Tanzania Tuko Busy na vita ya ukraine, yanga, simba, kuwahoji viongozi faida ya madini, bandari, wala hatutaki tunawasifu na kuwachekea,

Tanzania Tuko Busy na vita ya ukraine, yanga, simba, kuwahoji viongozi faida ya madini, bandari, wala hatutaki tunawasifu na kuwachekea,

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Hawa Akina Lissu, na wenzake na wapinzani wengine wote tuwaunge mkono,
Tusikubali wanyanyaswe, tupaze sauti ya haki Kwa watu wetu,
Tubadilike tuwe kizazi cha kuhoji mara Kwa mara, tuhoji mapato yatokanayo na rasilimali zetu yanafanya nini miaka yote ya uhuru,
Tuhoji mapato viwanja vya ndege, tuhoji mapato ya madini yetu yanafanya nini na mikataba ya madini huko ikoje
Tuhoji mbuga za wanyama, vibali vya uwindaji, uvunaji wa wanyama unaendeshwaje na je una maslahi Kwa nchi yetu,
Kushabikia mambo ya nchi za watu ambao hawatufahamu ni shida ya akili,
Wewe unashabikia vita za urusi, mara unajifanya kutetea mambo ya iran, mara israel, mara ushabikie simba, mara yanga, hayo yote hayakuhusu , hebu hoji waeleze waweke mikataba ya bandari iwe wazi maana ile ni mali ya umma,
Mkiambiwa vizuri uporaji wa rasilimali za nchi hii hua hamuelewi, hakikisheni mnahoji mambo ya msingi hii ni faida ya vizazi vijavyo,
 
Hawa Akina Lissu, na wenzake na wapinzani wengine wote tuwaunge mkono,
Tusikubali wanyanyaswe, tupaze sauti ya haki Kwa watu wetu,
Tubadilike tuwe kizazi cha kuhoji mara Kwa mara, tuhoji mapato yatokanayo na rasilimali zetu yanafanya nini miaka yote ya uhuru,
Tuhoji mapato viwanja vya ndege, tuhoji mapato ya madini yetu yanafanya nini na mikataba ya madini huko ikoje
Tuhoji mbuga za wanyama, vibali vya uwindaji, uvunaji wa wanyama unaendeshwaje na je una maslahi Kwa nchi yetu,
Kushabikia mambo ya nchi za watu ambao hawatufahamu ni shida ya akili,
Wewe unashabikia vita za urusi, mara unajifanya kutetea mambo ya iran, mara israel, mara ushabikie simba, mara yanga, hayo yote hayakuhusu , hebu hoji waeleze waweke mikataba ya bandari iwe wazi maana ile ni mali ya umma,
Mkiambiwa vizuri uporaji wa rasilimali za nchi hii hua hamuelewi, hakikisheni mnahoji mambo ya msingi hii ni faida ya vizazi vijavyo,
Ulaya hata mtoto mdogo ukimwita jina anakuuliza umelijuaje kabla hajaitika.

Bongo ni Simba na Yanga......reasoning ni kidogo sana.
 
Hawa Akina Lissu, na wenzake na wapinzani wengine wote tuwaunge mkono,
Tusikubali wanyanyaswe, tupaze sauti ya haki Kwa watu wetu,
Tubadilike tuwe kizazi cha kuhoji mara Kwa mara, tuhoji mapato yatokanayo na rasilimali zetu yanafanya nini miaka yote ya uhuru,
Tuhoji mapato viwanja vya ndege, tuhoji mapato ya madini yetu yanafanya nini na mikataba ya madini huko ikoje
Tuhoji mbuga za wanyama, vibali vya uwindaji, uvunaji wa wanyama unaendeshwaje na je una maslahi Kwa nchi yetu,
Kushabikia mambo ya nchi za watu ambao hawatufahamu ni shida ya akili,
Wewe unashabikia vita za urusi, mara unajifanya kutetea mambo ya iran, mara israel, mara ushabikie simba, mara yanga, hayo yote hayakuhusu , hebu hoji waeleze waweke mikataba ya bandari iwe wazi maana ile ni mali ya umma,
Mkiambiwa vizuri uporaji wa rasilimali za nchi hii hua hamuelewi, hakikisheni mnahoji mambo ya msingi hii ni faida ya vizazi vijavyo,
Day dreaming, kizazi cha wa Tanzania kilisha laaniwa na Mungu.
 
