Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu

Nani niliyemuita "mjinga"? Au na wewe unaleta ujinga wako?

"udini" ndiyo nini?
 
TATIZO wewe hujui kitu UNAJIDAI MJUAJI..

UPUMBAVU NDIO UPO KATI KATI UNAZUNGUKA YOTE HAYO...... ...

MTU HAJUI KIARABU anakuwaje muislam????????????

99% HAWAJUI Arabic ALAFU wanakuwa WA MWAMEDI.

Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
 
Umemaliza?


Ni vyema sana umekuja na utumbo wako lakini hoja iniliyoiwasilisha inabaki palepale kuwa adui wetu ni mmoja tu, ujinga..
 
Nani niliyemuita "mjinga"? Au na wewe unaleta ujinga wako?

"udini" ndiyo nini?
Udini ni pale unapoamini dini zinaweza kutatua matatizo yanayoikabili Taifa. Wakati dini ni imani ya mtu na wala halihusiani na muunganiko wa watu (sovereight).

Hivi niambie nchi zilizoendelea kama USA ulishawahi kuona wakileta Udini kwenye masuala ya kitaifa??
 
Hata hilo neno "taifa" usingelipata kama siyo mafundisho ya dini. Uliliytowa wapi hilo?

Nani alikudanganya kuwa taifa halina wenye kuamini dini zao? Ikiwa huoni basi hata husikii? Ni ujinga huo.

Kuna taifa bila watu?
 
Uislamu haihusiani na uarabu. Bali uislamu umeletwa kwaajili ya uongofu Dunia nzima. Uislamu maana yake ni unyenyekevu na wala haihusiani na uwarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…