Tanzania tuna akiba ya forex ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi sita au kutulisha wote kwa miezi mitatu

Tanzania tuna akiba ya forex ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi sita au kutulisha wote kwa miezi mitatu

Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa akiba imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.​


"Hakuna kama Samia "​


Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.

Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,

Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,

Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,

Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,

Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,

Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Haya ndio mambo sasa,

Tulimsubiri sana Rais wa aina hii muda mrefu,
Mungu ametuona tunafurahi sana kuona haya,
Samia anafanya mambo mpaka dunia inashangaa,
Tuendelee kumwombea sana huyu mama
 
Ungejua Tanzania inadaiwa kiasi gani basi ndio ungeelewa kama tuna akiba ya madeni na sio vinginevyo
 
Mama Samia amakweli kiboko duuuh,

Mama sio kwa speed hii kuna watu watatoka roho aise,

Tuendelee kumwombea sana Rais wet,

Mimi na Samia dam dam hadi 2030.

Akiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa akiba imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.​


"Hakuna kama Samia "​


Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.

Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,

Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,

Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,

Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,

Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,

Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

 
Mama Samia amakweli kiboko duuuh,

Mama sio kwa speed hii kuna watu watatoka roho aise,

Tuendelee kumwombea sana Rais wet,

Mimi na Samia dam dam hadi 2030.
Amen,


KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDIZAIDI
 
Namba sahihi zipi mpumbavu wewe? Hiyo article ya kutoka Bot hujaiona pimbi wewe? Umemsikia nani katika hii Serikali hii haramu akizungumguzia hiyo article?

Eti loan ni income!!!!! Toa ujinga wenu hapa MAZWAZWA wakubwa nyie!!!

Because a loan means you're borrowing money from a lender or bank, they aren't considered income. Income is defined as money you earn from a job or an investment. Not only are all loans not considered income, but they are typically not taxable.
Article ya BoT imefanya nini? Huna akili kichwani aisee ,loan Sio income ila income ni ile umepata kutoka investment tuu?

Pole Sana
 
Mambo wanayoshangilia na kufurahia CDM ni Rais na viongozi kufa, makusanyo ya kodi kupungua, wananchi wakose barabara nzuri, madarasa yawe mabovu, wananchi wasiichangie serikali yao (wakati wao ndiyo mabingwa wa kupitisha mabakuli kwa wananchi kwa sababu za uongo uongo na za kitapeli, na hayo makusanyo huwa hayana mrejesho), jumuiya ya kimataifa iitenge TZ, akiba ya kigeni ipungue, wananchi wakose maji, serikali isiwe na uwezo wa kutoa huduma za afya, viongozi wafarakane na taasisi mbalimbali nchini n.k.!! Sometimes huwa najiuliza kama hawa ndugu ni watanzania kweli, VERY SELFISH MOFOS
Mkuu ni Watanzania kabisa..ila uelewe ndio kazi ya opponent hiyo hawezi furahia mafanikio ya mshundani wake, kwa maana failure ya mshindani ndio opportunity yao....waache wala usiwashangae sana ndio kazi yao na ndio wakati wao huu...muhimu ni serikali kuendelea kutekeleza yale iliyokusudia kisha wananchi watapima
 
Mambo wanayoshangilia na kufurahia CDM ni Rais na viongozi kufa, makusanyo ya kodi kupungua, wananchi wakose barabara nzuri, madarasa yawe mabovu, wananchi wasiichangie serikali yao (wakati wao ndiyo mabingwa wa kupitisha mabakuli kwa wananchi kwa sababu za uongo uongo na za kitapeli, na hayo makusanyo huwa hayana mrejesho), jumuiya ya kimataifa iitenge TZ, akiba ya kigeni ipungue, wananchi wakose maji, serikali isiwe na uwezo wa kutoa huduma za afya, viongozi wafarakane na taasisi mbalimbali nchini n.k.!! Sometimes huwa najiuliza kama hawa ndugu ni watanzania kweli, VERY SELFISH MOFOS
Ndio maana Mungu hayupo Chadema mkuu,

KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDIZAIDI
 
Ungekuwa na robo tu ya akili zangu usingeandika huu upuuzi wako! Eti loan ni income hahahahahaha

Article ya BoT imefanya nini? Huna akili kichwani aisee ,loan Sio income ila income ni ile umepata kutoka investment tuu?

Pole Sana
 
Mkuu ni Watanzania kabisa..ila uelewe ndio kazi ya opponent hiyo hawezi furahia mafanikio ya mshundani wake, kwa maana failure ya mshindani ndio opportunity yao....waache wala usiwashangae sana ndio kazi yao na ndio wakati wao huu...muhimu ni serikali kuendelea kutekeleza yale iliyokusudia kisha wananchi watapima
Ni kweli, lakini kwa hawa jamaa zetu ni too much!! Inafikia point hadi wanaombea na kufurahia vifo vya viongozi!! Kwa ufuatiliaji wangu wa opposition sehemu nyingine sijawahi ona wapinzani wenye tabia kama za hawa jamaa, Mifano michache ni Maalim alipokuwa hapo ZNB na Raila hapo Kenya!! Ni siasa za ajabu mno na zilizopitwa na wakati
 
Miaka 60 ya uhuru ni uongo mwanzo mwisho. Hadi BoT imekuwa ni tawi la maccm kwa kutoa FEKI numbers ili kutudanganya Watanzania. Tanzania is a FAILED STATE. No doubt about that.
 
