Tanzania tuna protocol za ovyo kabisa kwa Viongozi wetu

Tanzania tuna protocol za ovyo kabisa kwa Viongozi wetu

Yaani jiulize Jay Z na konde boy nani ana hela? Lakini angalia konde boy mabodigadi 30 wakati Jay Z ana mpambe moja tu na mke wake na watoto kawabeba mwenyewe. Yote kina konde boy na WCB wanaiga kwa viongozi wao.
Unapokulia katika lindi la umaskini kisha hela ukazipata kirahisi na umri mdogo hayo ndio madhara yake
 
Kuna wakati walinzi wasipoangalia watapigana mitama au wampige Mh. Rais kibega.
Yaani wakimpiga mama kibega tunawashuhulikia na tutajua wametumwa na mabeberu
 
Wazungu huwa wanatucheka Sana , tupo bado Zama za WW2 , kuna mtu alijitengenezea ulinzi wa mabunduki kila angle , lakni Wana wakamtupia kirusi cha COVID huku wanakula 🍿kirusi kikamaliza mchezo ...... Now day biological weapon ndo imeshamiri
Ni mambo ya hovyo sn tunafanya
 
Hao wakina Biden na Eliza wanalindwa na zaidi ya hao watu wanaowalinda viongozi wa Africa.

Nadhani tunakurupuka sana, anapokuwepo raisi wa US au malkia, mzingo mkubwa unakuwa kwenye rada ya kiulinzi, thermal image inafanya kazi muda wote, snipers, SS, CIA, MI6, FBI, NSA, na technology za hali ya juu kulikagua eneo lote.

Hatuna hiyo teknology, hatuna huo uwezo, angalau basi apate ulinzi wa bodyshield.
Hizo fedha walizopiga 1.5T wangeshindwa kununua hivyo vifaa?
 
Wazungu huwa wanatucheka Sana , tupo bado Zama za WW2 , kuna mtu alijitengenezea ulinzi wa mabunduki kila angle , lakni Wana wakamtupia kirusi cha COVID huku wanakula 🍿kirusi kikamaliza mchezo ...... Now day biological weapon ndo imeshamiri

Namjua, Kagame wa Rwanda.
 
Hiyo ambulance 🚑 unataka kutuambia nini kwamba jamaa alikuwa mgonjwa wakati anapiga military uniform na juu upo ulinzi wa 🚁 .

..ndivyo wanavyosema " mtaani. " pia kuna madai kwamba private secretary / katibu myeka wake alikuwa ni daktari.

..dalili kwamba afya yake haikuwa nzuri zilianza kujionyesha waziwazi alivyochelewa bila sababu maalum ktk msiba wa raisi mkapa, na jinsi alivyoonyesha uchovu wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu.
 
Hamjaelewa Lengo la Mleta Uzi, Mleta Uzi Anachomaanisha Kwamba PSU ya Kwetu iwe advanced zaidi, Sio kulundikana na Kununanuna Kila Wakati, Wengi Wao Wanaona sifa Kuonekana wakiwe PSU na Nadhani watakuwa Hata wanarogana Ili waende Huko
Tena Utakuta jitu LIMENUNA Hilo utafikiri mbwa Koko lilokosa chakula kwa kweli haipendezi mpk Raisi akihutubia mlinzi yuko nyuma yake kama kamganda yaani hata kujamba hawezi ,kwa kweli ni ushamba sana na ulimbukeni ulio kithiri.
 
Hasa tukumbuke kuuwawa kwa Mzee Karume nani alinusa!
Kwani weye humjui alomuuwa Mzee Karume ?Kama humjui akijulikana MR X ktk kesi ya uhaini yule Humuud alikuwa remote control lkn mpanga mbinu alikuwa Mr. X na huyo Mr X naye pia kashakufa hayupo tena .
 
..ndivyo wanavyosema " mtaani. " pia kuna madai kwamba private secretary / katibu myeka wake alikuwa ni daktari.

..dalili kwamba afya yake haikuwa nzuri zilianza kujionyesha waziwazi alivyochelewa bila sababu maalum ktk msiba wa raisi mkapa, na jinsi alivyoonyesha uchovu wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu.

