Tanzania tumeshindwa kuwa hata wanafiki, sasa macho yote kwa John

Na wewe usikubali propaganda



Waafrica siku zote tunajizika wenyewe zito na wenzake wapo Kama wale watu ambao wanamtaka dereva wa gari Aliebeba abiria ndani ya gari ambalo liko speed so wamemsimamisha dereva hajasimama so wanaona ili wampate Basi itabidi wajitaid gar ipate ajali bila kujal abilia waliomo ndan wao wanacho jali ni dereva atoke hayo mengine Sio inshu kwao Sasa leo sukari hamna sidhan Kama magufuli anakosa sukari yeye Ila wananch wa kawaida ndio wanao angaika OGOPA PROPAGANDA ACHA UPOTOSHAJI TETEA TANZANIA NYAMAZISHA MAADUI WETu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…