Hawa Akina Lissu, na wenzake na wapinzani wengine wote tuwaunge mkono,
Tusikubali wanyanyaswe, tupaze sauti ya haki Kwa watu wetu,
Tubadilike tuwe kizazi cha kuhoji mara Kwa mara, tuhoji mapato yatokanayo na rasilimali zetu yanafanya nini miaka yote ya uhuru,
Tuhoji mapato viwanja vya ndege, tuhoji mapato ya madini yetu yanafanya nini na mikataba ya madini huko ikoje
Tuhoji mbuga za wanyama, vibali vya uwindaji, uvunaji wa wanyama unaendeshwaje na je una maslahi Kwa nchi yetu,
Kushabikia mambo ya nchi za watu ambao hawatufahamu ni shida ya akili,
Wewe unashabikia vita za urusi, mara unajifanya kutetea mambo ya iran, mara israel, mara ushabikie simba, mara yanga, hayo yote hayakuhusu , hebu hoji waeleze waweke mikataba ya bandari iwe wazi maana ile ni mali ya umma,
Mkiambiwa vizuri uporaji wa rasilimali za nchi hii hua hamuelewi, hakikisheni mnahoji mambo ya msingi hii ni faida ya vizazi vijavyo,
 

Attachments

  • 5781825-51775523b226d8414338068b2d50cfec.mp4
    3 MB
Hawa Akina Lissu, na wenzake na wapinzani wengine wote tuwaunge mkono,
Tusikubali wanyanyaswe, tupaze sauti ya haki Kwa watu wetu,
Tubadilike tuwe kizazi cha kuhoji mara Kwa mara, tuhoji mapato yatokanayo na rasilimali zetu yanafanya nini miaka yote ya uhuru,
Tuhoji mapato viwanja vya ndege, tuhoji mapato ya madini yetu yanafanya nini na mikataba ya madini huko ikoje
Tuhoji mbuga za wanyama, vibali vya uwindaji, uvunaji wa wanyama unaendeshwaje na je una maslahi Kwa nchi yetu,
Kushabikia mambo ya nchi za watu ambao hawatufahamu ni shida ya akili,
Wewe unashabikia vita za urusi, mara unajifanya kutetea mambo ya iran, mara israel, mara ushabikie simba, mara yanga, hayo yote hayakuhusu , hebu hoji waeleze waweke mikataba ya bandari iwe wazi maana ile ni mali ya umma,
Mkiambiwa vizuri uporaji wa rasilimali za nchi hii hua hamuelewi, hakikisheni mnahoji mambo ya msingi hii ni faida ya vizazi vijavyo,
wa TANZANIA NI MAITI ZINAZO TEMBEA
Hakuna atake weza kuhoji na hata yule anae jitokeza kuhoji hakuna anae muunga mkono, Nawaonea huruma sana kina Lissu wana pambania watu wasio elewa, itachukua muda sana Tanzania kuamka katika usingizi.
 
Hawa Akina Lissu, na wenzake na wapinzani wengine wote tuwaunge mkono,
Tusikubali wanyanyaswe, tupaze sauti ya haki Kwa watu wetu,
Tubadilike tuwe kizazi cha kuhoji mara Kwa mara, tuhoji mapato yatokanayo na rasilimali zetu yanafanya nini miaka yote ya uhuru,
Tuhoji mapato viwanja vya ndege, tuhoji mapato ya madini yetu yanafanya nini na mikataba ya madini huko ikoje
Tuhoji mbuga za wanyama, vibali vya uwindaji, uvunaji wa wanyama unaendeshwaje na je una maslahi Kwa nchi yetu,
Kushabikia mambo ya nchi za watu ambao hawatufahamu ni shida ya akili,
Wewe unashabikia vita za urusi, mara unajifanya kutetea mambo ya iran, mara israel, mara ushabikie simba, mara yanga, hayo yote hayakuhusu , hebu hoji waeleze waweke mikataba ya bandari iwe wazi maana ile ni mali ya umma,
Mkiambiwa vizuri uporaji wa rasilimali za nchi hii hua hamuelewi, hakikisheni mnahoji mambo ya msingi hii ni faida ya vizazi vijavyo,
Na sasa Kizimkazi
 
Tatizo la kutojitambua na tatizo la elimu ya uraia (wajibu na haki za raia) ni kubwa kuliko tunavyoweza kuzani.
 
Back
Top Bottom