Tanzania tuna protocol za ovyo kabisa kwa Viongozi wetu

Tanzania tuna protocol za ovyo kabisa kwa Viongozi wetu

Kuwa na ulinzi mkali ni ujinga au udhaifu? Ukweli kwamba alikuwa raisi wa nchi ya Tz, alikuzidi mbali mno, hata alama za nyayo zake usingeweza kuziona, achilia mbali kuzikaribia.

Hivyo kama unafikiri alikuwa ni MJINGA na HAYAWANI, fikiria nafasi yako wewe kwenye hiyo hierarchy ya UJINGA na UHAYAWANI.
Kwa kuwa alidhani anawindwa na maadui akajilinda na mabunduki, internet jammers, bomb detactors, helicopters na mabomu LAKINI kwa vile alikuwa Mjinga na hayawani akafa kwa kamasi za COVID19.

Kama unabisha na wewe utakuwa mlemavu wa akili
 
Kwa kuwa alidhani anawindwa na maadui akajilinda na mabunduki, internet jammers, bomb detactors, helicopters na mabomu LAKINI kwa vile alikuwa Mjinga na hayawani akafa kwa kamasi za COVID19.

Kama unabisha na wewe utakuwa mlemavu wa akili
Ujinga ni kushupalia taarifa usizoweza hata kuthibitisha ingawa uko anonymous.

Zaidi kuongea bila kuwa na maarifa ya unayoongea ni zaidi ya UJINGA, next time niambie unajua nini kuhusu ulinzi wa raisi, kisha uniambie kipi ni ziada katika ulinzi unaouzungumzia ambao sio muhimu.

Max anateseka kulinda identity zenu ili muweze kuonesha uwezo wa fikra zenu, sio UJINGA.
 
Kama mbwembwe ebu siku moja tafutaneni watu wadizaini yako muwe kadhaa hivi na magobole yenu kumtungua mkuu.mukifanikiwa tutajua kweli zile ni mbwembwe
Ni ushamba tu... sasa wanavyo jifanya pale utafikiri wako gado kweli kweli kumbe mbwembwe tuuu
 
Hao wakina Biden na Eliza wanalindwa na zaidi ya hao watu wanaowalinda viongozi wa Africa.

Nadhani tunakurupuka sana, anapokuwepo raisi wa US au malkia, mzingo mkubwa unakuwa kwenye rada ya kiulinzi, thermal image inafanya kazi muda wote, snipers, SS, CIA, MI6, FBI, NSA, na technology za hali ya juu kulikagua eneo lote.

Hatuna hiyo teknology, hatuna huo uwezo, angalau basi apate ulinzi wa bodyshield.
Rais wa US na PM wa Israel ndio viongozi wanalindwa zaidi dunia Technology watumia Technology kubwa sana
 
Sijaongelea gharama nimeongelea idadi ya walinzi wanaomzunguka huoni kama biden yuko free zaidi anapowasili sehemu yuko peke yake wala hana utitiri wa walinzi wanamzunguka au kusimama nyuma yake?
POTUS anapokuwa sehemu eneo lote linakuwa limefanyiwa security clearance ana move anavyotoka
 
Kwa kuwa alidhani anawindwa na maadui akajilinda na mabunduki, internet jammers, bomb detactors, helicopters na mabomu LAKINI kwa vile alikuwa Mjinga na hayawani akafa kwa kamasi za COVID19.

Kama unabisha na wewe utakuwa mlemavu wa akili
Hahahahahahaha mkuu umemaliza mjadala kunywa chibuku hapo nalipa. Yaani mtu anajilinda na mabunduki anashindwa kuvaa barakoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe nani? Alikuambia ambulance ni kwaajiri ya rais? Ile ni ya dhalula kwa wote,kuna wakati msafara wa makamu wa rais kipindi kile ssh gari ya waandishi wa habari lilipata ajali na walipatiwa huduma ya kwanza ktk ambulance
Ambulance ya nini wakati msafara una daktari na una vingora, hivi raisi ni nani mbona mnamfanya kama tofauti na raia waliompa ajira.
 
Mleta mada unaifananisha ulinzi wa U.S na Tanzania?
Nchi nyingi za Africa zipo hivyo,acha tutumie tulichonacho kulinda viongozi wetu mpaka tukipambazukiwa maendeleo ya technology kama hao U.S na wengineo.
Hapa Tanzania vyama vya siasa ambavyo havikuwa madarakani vilikua na walinzi lukuki kama Blue gurd,Red gurd wakimzonga mgombea Urais.
Dimomd,Konde boy walinzi 20,hii inaonyesha jinsi tulivyo sisi watanzania/waafrica.
Baadae sana huko tanaweza kubadilika.
 
Hao wakina Biden na Eliza wanalindwa na zaidi ya hao watu wanaowalinda viongozi wa Africa.

Nadhani tunakurupuka sana, anapokuwepo raisi wa US au malkia, mzingo mkubwa unakuwa kwenye rada ya kiulinzi, thermal image inafanya kazi muda wote, snipers, SS, CIA, MI6, FBI, NSA, na technology za hali ya juu kulikagua eneo lote.

Hatuna hiyo teknology, hatuna huo uwezo, angalau basi apate ulinzi wa bodyshield.
Acha wachukulie easy yani watu wanacomment mpaka unasikitika.
 
Ujinga ni kushupalia taarifa usizoweza hata kuthibitisha ingawa uko anonymous.

