Tanzania tumeshindwa kuwa hata wanafiki, sasa macho yote kwa John

Tanzania tumeshindwa kuwa hata wanafiki, sasa macho yote kwa John

tuliwaambia zaman sana huyu hafai kushika dolla mkawa wakali haya sasa corona hii hapa haichagui wapinzani sote tunakufa na hasa wazazi wetu! nategemea lugha kali zaid ya hizi toka kwa wasifiaji maana kama sio kufiwa bas i uchumi mbovu wote utatugusa!

serikali haina bajeti wala sera yeyote ya kuokoa wananchi dhidi ya corona na ndio kwanza rais katuacha mitaa yeye anaikwepa corona! ila sisi anatwambia tuchape kazi. uchumi unayumba wenzetu wanapewa hela za kubust sisi tumeachwa kwa vile hatuna mipango! sooon soooote tutaimba lugha moja
 
Nimetafakari sana na nimewaza sana huu mlima tumeujenga na sasa unageuka kuwa maporomoko au kizingiti chetu na dunia ya kwanza.

Tulianza kama masihara na abiria kiukweli tulimsifia dereva anajuwa kuendesha kilimani gari ila pamoja na yote sasa huu mlima unataka kitufunika na safari yetu kuingia kwenye makorongo makali na hakuna wakutunasuwa.

Hapa jamaa zangu wa kuona mbali kama walishauri au hawakushauri huu mlima unaenda kuwa the big test of all time in history of this nation. U know why?

Tumefanya siasa zakurusha mawe ndani mwisho yukaanza kurusha mawe mpaka kwa majirani kwa bahati mbaya Samahan kusema hivyo hata sisi nyumba yeni ni ya vioo tena vioo vyepesi sana. Jiwe moja unaporomosha upande mzima wa vioo mbaya kuliko yote sasa jamaa wanaijuwa nyumba in and out. How walijuwa kuna siku tutabadilika na leo wanafanya sherehe walicho kitabiri kinatokea na sasa ni zam yakuangusha nyuma step by step.

Covid 19 kwao ni kama mlima wa mauti kwa africa na anguko kwa mataifa yanao wasumbuwa. Jambo tumelikosea na uwenda tumechemka dereva hakupasw hata fungua mdomo kusema chochote badala yake angekuwa anasikiliza kilio cha abiria nakuweka ujuwaji wa kuendesha ili kuwapumbaza watesi wake. Sasa mlima unakona kali na hauna lami tuliiona pale mwanzo je nn kitatokea?

Kama nikudanganya huwez wadanganya maana wapo ndani ya mfumo na ningumu kuwa baini sera na mikataba tuliingia nao inatubana leo yani kweli tukashindwa kuwa wanafiki na sisi tukawa katika sehemu ya kupumua kidogo. Mfano JK hakuwapenda sana chadema ila aliposoma nyakati na akiangalia sera zake akawaita pale magogoni wakapata tea Aljazeera wakarusha vyombo vya habari wakarusha mambo mswano, leo mnafanya picha hata mtoto anajuwa picha? Jamani mnatuangusha kiukweli.

This is a test of time Mungu alitete hili taifa maana macho yote kwa John. Kama John ndio amesimamia msimamo well let trust the process ila haiwezi kuwa kama tunavyo dhani. This is silence killing, today USD is how much? Prof BoTwhat ye say yesterday? We have strong reserve Hii ni aibu na aina hii yaunafiki mnampoteza dereva yani kitu kinachokuwa determine by demand and supply unatudanganya kiasi hiko if ye have strong reserve why thamani ya Tanzania inashuka kwa kasi? Why USD inapanda kwa kasi? Hii ni zaidi ya aibu kwaheri.

Chadema hawakuitwana JK kwa sababu ya sera zo bali waliitwa kwa sababu walitishia utawala wa JK kulingana na mapungufu yaliokuwapo, hivyo aliwaita ili kuwapoza wasimsambalatishe,
KIPINDI hiki chadema pamoja na wasomi waliomo na watu wazima, wameshindwa kutumia akiri zao bali wanatumia akili za vijana ambao hata hawajawahi kununua hata mboga, na wanalala sebuleni kwa masheji zao usiku kucha wana chart mitandaoni, hao ndo wameshikia akiri viongozi na kuwafanya hata wasahau kuwa ajenda za chama ni nini, viongozi wanaamka asubuhi wanaona kijana gani kapost nini kisha kiongozi huyo anaingia bungeni na hiyo hoja ya mtandaoni. Muda wanao bado wajitafakari.
 
Vipi zile sala ulizowaambia raia hapa wasali, ukiwaaminisha kuna tukio kubwa linaenda kutokea kwenye historia ya nchi zilifika? Hivi unajua unaonekana umechanganyikiwa na watu wanaamini unahusika na kupotea kwa Saa 8? Think..
Mungu hawezi sikiliza sala za wauaji na wabambikia watu kesi. Waliambiwa kabla ya kusali kwanza watubu lakini wakashupaza shingo.
 
Eh! Walisema humu watu itafika siku wote tutaongea LUGHA moja. Hata wewe Mkuu? Duh! ila nikupe hongera kwa KUJITAMBUA na nategemea hutageuka nyuma.

