Tanzania tumeshindwa kuwa hata wanafiki, sasa macho yote kwa John

Tanzania tumeshindwa kuwa hata wanafiki, sasa macho yote kwa John

Leo nimesikia taarifa ya habari ya BBC World Service, wanasema Ubalozi wa Marekani unetoa tamko kwa raia wa Marekani kwamba hali ni mbaya sana hususan Dar es salaam, halafu hospitali hazina nafasi ya kuchukua wagonjwa wapya wa Covid-19.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli nenda muhimbili au Amana kwa ugonjwa mwingine upati huduma.Tunawapoteza wagonjwa wetu ambao wangeweza okolewa Kama wangepata huduma za haraka.
 
Nimetafakari sana na nimewaza sana huu mlima tumeujenga na sasa unageuka kuwa maporomoko au kizingiti chetu na dunia ya kwanza.

Tulianza kama masihara na abiria kiukweli tulimsifia dereva anajuwa kuendesha kilimani gari ila pamoja na yote sasa huu mlima unataka kitufunika na safari yetu kuingia kwenye makorongo makali na hakuna wakutunasuwa.

Hapa jamaa zangu wa kuona mbali kama walishauri au hawakushauri huu mlima unaenda kuwa the big test of all time in history of this nation. U know why?

Tumefanya siasa zakurusha mawe ndani mwisho yukaanza kurusha mawe mpaka kwa majirani kwa bahati mbaya Samahan kusema hivyo hata sisi nyumba yeni ni ya vioo tena vioo vyepesi sana. Jiwe moja unaporomosha upande mzima wa vioo mbaya kuliko yote sasa jamaa wanaijuwa nyumba in and out. How walijuwa kuna siku tutabadilika na leo wanafanya sherehe walicho kitabiri kinatokea na sasa ni zam yakuangusha nyuma step by step.

Covid 19 kwao ni kama mlima wa mauti kwa africa na anguko kwa mataifa yanao wasumbuwa. Jambo tumelikosea na uwenda tumechemka dereva hakupasw hata fungua mdomo kusema chochote badala yake angekuwa anasikiliza kilio cha abiria nakuweka ujuwaji wa kuendesha ili kuwapumbaza watesi wake. Sasa mlima unakona kali na hauna lami tuliiona pale mwanzo je nn kitatokea?

Kama nikudanganya huwez wadanganya maana wapo ndani ya mfumo na ningumu kuwa baini sera na mikataba tuliingia nao inatubana leo yani kweli tukashindwa kuwa wanafiki na sisi tukawa katika sehemu ya kupumua kidogo. Mfano JK hakuwapenda sana chadema ila aliposoma nyakati na akiangalia sera zake akawaita pale magogoni wakapata tea Aljazeera wakarusha vyombo vya habari wakarusha mambo mswano, leo mnafanya picha hata mtoto anajuwa picha? Jamani mnatuangusha kiukweli.

This is a test of time Mungu alitete hili taifa maana macho yote kwa John. Kama John ndio amesimamia msimamo well let trust the process ila haiwezi kuwa kama tunavyo dhani. This is silence killing, today USD is how much? Prof BoTwhat ye say yesterday? We have strong reserve Hii ni aibu na aina hii yaunafiki mnampoteza dereva yani kitu kinachokuwa determine by demand and supply unatudanganya kiasi hiko if ye have strong reserve why thamani ya Tanzania inashuka kwa kasi? Why USD inapanda kwa kasi? Hii ni zaidi ya aibu kwaheri.
Naskia alivyofika tu town toka burigi,sinema ya kwanza kuona ni commando john,akajua nae ni komando.
Kumbe yeye ni komando kipensi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe kilaza hana uwezo wa kusimama na yeyote ndani ya chadema..uwezo wake mdogo sana hata mdude anamtoa jasho.
waliungana maalim seif,lowasa,mbatia,lisu wakaunda ukawa lakina wakashindwa sembusa sasa hivi watu makini woote wametoka chadema ?

eti chadema ya sasa imeshikiliwa na mbowe,heche na sauti ya zege mdee,akili kubwa wote wametoka wamebaki wakurupukaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimesikia taarifa ya habari ya BBC World Service, wanasema Ubalozi wa Marekani unetoa tamko kwa raia wa Marekani kwamba hali ni mbaya sana hususan Dar es salaam, halafu hospitali hazina nafasi ya kuchukua wagonjwa wapya wa Covid-19.

