Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wakina Biden na Eliza wanalindwa na zaidi ya hao watu wanaowalinda viongozi wa Africa.
Nadhani tunakurupuka sana, anapokuwepo raisi wa US au malkia, mzingo mkubwa unakuwa kwenye rada ya kiulinzi, thermal image inafanya kazi muda wote, snipers, SS, CIA, MI6, FBI, NSA, na technology za hali ya juu kulikagua eneo lote.
Hatuna hiyo teknology, hatuna huo uwezo, angalau basi apate ulinzi wa bodyshield.
Akili haijawahi kutumika kabisa huku unless kama una ushahidi wa matumizi ya akili popote pale hapa Tz, na huyo aliyewahi tumia akili tukamfahamuUnamaanisha huku nguvu inabidi itumike zaidi ya akili??
Huku kwetu rais wa nchi ni Mungu mtu!
Yaani jiulize Jay Z na konde boy nani ana hela? Lakini angalia konde boy mabodigadi 30 wakati Jay Z ana mpambe moja tu na mke wake na watoto kawabeba mwenyewe. Yote kina konde boy na WCB wanaiga kwa viongozi wao.
Hii comment imenifanya nicheke sana japo nna stress laki 3🤣🤣🤣🤣🤣Yaani jiulize Jay Z na konde boy nani ana hela? Lakini angalia konde boy mabodigadi 30 wakati Jay Z ana mpambe moja tu na mke wake na watoto kawabeba mwenyewe. Yote kina konde boy na WCB wanaiga kwa viongozi wao.
Usimsahau na KirangaNyani Ngabu yuko kwa Biden anabeba box.
Atujuze zaidi kwa nini huko ni tofauti na huku!
Swali langu mimi kwanini Nyerere na mwinyi na mkapa hawakuwa na ulinzi mkali hivyo? Nimeanza kuziona bunduki waziwazi kwa viongozi hivi karibuni tuu. Alafu wewe usiangalie sana TV series zenye POTUS saa zingine wanachanganyikana na watu wa kawaida tu sema vetting inafanyika na hutaona mabunduki wazi wazi.Hao wakina Biden na Eliza wanalindwa na zaidi ya hao watu wanaowalinda viongozi wa Africa.
Nadhani tunakurupuka sana, anapokuwepo raisi wa US au malkia, mzingo mkubwa unakuwa kwenye rada ya kiulinzi, thermal image inafanya kazi muda wote, snipers, SS, CIA, MI6, FBI, NSA, na technology za hali ya juu kulikagua eneo lote.
Hatuna hiyo teknology, hatuna huo uwezo, angalau basi apate ulinzi wa bodyshield.
Nyerere alitawala nchi yenye population gani?Swali langu mimi kwanini Nyerere na mwinyi na mkapa hawakuwa na ulinzi mkali hivyo? Nimeanza kuziona bunduki waziwazi kwa viongozi hivi karibuni tuu. Alafu wewe usiangalie sana TV series zenye POTUS saa zingine wanachanganyikana na watu wa kawaida tu sema vetting inafanyika na hutaona mabunduki wazi wazi.
Inaonekana Genge la Magu ndio limemwekea huo ulinzi, na ameshindwa kukataa maana linaweza kuwa linamwambia kuna hatari ya usalama wake.Nahisi hata mamayetu hafurahii hili swala sema ndiyo kashakuta lipo kwenye protokali
Pamoja na ulinzi huo lakini huyo unemuita raisi wa marekani ana ulinzi kuliko mtu yeyote hapa duniani, sema wao hawajionyeshi na ni ghalama kubwa ya ulinzi wake kwenye event yoyote anapokuwa.Rais na msafara wa magari mia kasoro huu ni ubadhirifu sana wa kodi zetu
Mkuu...kaa kimya tuu..wala usiumize kichwa kuwaelekeza wapumba.vu...ni sawa uanze mwelekeza taahira..watajulia wap.....Hao wakina Biden na Eliza wanalindwa na zaidi ya hao watu wanaowalinda viongozi wa Africa.
Nadhani tunakurupuka sana, anapokuwepo raisi wa US au malkia, mzingo mkubwa unakuwa kwenye rada ya kiulinzi, thermal image inafanya kazi muda wote, snipers, SS, CIA, MI6, FBI, NSA, na technology za hali ya juu kulikagua eneo lote.
Hatuna hiyo teknology, hatuna huo uwezo, angalau basi apate ulinzi wa bodyshield.
Sijaongelea gharama nimeongelea idadi ya walinzi wanaomzunguka huoni kama biden yuko free zaidi anapowasili sehemu yuko peke yake wala hana utitiri wa walinzi wanamzunguka au kusimama nyuma yake?Pamoja na ulinzi huo lakini huyo unemuita raisi wa marekani ana ulinzi kuliko mtu yeyote hapa duniani, sema wao hawajionyeshi na ni ghalama kubwa ya ulinzi wake kwenye event yoyote anapokuwa.
Ghalama ya ulinzi wake unaweza kuwa ni bajeti ya taifa lako kwa trip
Matako nimeongelea nzi wanaomzunguka kiongozi sijaongelea gharama matakoMkuu...kaa kimya tuu..wala usiumize kichwa kuwaelekeza wapumba.vu...ni sawa uanze mwelekeza taahira..watajulia wap.....
Tena hao aliowataja ndo balaa zaid maana intelijensia inaanza kwa wale washangiliaji..yaan we unawaona kama raia kumbe wote wale zaid ya 100 ni wanausalama...kwahyo waakiweka kidogo wale wavaa suti bas mitaahira inahis vingne...na bado hapo hujaongelea section zingne....yaan wataruhusu watoto tu..ingawa nao huwa pia kwenye protocol..sio kila mtu amguse biden au queen....kuna kipind obama alitoka nje akaingia kwenye burger point akala baga...watu walihis et kajiendea tuu..kumbe ikaja julikana ile ilikua publicity stunt..wale wa kwenye baga point wote walikua usalama..kuanzia mpish had mfagiaji..kwa siku ile