TumainiEl
Mkuu ulipotea ghafla, Kwema?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nafurahi kusikia hivyo. Mwenyezi Mungu ailinde afya yako na akupe maisha marefu.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Asante sana rafiki, Ukawe na siku njema yenye baraka tele🙏🙏.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
rais hana muda wa kusikiliza kelele za job seekers wa kwenye mitandao.
anafanya majukumu yake yani hata time hana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hana muda huo nipo nae hapa kaina misha kichwa mawazo kibao.nilimkuta akiwaza kwa sauti eti anawaza maisha baada ya uchaguzi atakavyo pigwa chini maana yeye .wenyewe anajua kabisa hapati tena urais.
 
Kweli hana muda huo nipo nae hapa kaina misha kichwa mawazo kibao.nilimkuta akiwaza kwa sauti eti anawaza maisha baada ya uchaguzi atakavyo pigwa chini maana yeye .wenyewe anajua kabisa hapati tena urais.
kwanza mtamuweka nani asimame na magu ?
manake lisu kiwete.lowasa kaunga tela.

au mnasubiri ccm wawape tena mtu kama lowasa ndo asimame na magu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetafakari sana na nimewaza sana huu mlima tumeujenga na sasa unageuka kuwa maporomoko au kizingiti chetu na dunia ya kwanza.

Tulianza kama masihara na abiria kiukweli tulimsifia dereva anajuwa kuendesha kilimani gari ila pamoja na yote sasa huu mlima unataka kitufunika na safari yetu kuingia kwenye makorongo makali na hakuna wakutunasuwa.

Hapa jamaa zangu wa kuona mbali kama walishauri au hawakushauri huu mlima unaenda kuwa the big test of all time in history of this nation. U know why?

Tumefanya siasa zakurusha mawe ndani mwisho yukaanza kurusha mawe mpaka kwa majirani kwa bahati mbaya Samahan kusema hivyo hata sisi nyumba yeni ni ya vioo tena vioo vyepesi sana. Jiwe moja unaporomosha upande mzima wa vioo mbaya kuliko yote sasa jamaa wanaijuwa nyumba in and out. How walijuwa kuna siku tutabadilika na leo wanafanya sherehe walicho kitabiri kinatokea na sasa ni zam yakuangusha nyuma step by step.

Covid 19 kwao ni kama mlima wa mauti kwa africa na anguko kwa mataifa yanao wasumbuwa. Jambo tumelikosea na uwenda tumechemka dereva hakupasw hata fungua mdomo kusema chochote badala yake angekuwa anasikiliza kilio cha abiria nakuweka ujuwaji wa kuendesha ili kuwapumbaza watesi wake. Sasa mlima unakona kali na hauna lami tuliiona pale mwanzo je nn kitatokea?

Kama nikudanganya huwez wadanganya maana wapo ndani ya mfumo na ningumu kuwa baini sera na mikataba tuliingia nao inatubana leo yani kweli tukashindwa kuwa wanafiki na sisi tukawa katika sehemu ya kupumua kidogo. Mfano JK hakuwapenda sana chadema ila aliposoma nyakati na akiangalia sera zake akawaita pale magogoni wakapata tea Aljazeera wakarusha vyombo vya habari wakarusha mambo mswano, leo mnafanya picha hata mtoto anajuwa picha? Jamani mnatuangusha kiukweli.

This is a test of time Mungu alitete hili taifa maana macho yote kwa John. Kama John ndio amesimamia msimamo well let trust the process ila haiwezi kuwa kama tunavyo dhani. This is silence killing, today USD is how much? Prof BoTwhat ye say yesterday? We have strong reserve Hii ni aibu na aina hii yaunafiki mnampoteza dereva yani kitu kinachokuwa determine by demand and supply unatudanganya kiasi hiko if ye have strong reserve why thamani ya Tanzania inashuka kwa kasi? Why USD inapanda kwa kasi? Hii ni zaidi ya aibu kwaheri.
Huwezi ukampa tingo tena asiye na uzoezi kazi ya kuendesha semi long trip lzm atalibwaga tu
 
Tuna tatizo kubwa sana watz kuliko hata jiwe kuwa raisi!!kwani hao TISS Walifanyaje vetting ya namna hii?idara yetu ya ujasusi ilikuwa haijui haya?Ina maana hata kitovu cha usalama wa nchi kimeoza?hadi kituletee kituko kitalani???Tatizo ni TISS Iliyojaza Wanachama wa CCM bila kujali Professionalism!!!
Ma imposter wahamiaji kibao Hadi wafika ngazi za juu na TISS wapo tu, wangekuwa ni smart hata wasiojulikana wasingekuwepo.Wala nchi isingechezewa hivi.Kazi yao ni kuchukua umbea na kuuwakilisha kwa bwana wao.Ilitakiwa wawe bize kiujasusi wa uchumi mfano kujua fursa zilizopo nje ya nchi na kuzileta Siri hizo kwa wafanyabiashara ili wakaziwahi fursa za nje ili uchumi wetu ukue,ndicho wafanyacho TISS wa china wanaiba Siri za fursa za kila nchi Kisha uwatuma wachina wakazitumie fursa zile wachume pesa kule Kisha wapeleke china kukuza uchumi wa china.Wetu wao ni kuwaza kuwashughulikia wapinzani tu kujua mbowe kaongea na Nani leo,amezungumza nn kwenye simu ili wadukue umbea
 
Back
Top Bottom