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani hawana haya!! Kwao Jana tu kulikuwacna vifo zaidi ya 1,700 na maambukizi mapya takriban 20,000 halafu badala ya kuzungumzia hilo janga nyumbani kwako unaamua kuzungumzia vifo vichache sana vya kutazama kwa tochi (ukilinganisha na vyao). Marekani ana jumla ya vifo zaidi ya 80,000!!! Hata kama tukisema basi vifo kwetu ni 1,000 (ili wafurahi) mpaka sasa, bado vifo hivyo ni vidogo sana ukilinganisha na vya kwao!!
Wanashindwa kuamini kuwa Tanzania vifo ni vichache!! Walitegemea tutapukutika lakini bado tunadunda!! Siri yetu kubwa ni moja: Pamoja na kufuata maelekezo ya wizara ya afya, lakini kikubwa tumemtsnguliza Mungu kwenye vita hii. Nimshauri Trump atoe executive order ya kupiga maarufuku ushoga na kusambaratisha jumuia ya LGBT kisha aitishe toba ya kitaifa na kumwomba Mungu awaepushe na corona!! Vinginevyo watapukutika kama sisimizi!!
 
Ni kweli nenda muhimbili au Amana kwa ugonjwa mwingine upati huduma.Tunawapoteza wagonjwa wetu ambao wangeweza okolewa Kama wangepata huduma za haraka.
Unaongelea amana na muhimbili tunazozijuwa wote au una zingine unazozijua wewe peke yako?? Maana hayo unayoyasema hayapo!! Unapoamua kudanganya uwe mwangalifu maana kuna wengi humu jamvini wapo hapo hapo amana na wanakushangaa!!
 
waliungana maalim seif,lowasa,mbatia,lisu wakaunda ukawa lakina wakashindwa sembusa sasa hivi watu makini woote wametoka chadema ?

eti chadema ya sasa imeshikiliwa na mbowe,heche na sauti ya zege mdee,akili kubwa wote wametoka wamebaki wakurupukaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kashidwa pale na lile goli lenu la mkono..jiwe mwenyewe anaijua balaaa la chadema kamuulize kama atabisha.
 
Haupo high?

hio ndo facts and naked truth, jiongeze zaidi ukasome how the world monetary works!
1589454989713.png
 
Unaongelea amana na muhimbili tunazozijuwa wote au una zingine unazozijua wewe peke yako?? Maana hayo unayoyasema hayapo!! Unapoamua kudanganya uwe mwangalifu maana kuna wengi humu jamvini wapo hapo hapo amana na wanakushangaa!!
Kama ulipata bahati ni wewe
 
Leo nimesikia taarifa ya habari ya BBC World Service, wanasema Ubalozi wa Marekani unetoa tamko kwa raia wa Marekani kwamba hali ni mbaya sana hususan Dar es salaam, halafu hospitali hazina nafasi ya kuchukua wagonjwa wapya wa Covid-19.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nilikuwa naomba tupate raisi dikteta angalau mara moja, mwaka 2015 tukapata mtu mkali sana huyu wa sasa.
Nikamuunga mkono kwa mengi sana, na bado namuunga mkono kwa mengi lakini hili la COVID-19 na baadhi ya kauli zake kama kuhusu ile misaada au jinsi anavyo shughulika na uhusiano wetu na nchi jirani ameniangusha sana tena sanaa.

Kwa haya mambo ameangusha sana ushawishi wake kwa baadhi ya watu waliotaka tupate raisi mkali kupunguza tabia yetu ya ubadhirifu na uzembe.

Kwenye diplomasia tume-fail big time. Na ile ya kushupalia kwamba "sipangiwi mimi" sidhani kama akiona alipokosea anaweza kubadili baadhi ya misimamo yake au kufuata shauri mbali mbali nzuri toka nje ya watu walio mzunguka.

Tatizo nahisi wote waliomzunguka wanaogopa kumuambia ukweli wasije kumwaga chakula yao.
 