Ukiomba kazi kabla ya kuajiriwa lazima upimwe afya ndio uanze kazi.Hii ni takwa la kisheria na kikanuni hata kama kazi yenyewe ni usafi wa ofisi au ukarani.

Swali langu kwako,Je CCM haiwezi kushitakiwa kwa kutuletea mgombea/kiongozi mgonjwa kwa nafasi kubwa uRais.Upo uwezekani sisi wananchi wa kawaida tusiokuwa na nafasi kubwa kubwa kuwashitaki CCM kwa msajili wa vyama na hatimaye hiki chama kufutwa rasmi ?.
 
Tatizo la minders kutojipanga vizuri nililiona tangu siku Mama anaapishwa.
Yaani wakati akikagua gwaride la heshima ilikuwa karibu agongane na watu. Waandishi wa Habari na watu wengine walionekana kukimbia huku na kule bila mpangilio wowote, na kupishana naye.

Minders of the President should not be seen to be running around like headless chicken. They have to plan, ahead of time, all processes that will take place. Rehearse the events if you must.

Pia nashangaa kitu kimoja. Viongozi wakishatambulishwa mwazoni mwa tukio, kuna haja tena ya KILA MZUNGUMZAJI kurudia kutambua uwepo wao, mmoja baada ya mwingine, kwa kirefu tena? Yaani kama watazungumza viongozi saba unakuta utambulisho wa viongozi wote tena mara saba! There must be a more efficient way to do things. We don’t have to do what we have always done!
 
Tatizo la minders kutojipanga vizuri nililiona tangu siku Mama anaapishwa.
Yaani wakati akikagua gwaride la heshima ilikuwa karibu agongane na watu. Waandishi wa Habari na watu wengine walionekana kukimbia huku na kule bila mpangilio wowote, na kupishana naye.

Minders of the President should not be seen to be running around like headless chicken. They have to plan, ahead of time, all processes that will take place. Rehearse the events if you must.

Pia nashangaa kitu kimoja. Viongozi wakishatambulishwa mwazoni mwa tukio, kuna haja tena ya KILA MZUNGUMZAJI kurudia kutambua uwepo wao, mmoja baada ya mwingine, kwa kirefu tena? Yaani kama watazungumza viongozi saba unakuta utambulisho wa viongozi wote tena mara saba! There must be a more efficient way to do things. We don’t have to do what we have always done!
Ule ni upumbavu wa kupenda kutukuzana ulianza na jamaa yule. Yaani biden akifika kwenye mic hana mda wa kutambua mtu hizo ni kazi za MC siyo raisi.
 
Yaani kiongozi anashuka kwenye gari anazungukwa na minders zaidi ya hamsini wengine wananing'inia kwenye milango, hadi kiongozi anaenda kukaa jukwaani kaambatana na minders zaidi ya 20 wanamzunguka hadi anakaa na bado kuna wanamsimamia kwa nyuma, kwa hatari gani aliyokuwa nayo kiongozi wa nchi masikini kama Tanzania hadi awe na ulinzi mkubwa kuliko kiongozi wa marekani au uingereza aliyekuwa na bifu kubwa na makundi kibao ya ugadi duniani?

Yaani unashangaa Joe Biden anshuka kwenye gari hadi anaenda kukaa jukwaani Yuko peke yake na mke wake na hadi anakaa hakuna jitu lina mpumulia nyuma.

Unashangaa hata malkia wa uingereza anashuka kwenye range rover yuko peke yake na kibegi chake kiwikoni anatembea zake hajazongwa na kundi la wapambe wala ushuzi ila sasa sisi watanzania sijui ni nani alianzisha utaratibu huu wa ajabu kwa viongozi wetu kuandamana na utitiri wa watu Hadi wengine wamevaa magwanda kijeshi na mabunduki nje nje hii kitu haikuwepo enzi za nyerere wala mwinyi.

Sijui ni nani aliingiza utaratibu wa kuonesha kana kwamba kiongozi ana maadui wengi kiasi cha kuhitaji idadi kubwa ya kutisha ya wapambe na mibunduki hadharani ambapo zamani silaha ulikua huzioni hadhara kwa viongozi ila unahadithiwa zipo viunoni.

