tutajie mission gani tumeshindwa.
Tutajie vita gani tumeshindwa
Tutajie nchi gani inatusumbua
Tutajie nchi gani inaiba rasilimali zetu
Tutajie matusi gani tumetukanwa na makundi ya kihuni kama alshabab.
Yaani si kufuatana na Mozambique ambayo mwezi uliopita majambazi yalifunga miji mitatu, wakapora magari ya kijeshi na kutokomea misituni?
Never on earth.View attachment 1460125
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mission gani mumefanya? Maana huwa mnatembelea mgongo wa kupigana na wale watoto wezi wa M23, lile kundi lilikua linahusisha watoto kwenye vita na kuiba madini, walikua watu wa kuogopa vifo, na ndio maana ilikua rahisi kuwasambaratisha.
Vita vya leo vya udume ni dhidi ya magaidi wanaojitoa mhanga, ambao hawaogopi vifo na hawana haja ya madini wala nini, wanashambulia wakiwa kundi la wapiganaji kama 1,000 na wote wamekuja kufa, wanajilipua lipua mabomu, siku mkipambana pambano kama hilo ndio mjisifie, ila kwa sasa nyie ukanda wote huu ndio mliingiza mikia miguuni na kuogopa kwenda kusaidia Somalia, mataifa yote hadi Rwanda yametia guu pale. Mumekua aibu ya Afrika, ndio maana hata kwa rankings kama hizi mnashushwa kwenye mkia.
Huwa mnaimba imba vita vya Idd Amin, mnasahau yule alikua amaechukiwa na Waganda wote, hivyo wote akina Museveni na maelfu ya Waganda walihusika pakubwa kupigana dhidi yake kwenye hivyo vita, siku zote dikteta anapopigwa, raia huwa wanasaidia kwenye kumpiga, ila leo mjaribu kuivamia nchi ambayo raia wake wana uzalendo na hawajakichoka chama tawala, ndio muone inavyokua.
Sina hakika na umri wako lakini ni wazi kuwa comment hii inawezekana uko chini ya miaka 20...Halafu ni wazi huijui Tanzania na hata nchi yako huenda huifahamu.Iddi Amin alikuja kama amechokaa sana, mulimvamia na majeshi zaidi ya elfu saba ama ilikua kumi na, yeye alikua na kama elfu mbili hivi, na wengi walikua wamemchoka, kazi ilikua kupora na kutoweka, muli combine na rebels kutoka Uganda na mukakusanya pia majeshi kutoka Zanzibaa la zivyo angewafurusha nchi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kwa povu.
Hutujaogopa kwenda Somalia, tuna sababu zetu za msingi. Kama mnataka tuwasaidie, andikeni barua tutakuja. Tumeenda Sudan sembuse Somalia?
Nyie mpambane na hali zenu huko. Na ukumbuke, mmeamua kwenda Somalia baada ya alshababu kuwaadhiri na kdf kupora bidhaa super market. Ndipo mkaenda kwa hasira. Jiulize, kwa nini Alshabab hawajaweza kushambulia Tanzania ukiachilia mbali 1998 incidence? Hawajaweza kwa sababu, tuna jeshi imara.
Tanzania ukizungumza jeshi tuna maanisha jwtz, polisi, tiss, jkt, hadi prison huko. Tuko well organized, ndio maana hao alshabab walianza fyofyoko mkoa wa pwani, hadi sasa hawapo tena.
Tanzania inakukamata wakati na baada ya planning phase, ndío maana husikii ujinga kama wa huko kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutajwa tajwa kwa njaa, cholera, ukabila, pests invasion, ushoga uliokithiri, ufisadi uliopindukia, kwenu mnaona sifa au co.Wazalendo na mataifa vongozi wa Afrika wametoka mbali Nigeria, Ghana, Afrika Kusini naa hata Kenya n.k. wote wametia guu Somalia kuwasaidia, nyie kwa uwoga wenu jirani wa Somalia mumetia mkia katikati ya miguu, mlishajichokea na kuwa aibu ya Afrika. Hata maskini mwenzenu Burundi alijitutumua kwenda kuwasaida wale kwa namna ya uwezo wake.
Mlishasahaulika kabisa nyie watu, makelele tu, hamtajwi kwa lolote la maana, sio michezo, elimu, kijeshi wala nini, mpo mpo tu, hili la corona ndio mkaangukia pua kabisa eti mnapima machungwa na maembe ili kutafuta pa kutokea muache kupima binadamu na kuwaacha wajifie.....hehehe
Siyo OP KAKA ONESHA UZALENDO PENDA VYA KIAFRIKA KUHUSU JESHI HAYO NI MASWALA MENGINE (TOP SECRET) HAYAJADILIWI MTANDAONI .CHA MSINGI KUMBUKA KENYA NI NDUGU ZETU KWA SABABU KUNA MAASAI KENYA,WAKURYA,WAJALUO NA HAO WOTE NA TANZANIA WAPO.SIONI HAJA YA KUONESHA DOUBLE STANDARD KWA KUWA HIZI ZOTE EACUko out of topic kaka baba bluu.,.,
Pitia Taarifa ya 2020 Global Military Ranking in Africa, wako below top 20, kazi ni kupiga kifua yenye hawana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
=======
African Military Strength (2020)
African countries ranked by potential military strength.
The GFP list makes use of over 50 factors in our in-house formula to determine a given nation's Power Index ('PwrIndx') score. This provides the final ranking while also allowing smaller, more technologically-advanced, nations to compete with larger, lesser-developed ones. Some bonuses and penalties are added for refinement that, in the end, we hope presents an unbiased look into the potential conventional military strength of a world power. Color arrows indicate year-over-year trend comparison (Rise, Neutral, Fall).
There are a total of 35 countries included in the African Military Strength (2020) listing.
Source: https://www.globalfirepower.com/countries-listing-africa.asp
Sent using Jamii Forums mobile app
12, Uganda 13, nyie 24.., jitetee kwa mengine., Ethiopia are good in top 10., among the best in Africa, hakuna ubishi., nyie wakujisifu mlio pigwa mapanga kule Congo ndio nawamulika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app