JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
- Thread starter
- #41
Kumbe unajua kuwa wenzetu wanatumia akili zaidi kuliko kujazana watu mia kwenye kiongozi sasa mbona huna akili ya kuelewa mleta hoja?Mkuu...kaa kimya tuu..wala usiumize kichwa kuwaelekeza wapumba.vu...ni sawa uanze mwelekeza taahira..watajulia wap.....
Tena hao aliowataja ndo balaa zaid maana intelijensia inaanza kwa wale washangiliaji..yaan we unawaona kama raia kumbe wote wale zaid ya 100 ni wanausalama...kwahyo waakiweka kidogo wale wavaa suti bas mitaahira inahis vingne...na bado hapo hujaongelea section zingne....yaan wataruhusu watoto tu..ingawa nao huwa pia kwenye protocol..sio kila mtu amguse biden au queen....kuna kipind obama alitoka nje akaingia kwenye burger point akala baga...watu walihis et kajiendea tuu..kumbe ikaja julikana ile ilikua publicity stunt..wale wa kwenye baga point wote walikua usalama..kuanzia mpish had mfagiaji..kwa siku ile