Ni kweli, lakini kwa hawa jamaa zetu ni too much!! Inafikia point hadi wanaombea na kufurahia vifo vya viongozi!! Kwa ufuatiliaji wangu wa opposition sehemu nyingine sijawahi ona wapinzani wenye tabia kama za hawa jamaa, Mifano michache ni Maalim alipokuwa hapo ZNB na Raila hapo Kenya!! Ni siasa za ajabu mno na zilizopitwa na wakati
Mkuu sisi waswahili tunasema "Kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kuchapa usingizi" na pia husema " Debe tupu haliachi kutika/kuvuma" Once Mother Theresa of Calculta said...People will never stop criticizing in whatever you are doing! don't mind them, keep on doing! at the end of the day it will be between you and your God!"
 
Ajira hakuna, mishahara kiduchu. Elimu ya hovyo, matibabu ya hovyo, huduma muhimu kama upatikanaji wa maji safi na umeme wa uhakika nchi nzima ni wa KUSUA SUA lakini kuna mapimbi hawayaoni yote hayo bado wanaipongeza Serikali haramu inayohofia Katiba mpya na
Tume huru ya uchaguzi ili tuwe na uchaguzi HURU na wa HAKI. Taifa lenye Wapumbavu wengi labda kuliko Taifa lolote lile duniani.
 
Miaka 60 ya uhuru ni uongo mwanzo mwisho. Hadi BoT imekuwa ni tawi la maccm kwa kutoa FEKI numbers ili kutudanganya Watanzania. Tanzania is a FAILED STATE. No doubt about that.
Mkuu huenda una hoja nzuri lakini inapata upungufu kwa kukosa ushahidi...sawa BoT wana pika takwimu...lete basi zilizo sahihi watu wafanye mlinganisho....vinginevyo utaonekana kuwa unachuki tu!
 
Namba sahihi zipi mpumbavu wewe? Hiyo article ya kutoka Bot hujaiona pimbi wewe? Umemsikia nani katika hii Serikali hii haramu akizungumguzia hiyo article?

Eti loan ni income!!!!! Toa ujinga wenu hapa MAZWAZWA wakubwa nyie!!!

Because a loan means you're borrowing money from a lender or bank, they aren't considered income. Income is defined as money you earn from a job or an investment. Not only are all loans not considered income, but they are typically not taxable.
Acha kukariri definition nimekwambia ni income pia Liability soma vizuri acha kurukaruka

|| utajua hujui,

Because a loan means you're borrowing money from a lender or bank, they aren't considered income. Income is defined as money you earn from a job or an investment. ... The only time a loan would be considered income is if the loan was canceled by the lender or
Namba sahihi zipi mpumbavu wewe? Hiyo article ya kutoka Bot hujaiona pimbi wewe? Umemsikia nani katika hii Serikali hii haramu akizungumguzia hiyo article?

Eti loan ni income!!!!! Toa ujinga wenu hapa MAZWAZWA wakubwa nyie!!!

Because a loan means you're borrowing money from a lender or bank, they aren't considered income. Income is defined as money you earn from a job or an investment. Not only are all loans not considered income, but they are typically not taxable.
 
Acha kukariri definition nimekwambia ni income pia Liability soma vizuri acha kurukaruka

|| utajua hujui,

Because a loan means you're borrowing money from a lender or bank, they aren't considered income. Income is defined as money you earn from a job or an investment. ... The only time a loan would be considered income is if the loan was canceled by the lender or

Mkuu ni Watanzania kabisa..ila uelewe ndio kazi ya opponent hiyo hawezi furahia mafanikio ya mshundani wake, kwa maana failure ya mshindani ndio opportunity yao....waache wala usiwashangae sana ndio kazi yao na ndio wakati wao huu...muhimu ni serikali kuendelea kutekeleza yale iliyokusudia kisha wananchi watapima
Uko sahihi 100%
 
Maisha mtaani huyaoni? Una hela zote hizo kwanini usicreate ajira za wasomi ambao bado tunawahitaji sana katika kila field. Kwanini ushindwe kuongeza mishahara kwa miaka sita?



Mkuu huenda una hoja nzuri lakini inapata upungufu kwa kukosa ushahidi...sawa BoT wana pika takwimu...lete basi zilizo sahihi watu wafanye mlinganisho....vinginevyo utaonekana kuwa unachuki tu!
 
Siyo income pimbi wewe hiyo accounting ya Loan ni income uliisomea wapi? Income inakatwa kodi nani alikudanganya kwamba mkopo unakatwa kodi ZWAZWA wewe!!!! Wacha kurukia yale usiyoyajua jikite pale uwezo wako unapoishia.
Rudi tena kasome ulichoandika ,

Ulisema loan haiwezi ikawa income nikakwambia Loan kunakipindi inakuwa income kipindi liability,

Hujaelewa nini pia acha matusi I dislike,


#KAZIIENDELEE KWA KASI NA WELEDIZAIDI



Because a loan means you're borrowing money from a lender or bank, they aren't considered income. Income is defined as money you earn from a job or an investment. ... The only time a loan would be considered income is if the loan was canceled by the lender or bank
 
Back
Top Bottom