Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Tumesha vuka Level ya Ujinga sasa tupo kwenye LAANA ya ujinga.
Hata mataifa mengine walikuwa wajinga kama sisi, Lakini waka ukataa ujinga, wakapiga vita ujinga, waka jielimisha na ujinga na sasa wapo mbali sana kimaendeleo.
Sisi tuna miaka 62 ya kujitawala wenyewe na kujiongoza lakini Hakuna tuwezacho zaidi ya Ngono, Ulevi, Rushwa,Wizi, uhujumu uchumi, kujilimbikizia Mali na umbea.
Utanzania ni laana.
Hata mataifa mengine walikuwa wajinga kama sisi, Lakini waka ukataa ujinga, wakapiga vita ujinga, waka jielimisha na ujinga na sasa wapo mbali sana kimaendeleo.
Sisi tuna miaka 62 ya kujitawala wenyewe na kujiongoza lakini Hakuna tuwezacho zaidi ya Ngono, Ulevi, Rushwa,Wizi, uhujumu uchumi, kujilimbikizia Mali na umbea.
Utanzania ni laana.