Zaidi kuongea bila kuwa na maarifa ya unayoongea ni zaidi ya UJINGA, next time niambie unajua nini kuhusu ulinzi wa raisi, kisha uniambie kipi ni ziada katika ulinzi unaouzungumzia ambao sio muhimu.

Max anateseka kulinda identity zenu ili muweze kuonesha uwezo wa fikra zenu, sio UJINGA.
UJINGA ni kutumia FAKE iD na kumtishia mtumiaji mwenzio mwenye FAKE ID. Ila mtateseka sana mliokuwa mnamuabudu Mwendazake wakati ni binadamu na sasa analiwa na minyoo ardhini.

Tunamshukuru Rais SSH ameturudushia uhuru wa maoni na kujieleza
 
Hahahahahahaha mkuu umemaliza mjadala kunywa chibuku hapo nalipa. Yaani mtu anajilinda na mabunduki anashindwa kuvaa barakoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja Sana mkuu
 
Hakuna Msanii Mshamba kama Konde Boy ( Harmonize ) na sijui hata anachoimba ni nini zaidi ya Upuuzi tu.
Kila mtu ni mshamba. Hata wewe ni bonge la mshamba ndiyo maana unamkandia mwanaume mwenzetu. Wanaume huwa hatuna tabia za kukandiana kama ulivyofanya mkuu.
 
UJINGA ni kipaji na Magufuli alikuwa nacho, sasa ukiongeza na kiburi chake ndiyo akawa HAYAWANI. Maana tayari kwa kipindi chake Tanzania ilikuwa inahesabika kama nchi ya 5 Afrika yenye Kiongozi mwenye ulinzi mkali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you made my day brother.
 
Sidhani kama utampata muda huu [emoji403] ni nyingi uchumi wa Dunia unaanza kufunguka.
Wamechangia ila naona kama wametupiga kwa namna moja au nyingine kwa sababu huenda hata hawajawahi kuona msafara wa Rais wa Marekani. Hivyo hawana uzoefu wowote juu ya hilo. Kumbuka NYANI NGABU & KIRANGA wapo mashambani huko Marekani. So watajuaje mambo ya itifaki juu ya ulinzi wa Rais wa Marekani.
 
..mfano uliotumia kutetea hoja yako sio mzuri.

..kuna miaka 100+ kati ya Uraisi wa Abraham Lincoln na Julius Nyerere.

..ulinzi wa Jpm ulikuwa mkubwa, wa aina yake, na Watz hatukuuzoea kwa viongozi wakuu

..kulikuwa mpaka na helikopta ya doria kama sehemu ya msafara wa bwana mkubwa.

..zaidi, msafara ulijumuisha na ambulance.

Hiyo ambulance 🚑 unataka kutuambia nini kwamba jamaa alikuwa mgonjwa wakati anapiga military uniform na juu upo ulinzi wa 🚁 .
 
Wamechangia ila naona kama wametupiga kwa namna moja au nyingine kwa sababu huenda hata hawajawahi kuona msafara wa Rais wa Marekani. Hivyo hawana uzoefu wowote juu ya hilo. Kumbuka NYANI NGABU & KIRANGA wapo mashambani huko Marekani. So watajuaje mambo ya itifaki juu ya ulinzi wa Rais wa Marekani.

Kwahiyo unataka kutuambia Nyani Ngabu ni dereva wa 🚜 haaaaaa haaaaa
 
Yaani kiongozi anashuka kwenye gari anazungukwa na minders zaidi ya hamsini wengine wananing'inia kwenye milango, hadi kiongozi anaenda kukaa jukwaani kaambatana na minders zaidi ya 20 wanamzunguka hadi anakaa na bado kuna wanamsimamia kwa nyuma, kwa hatari gani aliyokuwa nayo kiongozi wa nchi masikini kama Tanzania hadi awe na ulinzi mkubwa kuliko kiongozi wa marekani au uingereza aliyekuwa na bifu kubwa na makundi kibao ya ugadi duniani?

Yaani unashangaa Joe Biden anshuka kwenye gari hadi anaenda kukaa jukwaani Yuko peke yake na mke wake na hadi anakaa hakuna jitu lina mpumulia nyuma.

Unashangaa hata malkia wa uingereza anashuka kwenye range rover yuko peke yake na kibegi chake kiwikoni anatembea zake hajazongwa na kundi la wapambe wala ushuzi ila sasa sisi watanzania sijui ni nani alianzisha utaratibu huu wa ajabu kwa viongozi wetu kuandamana na utitiri wa watu Hadi wengine wamevaa magwanda kijeshi na mabunduki nje nje hii kitu haikuwepo enzi za nyerere wala mwinyi.

Sijui ni nani aliingiza utaratibu wa kuonesha kana kwamba kiongozi ana maadui wengi kiasi cha kuhitaji idadi kubwa ya kutisha ya wapambe na mibunduki hadharani ambapo zamani silaha ulikua huzioni hadhara kwa viongozi ila unahadithiwa zipo viunoni.

Nahisi kuna watu wanaohusika walianzisha utaratibu wa kuajili ndugu zao kwa kuwajaza kwa viongozi mpaka ikaja kuwa normal kwa viongozi kuzungukwa na wapambe wengi kupita uhitaji.
Bora iwe hivyo, walinz waliapa,ikitokea la kutokea kwa uzembe wa walinz, walinz watawajibika kwa viapo vyao, hakuna anayetaka aache Familia kwa uzembe. Ulaya na ulaya wameshapita huko, ss natural death imetuyumbisha sembuse kuuwawa kwa kiongoz wa nchi. Kwenye usalama hakuna kupuuzia.
 
Back
Top Bottom