Unadhani kati yangu nawewe nani mwenye hizo sifa?
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Wacha uongo wako wewe!!! Hii article ni ya September 19 thatβs 3 weeks ago. Kwanini hao BoT hawakuweka hayo malipo ya 8 trillions?
Tanzania's national debt increases by $3.9 billion in one year, July central bank report reveals
The national debt increased by $3.9 billion in one year as the government is implementing infrastructure projects and improve provision of social services.www.thecitizen.co.tz
National Debt na reserves wapi na wapi mkuu.Wacha uongo wako wewe!!! Hii article ni ya September 19 thatβs 3 weeks ago. Kwanini hao BoT hawakuweka hayo malipo ya 8 trillions?
Tanzania's national debt increases by $3.9 billion in one year, July central bank report reveals
The national debt increased by $3.9 billion in one year as the government is implementing infrastructure projects and improve provision of social services.www.thecitizen.co.tz
Wanasema "Past One year " Samia anamiezi sita wapi na wapi?
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Utaelewa tu,Ametoa za kwake mfukoni akajazia au mi ndio sijaelewa......
Nini maana ya kuwa na dhamana kwa watu wenye mamlaka hayo?These are pure LIES
Ni kama Magufuli,tupo uchumi wa kati na tuna hela za kutosha,wameingia wapya kumbe nchi haina hata senti!
How do you prove these numbers?
Nina bilioni 100 benki,how do you prove and believe that kwamba ninazo?
Hahahha..au sio wafanye hivyo,tubaki na miezi miwili.Kama zinaweza kutulisha kwa miezi hiyo, fungu linaloweza kutushibisha kwa mwezi mmoja watugawie mitaji tupambane kitaa hapasomeki kabisa
Ndo nyie mliosema Serikali yake itashindwa kulipa hata mishahara..Kiko wapi sasa??Hata wakisema tuna Dola billion 50 Nani anaweza Ku verify kile wanachosema? Huyu mama na Serikali yake kitu pekee ninachoweza kuwaamini ni salamu tu zaidi ya hapo ni uongo Tu .
National Debt na reserves wapi na wapi mkuu.
Mkuu Chadema hawapendi kusoma,National Debt na reserves wapi na wapi mkuu.
Mawazo ya hovyo kabisaKama zinaweza kutulisha kwa miezi hiyo, fungu linaloweza kutushibisha kwa mwezi mmoja watugawie mitaji tupambane kitaa hapasomeki kabisa
FAKE NEWS!!!!
Jibu kwanza hii?Tanzania's national debt increases by $3.9 billion in one year, July central bank report reveals,
"IN ONE YEAR NDIO NINI "
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDIZAIDI
Tanzania's national debt increases by $3.9 billion in one year, July central bank report reveals,
"IN ONE YEAR NDIO NINI "
#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDIZAIDI
Wameona aibu sana hawa pingapinga,Ndo nyie mliosema Serikali yake itashindwa kulipa hata mishahara..Kiko wapi sasa??
Nchi inaenda vizuri sana.
Ndio Chadema walivyo mkuu,Mawazo ya hovyo kabisa
Mambo wanayoshangilia na kufurahia CDM ni Rais na viongozi kufa, makusanyo ya kodi kupungua, wananchi wakose barabara nzuri, madarasa yawe mabovu, wananchi wasiichangie serikali yao (wakati wao ndiyo mabingwa wa kupitisha mabakuli kwa wananchi kwa sababu za uongo uongo na za kitapeli, na hayo makusanyo huwa hayana mrejesho), jumuiya ya kimataifa iitenge TZ, akiba ya kigeni ipungue, wananchi wakose maji, serikali isiwe na uwezo wa kutoa huduma za afya, viongozi wafarakane na taasisi mbalimbali nchini n.k.!! Sometimes huwa najiuliza kama hawa ndugu ni watanzania kweli, VERY SELFISH MOFOSNdio Chadema walivyo mkuu,
KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDIZAIDI
Ukisikia kupanic ndio huku,hapa ni wivu na chuki vinakusumbua,thibitisha huo uongo,huwezi..Wacha uongo wewe!!!! Kwa hiyo miezi 7 aliyokuwa madarakani amefanya yepi ya kuingiza hela yote hiyo zaidi ya mikopo ya COVID-19 toka ADB na IMF na sasa Chifu matonya anafukuzia mkopo mwingine WB?
Taifa ni letu sote, laiti tungejua wanazolipana hao wakubwa tena kwa kuweka tu sahihi...Hahahha..au sio wafanye hivyo,tubaki na miezi miwili.