Nawewe ukawaamini? Wacheck hewani ndg zako huku bongo hususan walio Dar waulize kuhusu hali ya Dar.
Huo ugonjwa upo kwenye media tu,
huku uswazi bata km kawa na hakuna kuumwa wala kufa. Hata barakoa tushapunguza mbwembwe za kuvaa.
Mkuu mambo kama haya unatukwaza baadhi ya watu.
Tunahisi unataka kutuingiza matatizoni tu tukiweka baadhi ya yanayo endelea huku mitaani kwetu.

Walichosema USA kama alivyo eleza Kiranga kwa mujibu wa BBC world kinawezekana sana kina ukweli flani.

Hapa nilipo kwenye jiji kuu la kibiashara la nchi flani ndani ya bara la giza kuna hospital jirani ya taasisi binafsi. Mtu mmoja ndani kwetu alikuwa anataka kwenda kupata matibabu hiyo sehemu, jirani yetu akamwambia ndugu usiende hapo. Wale wauguzi wa hiyo hospital rafiki zangu walikuja jana hapa kwangu wakaniambia chonde chonde rafiki yetu kama hauumwi sana usiende hospitalini kwetu, kuna wagonjwa wawili wa COVID-19. Wao (hospital) walipiga simu namba maalum waje wachukuliwe lakini jamaa hawakuja.
Wakachukua hatua kuwapeleka wenyewe hospital flani ya serikali yenye kupokea kesi hizo wakakataliwa na kuambiwa wagonjwa wamejaa hawapokei wapya. Wagonjwa wakarudi nao kwenye hospital yao binafsi ndogo tu hapa mtaani.

Disclaimer: Samahani kwa kuweka habari ya nchi toka bara la giza wakati wewe na Kiranga mnazungumzia hali ya DAR, siku nyingine nitakuwa makini kutochanganya habari. Nilijikuta tu nafananisha hali ya hii sehemu niliyosema na huko mnakozungumzia ndiyo maana nikaweka hapa huu mfano.
 
Nimetafakari sana na nimewaza sana huu mlima tumeujenga na sasa unageuka kuwa maporomoko au kizingiti chetu na dunia ya kwanza.

Tulianza kama masihara na abiria kiukweli tulimsifia dereva anajuwa kuendesha kilimani gari ila pamoja na yote sasa huu mlima unataka kitufunika na safari yetu kuingia kwenye makorongo makali na hakuna wakutunasuwa.

Hapa jamaa zangu wa kuona mbali kama walishauri au hawakushauri huu mlima unaenda kuwa the big test of all time in history of this nation. U know why?

Tumefanya siasa zakurusha mawe ndani mwisho yukaanza kurusha mawe mpaka kwa majirani kwa bahati mbaya Samahan kusema hivyo hata sisi nyumba yeni ni ya vioo tena vioo vyepesi sana. Jiwe moja unaporomosha upande mzima wa vioo mbaya kuliko yote sasa jamaa wanaijuwa nyumba in and out. How walijuwa kuna siku tutabadilika na leo wanafanya sherehe walicho kitabiri kinatokea na sasa ni zam yakuangusha nyuma step by step.

Covid 19 kwao ni kama mlima wa mauti kwa africa na anguko kwa mataifa yanao wasumbuwa. Jambo tumelikosea na uwenda tumechemka dereva hakupasw hata fungua mdomo kusema chochote badala yake angekuwa anasikiliza kilio cha abiria nakuweka ujuwaji wa kuendesha ili kuwapumbaza watesi wake. Sasa mlima unakona kali na hauna lami tuliiona pale mwanzo je nn kitatokea?

Kama nikudanganya huwez wadanganya maana wapo ndani ya mfumo na ningumu kuwa baini sera na mikataba tuliingia nao inatubana leo yani kweli tukashindwa kuwa wanafiki na sisi tukawa katika sehemu ya kupumua kidogo. Mfano JK hakuwapenda sana chadema ila aliposoma nyakati na akiangalia sera zake akawaita pale magogoni wakapata tea Aljazeera wakarusha vyombo vya habari wakarusha mambo mswano, leo mnafanya picha hata mtoto anajuwa picha? Jamani mnatuangusha kiukweli.