Nahisi kuna watu wanaohusika walianzisha utaratibu wa kuajili ndugu zao kwa kuwajaza kwa viongozi mpaka ikaja kuwa normal kwa viongozi kuzungukwa na wapambe wengi kupita uhitaji.
Unayajua yaliyotokea Mali?
 
Huyu yupo Itilima Simiyu anauza ng'ombe
Asikuzuge na vislang vya kuokoteza
1620046702900.jpeg



Haaaaa kwahiyo huyu mwenye fimbo ndio Nyani Ngabu halafu anatudanganya yuko USA kumbe vumbi lake,mvua yake,jua lake duh haya maisha ni mchaka mchaka.Anapata wapi muda wa kuchat Ng’ombe wanaweza kupotea.
 
Yaani kiongozi anashuka kwenye gari anazungukwa na minders zaidi ya hamsini wengine wananing'inia kwenye milango, hadi kiongozi anaenda kukaa jukwaani kaambatana na minders zaidi ya 20 wanamzunguka hadi anakaa na bado kuna wanamsimamia kwa nyuma, kwa hatari gani aliyokuwa nayo kiongozi wa nchi masikini kama Tanzania hadi awe na ulinzi mkubwa kuliko kiongozi wa marekani au uingereza aliyekuwa na bifu kubwa na makundi kibao ya ugadi duniani?

Yaani unashangaa Joe Biden anshuka kwenye gari hadi anaenda kukaa jukwaani Yuko peke yake na mke wake na hadi anakaa hakuna jitu lina mpumulia nyuma.

Unashangaa hata malkia wa uingereza anashuka kwenye range rover yuko peke yake na kibegi chake kiwikoni anatembea zake hajazongwa na kundi la wapambe wala ushuzi ila sasa sisi watanzania sijui ni nani alianzisha utaratibu huu wa ajabu kwa viongozi wetu kuandamana na utitiri wa watu Hadi wengine wamevaa magwanda kijeshi na mabunduki nje nje hii kitu haikuwepo enzi za nyerere wala mwinyi.

Sijui ni nani aliingiza utaratibu wa kuonesha kana kwamba kiongozi ana maadui wengi kiasi cha kuhitaji idadi kubwa ya kutisha ya wapambe na mibunduki hadharani ambapo zamani silaha ulikua huzioni hadhara kwa viongozi ila unahadithiwa zipo viunoni.

Nahisi kuna watu wanaohusika walianzisha utaratibu wa kuajili ndugu zao kwa kuwajaza kwa viongozi mpaka ikaja kuwa normal kwa viongozi kuzungukwa na wapambe wengi kupita uhitaji.
Mzee Mwinyi alijifanyaga hataki kuzungukwa aliishia kulambwa vibao pale viwanja vya mnazi mmoja. Acha walindwe tu.

Yule jamaa alimnasa vibao kisa mzee Mwinyi anashauri watu watumie Kinga ya kondomu wakati wankujamiiana. Unajua tukio linaweza kutokea tu inapokuwepo chance mwingine anaweza kuamua tu kutafuta umaarufu.

Wacheni walindwe. Tumeona gharama ya kupoteza kiongozi akiwa madarakani. Kidogo tuingie kwenye machafuko.

Kuna gharama kubwa sana ikitokea kiongozi amefariki akiwa madarakani, tuangalie haya mmbo kwa upana zaidi sio tunawaza kijima.
 
Mzee Mwinyi alijifanyaga hataki kuzungukwa aliishia kulambwa vibao pale viwanja vya mnazi mmoja. Acha walindwe tu.

Yule jamaa alimnasa vibao kisa mzee Mwinyi anashauri watu watumie Kinga ya kondomu wakati wankujamiiana. Unajua tukio linaweza kutokea tu inapokuwepo chance mwingine anaweza kuamua tu kutafuta umaarufu.

Wacheni walindwe. Tumeona gharama ya kupoteza kiongozi akiwa madarakani. Kidogo tuingie kwenye machafuko.

Kuna gharama kubwa sana ikitokea kiongozi amefariki akiwa madarakani, tuangalie haya mmbo kwa upana zaidi sio tunawaza kijima.
Mwinyi alichapwa enzi za kikwete hebu fatilia vizuri.
 
Back
Top Bottom