Tanzania tuna protocol za ovyo kabisa kwa Viongozi wetu

Ni kama hawajui kabisa kuwa siku hizi kuna attacks za kibayolojia na kidigitali
 
Yule jamaa alimnasa vibao kisa mzee Mwinyi anashauri watu watumie Kinga ya kondomu wakati wankujamiiana. Unajua tukio linaweza kutokea tu inapokuwepo chance mwingine anaweza kuamua tu kutafuta umaarufu.
Kama yule aliyemrushia Bush viatu jukwaani
 
Sasa umemtaja kama kiongozi au kama raia. Maana mwinyi aliacha uongozi 1995.
We huelewi nilichoandika, watanzania wengi ndio mpo hivi na unaweza kukuta una degree au masters kabisa🤷 rudia kusoma nilichoandika maana unazidi kuhama nilichoandika, shida kweli. Otherwise nipotezee tu sio lazima uniquote .
 
We huelewi nilichoandika, watanzania wengi ndio mpo hivi na unaweza kukuta una degree au masters kabisa[emoji1745] rudia kusoma nilichoandika maana unazidi kuhama nilichoandika, shida kweli. Otherwise nipotezee tu sio lazima uniquote .
Kwani wewe mwenyewe ukisoma ulichoandika unaelewa chochote pale? Nimesoma sentence ya mwanzo tuu kilichofuata nimechoka kusoma naona corrugations tu.
 
Cha kushangaa hata katibu mkuu wa ccm eti nae ana ulinzi ujinga mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…