This is a test of time Mungu alitete hili taifa maana macho yote kwa John. Kama John ndio amesimamia msimamo well let trust the process ila haiwezi kuwa kama tunavyo dhani. This is silence killing, today USD is how much? Prof BoTwhat ye say yesterday? We have strong reserve Hii ni aibu na aina hii yaunafiki mnampoteza dereva yani kitu kinachokuwa determine by demand and supply unatudanganya kiasi hiko if ye have strong reserve why thamani ya Tanzania inashuka kwa kasi? Why USD inapanda kwa kasi? Hii ni zaidi ya aibu kwaheri.
Umebadilika sana mkuu, in the best way.
 
Mkuu mambo kama haya unatukwaza baadhi ya watu.
Tunahisi unataka kutuingiza matatizoni tu tukiweka baadhi ya yanayo endelea huku mitaani kwetu.

Walichosema USA kama alivyo eleza Kiranga kwa mujibu wa BBC world kinawezekana sana kina ukweli flani.

Hapa nilipo kwenye jiji kuu la kibiashara la nchi flani ndani ya bara la giza kuna hospital jirani ya taasisi binafsi. Mtu mmoja ndani kwetu alikuwa anataka kwenda kupata matibabu hiyo sehemu, jirani yetu akamwambia ndugu usiende hapo. Wale wauguzi wa hiyo hospital rafiki zangu walikuja jana hapa kwangu wakaniambia chonde chonde rafiki yetu kama hauumwi sana usiende hospitalini kwetu, kuna wagonjwa wawili wa COVID-19. Wao (hospital) walipiga simu namba maalum waje wachukuliwe lakini jamaa hawakuja.
Wakachukua hatua kuwapeleka wenyewe hospital flani ya serikali yenye kupokea kesi hizo wakakataliwa na kuambiwa wagonjwa wamejaa hawapokei wapya. Wagonjwa wakarudi nao kwenye hospital yao binafsi ndogo tu hapa mtaani.

Disclaimer: Samahani kwa kuweka habari ya nchi toka bara la giza wakati wewe na Kiranga mnazungumzia hali ya DAR, siku nyingine nitakuwa makini kutochanganya habari. Nilijikuta tu nafananisha hali ya hii sehemu niliyosema na huko mnakozungumzia ndiyo maana nikaweka hapa huu mfano.

Makazi yangu ni hapa hapa panaposifika kuwa ugonjwa umeshamili. Kazi zangu nafanyia maeneo mbalimbali hapa mjini. Leo kkoo, kesho masaki, mtondogoo temeke. nk. Sijakutana kabisa na mgojwa au msiba unaohusika na covid moja kwa moja.
Kuna mambo mawili nayaona. La Kwanza, ugonjwa upo lakini hauna madhara km tuliyoyasikia kwa wenzetu huko Asia, Marekani na Ulaya. Kwa huku unawadhuru wenye maradhi mengine. Sukari, HIV, nk. Hasa wenye umri mkubwa.
La pili ugonjwa upo ila uambukizanaji wake tulidanganywa. Sio kwakugusana na mgonjwa wala kugusa alipogusa mgonjwa.
Ingelikuwa maambukizi yake ni km walivyobainisha WHO watu wa hali ya chini tungeisha. Anzia masokoni, kwenye mabar, boda boda
Tena hawa ndio wangeisha sana. Ukiwapigia muda wowote unamgojwa wanambeba bila hiyana hadi hospital.
Mwisho tufuate maelekezo ya wataalam. Vaa barakoa, nawa mikono na tujitahidi kukaa mbali mbali.
 
Eh! Walisema humu watu itafika siku wote tutaongea LUGHA moja. Hata wewe Mkuu? Duh! ila nikupe hongera kwa KUJITAMBUA na nategemea hutageuka nyuma.

TumainiEl
Mkuu Upo? Nikajua na wewe wamekufodongo maana si kupotea huko!
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Nawewe ukawaamini? Wacheck hewani ndg zako huku bongo hususan walio Dar waulize kuhusu hali ya Dar.
Huo ugonjwa upo kwenye media tu,
huku uswazi bata km kawa na hakuna kuumwa wala kufa. Hata barakoa tushapunguza mbwembwe za kuvaa.
Habari niianza kuzisikia kwa rafiki zangu madaktari Dar, sihitaji BBC kunieleza habari za Dar, naeleza tu kwamba habari zinavuma kimataifa.
 
Back
Top Bottom